Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Huu ni ukweli, wafuasi wengi wa Chadema Mnyika halikuwa pendekezo lao kwani wao wanamwona ni mpole na asiye mkorofi,mwenye matusi na kiburi cha uzima kwa miaka ya hivi karibuni. Wanaamini Mnyika ni mwanafunzi wa Dr.Slaa sababu naye ni mseminari na kwa kweli alijifunza umakini wa mambo kutoka kwa Dr.Slaa, wanaaini Mnyika si mfuasi wa siasa za uropokaji kama akina Mbowe,Lissu, Lema nk.
Kipindi EL anauzwa huku wengi wakizungusha mikono kama ishara ya mabadiliko, Mnyika alionekana kutokubaliana na siasa hizo. Je akina Mbowe watabadilishwa na Mnyika au Mnyika atabadilishwa na akina Mbowe.
Huu ni mjadala huru unaohitaji mawazo huru na ukweli, Chaguo la wana-chadema wengi lililkuwa John Heche au Marcus Albanie (aligombea ubunge Morogoro mwaka 2015) inasemekana hawa jamaa ni wakali,wana hasira, hawaambiliki, wakorofi eli ndio walikuwa sahihi kwa hali ya sasa.
Huu ni ukweli, wafuasi wengi wa Chadema Mnyika halikuwa pendekezo lao kwani wao wanamwona ni mpole na asiye mkorofi,mwenye matusi na kiburi cha uzima kwa miaka ya hivi karibuni. Wanaamini Mnyika ni mwanafunzi wa Dr.Slaa sababu naye ni mseminari na kwa kweli alijifunza umakini wa mambo kutoka kwa Dr.Slaa, wanaaini Mnyika si mfuasi wa siasa za uropokaji kama akina Mbowe,Lissu, Lema nk.
Kipindi EL anauzwa huku wengi wakizungusha mikono kama ishara ya mabadiliko, Mnyika alionekana kutokubaliana na siasa hizo. Je akina Mbowe watabadilishwa na Mnyika au Mnyika atabadilishwa na akina Mbowe.
Huu ni mjadala huru unaohitaji mawazo huru na ukweli, Chaguo la wana-chadema wengi lililkuwa John Heche au Marcus Albanie (aligombea ubunge Morogoro mwaka 2015) inasemekana hawa jamaa ni wakali,wana hasira, hawaambiliki, wakorofi eli ndio walikuwa sahihi kwa hali ya sasa.