John Mnyika usitetee uovu, kama kuna mtu anahusika kutafuna mali ya umma acha apate hatua stahiki

Kama mtanzania mpenda ukweli nimefarikija kuona PCCCB wakitoa taarifa kuwa bado wanaendelea na uchunguzi juu ya ubadhilifu wa bil 8 zilizotafunwa na viongozi wa Chadema.

Mbali ya hayo wamesisitiza kuwa wataendelea na uchunguzi juu ya ubadhilifu uliokuwa unafanyika kwenye mifuko ya majimbo, ambayo inasadikiwa kuwa wabunge wa upinzani wa bunge la 11 walifanya ubadhilifu.

Jambo ambalo linashangaza ni kitendo cha John Mnyika kama kiongozi wa Chadema kutoa kauli kuwa kuchunguza ubadhilifu wa mifuko ya jimbo ni sahihi lakini kuchunguza michango ya wanaCdm iliyotafunwa na viongozi wa Chadema sio sahihi. Hii kauli sio njema kabisa kwani michango iliyotafunwa na viongozi wa Chadema sio mali ya umma?

Hii ni dhahiri kuwa hapa Tanzania bado hatujapata wapinzani wa ukweli bali tuna wajaza matumbo
jambo jema sana kuchunguza.SHIDA ni double standard!!
 
Kama mtanzania mpenda ukweli nimefarikija kuona PCCCB wakitoa taarifa kuwa bado wanaendelea na uchunguzi juu ya ubadhilifu wa bil 8 zilizotafunwa na viongozi wa Chadema.

Mbali ya hayo wamesisitiza kuwa wataendelea na uchunguzi juu ya ubadhilifu uliokuwa unafanyika kwenye mifuko ya majimbo, ambayo inasadikiwa kuwa wabunge wa upinzani wa bunge la 11 walifanya ubadhilifu.

Jambo ambalo linashangaza ni kitendo cha John Mnyika kama kiongozi wa Chadema kutoa kauli kuwa kuchunguza ubadhilifu wa mifuko ya jimbo ni sahihi lakini kuchunguza michango ya wanaCdm iliyotafunwa na viongozi wa Chadema sio sahihi. Hii kauli sio njema kabisa kwani michango iliyotafunwa na viongozi wa Chadema sio mali ya umma?

Hii ni dhahiri kuwa hapa Tanzania bado hatujapata wapinzani wa ukweli bali tuna wajaza matumbo
Michango ya wanachama si mali ya umma, ukisema mali ya umma hata ya harusi, sadaka na misiba ni mali ya umma! PCCCB inachofanya ni chuki ya kisiasa, ingechunguza vyama vyote ingekuwa sahihi, na wangechunguza michango ya tetemeko la Kagera ningewasifu, na michango ya wanafunzi wa Arusha ningewaelewa, swali, kwanini Chadema tu? Ni chuki iliyowazi.
 
Michango ya wanachama si mali ya umma, ukisema mali ya umma hata ya harusi, sadaka na misiba ni mali ya umma! PCCCB inachofanya ni chuki ya kisiasa, ingechunguza vyama vyote ingekuwa sahihi, na wangechunguza michango ya tetemeko la Kagera ningewasifu, na michango ya wanafunzi wa Arusha ningewaelewa, swali, kwanini Chadema tu? Ni chuki iliyowazi.
Pole,leo umeonyesha upuuzi wako.
 
Haijawahi kutokea Joto la uchaguzi kushuka kwa haraka muda mfupi baada ya uchaguzi kama kipindi hiki

Sielewi kwanini
Ni wazi confrontation haina tija na wananchi wengi wamekaa kimya.Hili si jambo jema sana na tumeanza kuona hata walioshinda hawana furaha.
 
Kama mtanzania mpenda ukweli nimefarikija kuona PCCCB wakitoa taarifa kuwa bado wanaendelea na uchunguzi juu ya ubadhilifu wa bil 8 zilizotafunwa na viongozi wa Chadema.

