Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,587
- 22,193
Jibu hoja, humu JF of GT"s ni hoja kwa hoja.Pole,leo umeonyesha upuuzi wako.
If you can't reason shut up and squat.
Jibu hoja, humu JF of GT"s ni hoja kwa hoja.Pole,leo umeonyesha upuuzi wako.
Kuhusisha suala la wabunge 19 wa Cdm na Pccb ni kufanya makosa.Maana unakuwa unapapasa kitu ambacho huna uhalisia nacho bali unahiisi tu.
Ripoti ya mali za Ccm ilipokamilika hakuna hatua zilizochukuliwa?
Kipigo cha mbwa mtu kwenye boksi la kura ndio sababu.
Covidi 19 wanahusika vipi na Pccb kufanya uchunguzi?
, Hampokei Makapi, vipi Mashinji,Mwita waitara, Lowassa nk.Tuondolee gundu mzee.
Ccm hatupokei makapi
Ona huyu!!! Bangi ni mbayaHata kama mifuko ya jimbo imetia hasara nadhani wangeanza kudeal na EPA, Richmond, Kagoda, Meremeta, Dowans, IPTL wakiburuzwa kortini wahusika wa hapo tutaenda sambamba sasa!
mzee umepapaswa
Kwako wizi na utapeli huu ni sahihi! Tumefaidika nini na hawa unaowatetea? Kama anayewapinga wapigaji hawa unamuona ni mvuta bangi! Itakuwa nawe ulishiriki kwenye wizi huu.Ona huyu!!! Bangi ni mbaya
Mwizi mama yako shuwaini weKwako wizi na utapeli huu ni sahihi! Tumefaidika nini na hawa unaowatetea? Kama anayewapinga wapigaji hawa unamuona ni mvuta bangi! Itakuwa nawe ulishiriki kwenye wizi huu.