John Mnyika: Napinga ongezeko la bei ya umeme 8.5% kwa kuwa ni mzigo kwa wananchi

Muhongo aliahidi mradi Wa gas ikikamilika umeme utashuka Mara dufu salsa wanapandisha tena hivi gas yetu na mafuta yanayotoka Saudi Arabi bei ni sawa?

Nimesikia kiongozi wa Tanesco akisema itabidi watumie mafuta kwasababu maji yamepungua kwenye mabwawa. Sasa kwa ini wasitumie gas badala ya mafuta kutoka nje. Yaani uongo walio tumia kuingia mikataba ya uzalishaji umeme ndio wanao utumia kutudanganya tena. Alafu tena watuwekea na sheria chafi za habari na mitandao ili watu wasilalamike
 
Likifika bungeni wale waitikiaji wataitikia na itapita tu, na ndii itakuwa mwisho.
Hii ndio Tanzania.
 
John Mnyika kabla ya hilo la Umeme tunaomba utukumbushe sisi watanzania je Lowasa ni mwizi au sio mwizi? na ikitokea ukatamka neno lowasa sehemu yeyote ile nitakupa zawadi.
Acha mambo ya kijinga wkt gharama za maisha kwa watz zinapanda kila kukicha.....Kwani mnyika ndo mahakama au yy ni takukuru? Mbona huiagizi serikali yako jambazi ya ccm itoe tamko km wanavofanya kila cku?.....Hujui kuwa serikali ina mkono mrefu? Sasa km unaakili timamu mnyika anaingiaje?
 
Anaandika Comred John Mnyika
Napinga ongezeko la bei ya umeme 8.5% lililotangazwa na EWURA kwa kuwa ni mzigo kwa wananchi na uchumi wa nchi na sababu zilizotolewa hazina msingi.

Namtaka Waziri Muhongo atengue uamuzi huo mbovu kama alivyoahidi kwamba hatarusu bei ya umeme kupanda.

Natoa mwito kwa Rais Magufuli naye katika hotuba yake kwa taifa leo au kesho azungumzie ongezeko hilo.

Iwapo Waziri au Rais hawatatoa kauli nitalifikisha suala hilo bungeni kwa hatua zaidi.

John Mnyika (Mb)
Waziri Kivuli wa Nishati na Madini
Hutu naye anangojea tukio tu ili atoke shimoni. Aise nimegundua elimu ni muhimu sana. Mnyika angekuwa na hata degree ttu angekuwa mbali. Hoja zimeahaisha kabisa. Anasubili tukio tu
 
Wimbo ule unasemaje vile! Wamejipanga ..Mtaisoma namba! Mimi Simo Nina undugu na Mukulu!
 
Mnyika kakohoa kidogo tu prof.Muhongo akatengua ongezeko la bei ya Umeme, huyu Mnyika ni nani hasa katika nchi hii mpaka aogopeke namna hii?
 
TE="CattleRustler, post: 19113727, member: 178859"]Nimesikia kiongozi wa Tanesco akisema itabidi watumie mafuta kwasababu maji yamepungua kwenye mabwawa. Sasa kwa ini wasitumie gas badala ya mafuta kutoka nje. Yaani uongo walio tumia kuingia mikataba ya uzalishaji umeme ndio wanao utumia kutudanganya tena. Alafu tena watuwekea na
sheria chafi za habari na mitandao ili watu wasilalamike[/QUOTE]



Hizi Dana Dana hivi duh et Maji yamepungua mvua imeanza kunyesha mbona?akaf juzi walisema kanda ya kati iringa mpaka shinyanga kuna umeme Wa ziada salsa Maji yamepungua baada ya wiki??kwani gas si mbadala Wa mafuta na Maji?? Ina maana gas haijaleta unafuuwowote?


Hizi
 
Hutu naye anangojea tukio tu ili atoke shimoni. Aise nimegundua elimu ni muhimu sana. Mnyika angekuwa na hata degree ttu angekuwa mbali. Hoja zimeahaisha kabisa. Anasubili tukio tu

Kunatofauti ya kuelimika na kua na vyeti. Tafuta video au audio ulinganishe mtakatifu na mnyika wanavyotoa hoja au kumwaga ng'ele utapata jibu
 
Anaandika Comred John Mnyika
Napinga ongezeko la bei ya umeme 8.5% lililotangazwa na EWURA kwa kuwa ni mzigo kwa wananchi na uchumi wa nchi na sababu zilizotolewa hazina msingi.

Namtaka Waziri Muhongo atengue uamuzi huo mbovu kama alivyoahidi kwamba hatarusu bei ya umeme kupanda.

Natoa mwito kwa Rais Magufuli naye katika hotuba yake kwa taifa leo au kesho azungumzie ongezeko hilo.

Iwapo Waziri au Rais hawatatoa kauli nitalifikisha suala hilo bungeni kwa hatua zaidi.