Mbali ya hayo wamesisitiza kuwa wataendelea na uchunguzi juu ya ubadhilifu uliokuwa unafanyika kwenye mifuko ya majimbo, ambayo inasadikiwa kuwa wabunge wa upinzani wa bunge la 11 walifanya ubadhilifu.

Jambo ambalo linashangaza ni kitendo cha John Mnyika kama kiongozi wa Chadema kutoa kauli kuwa kuchunguza ubadhilifu wa mifuko ya jimbo ni sahihi lakini kuchunguza michango ya wanaCdm iliyotafunwa na viongozi wa Chadema sio sahihi. Hii kauli sio njema kabisa kwani michango iliyotafunwa na viongozi wa Chadema sio mali ya umma?

Hii ni dhahiri kuwa hapa Tanzania bado hatujapata wapinzani wa ukweli bali tuna wajaza matumbo
Wapinzani wanapinga tu kijani wao awataki kufatiliwa
#mitanotena
 
Trilioni 1.5 umesahau mkuu au tuseme Krilioni 1.5

Nasema uongo ndugu zangu?
Hata kama mifuko ya jimbo imetia hasara nadhani wangeanza kudeal na EPA, Richmond, Kagoda, Meremeta, Dowans, IPTL wakiburuzwa kortini wahusika wa hapo tutaenda sambamba sasa!
 
Kama mtanzania mpenda ukweli nimefarikija kuona PCCCB wakitoa taarifa kuwa bado wanaendelea na uchunguzi juu ya ubadhilifu wa bil 8 zilizotafunwa na viongozi wa Chadema.

Mbali ya hayo wamesisitiza kuwa wataendelea na uchunguzi juu ya ubadhilifu uliokuwa unafanyika kwenye mifuko ya majimbo, ambayo inasadikiwa kuwa wabunge wa upinzani wa bunge la 11 walifanya ubadhilifu.

Jambo ambalo linashangaza ni kitendo cha John Mnyika kama kiongozi wa Chadema kutoa kauli kuwa kuchunguza ubadhilifu wa mifuko ya jimbo ni sahihi lakini kuchunguza michango ya wanaCdm iliyotafunwa na viongozi wa Chadema sio sahihi. Hii kauli sio njema kabisa kwani michango iliyotafunwa na viongozi wa Chadema sio mali ya umma?

Hii ni dhahiri kuwa hapa Tanzania bado hatujapata wapinzani wa ukweli bali tuna wajaza matumbo
Hao takukuru wanafanyaJe kwa Ccm iliyopata hati chafu ?!. Double standard at work . Wanamfurahisha nani huyo ?!.
 
nkese sababu unao ushahidi wa hayo unayoyasema basi jilipue uweke ushahidi hadharani kama Waitara. Pia fika ofisi za Pccb ili ulisaidie taifa lako kupambana na ubadhirifu.
Mpaka ajitoe mhanga ?!. Huku Cdm takukuru wakiahidi kuwashughulikia ?!

Hoja ya huyo bwana huwezi kuijibu !! Nakuambia hata ofisi 1 haiwezi kuijibu
 
Mpaka ajitoe mhanga ?!. Huku Cdm takukuru wakiahidi kuwashughulikia ?!

Hoja ya huyo bwana huwezi kuijibu !! Nakuambia hata ofisi 1 haiwezi kuijibu
Nakuambia Jaduong huyu jamaa hana hoja. Kama kweli kuna ufisadi kila kitu kingekuwa wazi. Kujito mhang ni procedure tu.
 
Zilishatolewa maelezo ?!aduong yaani CAG aibue hoja isijibiwe? Mbona CUf kuhamisha pesa walijibu kutoka account ya Cuf hadi accoung ya mwanachama. Mbona hamuhoji?
Jaduong CAG aibue hoja isitolewe majibu? Mbona Cuf walihamisha pesa kwenda kwenya account ya mtu binafsi hamkuhoji?
 
Back
Top Bottom