John Mnyika (Mb)
Waziri Kivuli wa Nishati na Madini
Wizi uzembe matumizi makubwa na mikataba ya ki-mangungu sasa basi. Mheshimiwa JPM tuondolee kadhia hii tumechoka sana. Haingii akili tunatumia gasi inayopatikana nchini kisha ongezeko linakuwa la gharama na huduma . Kama imeshindikana kujiongoza tukabidhi nchi kwa mataifa "yaliyoendelea" watuendeshee nchi.
 
Kunatofauti ya kuelimika na kua na vyeti. Tafuta video au audio ulinganishe mtakatifu na mnyika wanavyotoa hoja au kumwaga ng'ele utapata jibu
We ndo sina ya wenu waliomo Tanzania. Nani kakwambia kingereza ndo kusoma. Hata diamond au sir nature anakigonga sana tu. Ndivyo mnavyodanganywa na viongozi wenu wa chadema kwamba ukijua kingereza tu basi inatosha na huo usomi. Machedema ni ya ajabu kweli ndo mana wasomi chadema wanahesabika wao kingereza baaasi. Ndo mana m me cha gani kuwa kwa sababu nje ya siasa hamuajiriki mko tayari kutukana na kujeruhi mtu ili tu muendelee kuajiliwa kwenye siasa. Mwenzio magufuli nje ya siasa anaweza ajiliwa kam mkemia au mwalimu, sasa mbowe,sugu, au lema nje ya siasa ataajiliwa kama nani zaidi ya kuwa DJ wa muziki tu
 
Nani kakwambia kingeleza ndo elimu. We ndo kuna kweli

Kiingereza pekeyake sio elimu. Na kwa elimu ya tanzania silaumu mtu kiingereza kikisumbua. Ila Mnyika japo ana miaka michache abuleli kuliko mtakatifu. Lakini anajua kujieleza kwa kiswahili na Ng'ele. Mimi icho nakiita kipaji na elimu.
 
We ndo sina ya wenu waliomo Tanzania. Nani kakwambia kingereza ndo kusoma. Hata diamond au sir nature anakigonga sana tu. Ndivyo mnavyodanganywa na viongozi wenu wa chadema kwamba ukijua kingereza tu basi inatosha na huo usomi. Machedema ni ya ajabu kweli ndo mana wasomi chadema wanahesabika wao kingereza baaasi. Ndo mana m me cha gani kuwa kwa sababu nje ya siasa hamuajiriki mko tayari kutukana na kujeruhi mtu ili tu muendelee kuajiliwa kwenye siasa. Mwenzio magufuli nje ya siasa anaweza ajiliwa kam mkemia au mwalimu, sasa mbowe,sugu, au lema nje ya siasa ataajiliwa kama nani zaidi ya kuwa DJ wa muziki tu

Kwaiyo unamaanisha ukiwa na ndugu yako anataka kujifungua utampeleka kwa professor wa uchumi badala ya medical assistance aliye bobea. Siasa ni kushawishi watu kwa hojana vitendo ili wakufuate. Na kwa hilo kunatofauti kubwa sana kati ya Mnyika na mtakatifu ukiweka vyeti pembeni
 
Kwaiyo unamaanisha ukiwa na ndugu yako anataka kujifungua utampeleka kwa professor wa uchumi badala ya medical assistance aliye bobea. Siasa ni kushawishi watu kwa hojana vitendo ili wakufuate. Na kwa hilo kunatofauti kubwa sana kati ya Mnyika na mtakatifu ukiweka vyeti pembeni
Issue iko hivi: mnyika nje ya siasa anaweza kufanya kazi gani tena au anaweza ajiliwa wapi na kwa utaalamu gani mana najua ni form six lever. Hivyo basi uwezo wake wa kudadavua mambo unalingana na elimu yake . tunasema hivi " someone who exvells in one thing is likely to excellent in many other things" sasa mnyika hajaexcell academically kwa maana ya u iveraity level. Hata katiba ya Tanzania unasema ukitaka kugombea urais angalau uwe na degree moja kwa kuelewa kuwa mwenye bachelor ana high thinking capacity na siyo vurugu za akina lema na sugu
 
Issue iko hivi: mnyika nje ya siasa anaweza kufanya kazi gani tena au anaweza ajiliwa wapi na kwa utaalamu gani mana najua ni form six lever. Hivyo basi uwezo wake wa kudadavua mambo unalingana na elimu yake . tunasema hivi " someone who exvells in one thing is likely to excellent in many other things" sasa mnyika hajaexcell academically kwa maana ya u iveraity level. Hata katiba ya Tanzania unasema ukitaka kugombea urais angalau uwe na degree moja kwa kuelewa kuwa mwenye bachelor ana high thinking capacity na siyo vurugu za akina lema na sugu

Aisee sijui nitakueleza vipi unielewe. Notatafuta video niweke hapa side by side labda ndio itasaidi. Mnyika anakipaji cha kudadavua vitu na hata anapoongelea swala utaona anauwezo mkubwa wa kujieleza. Pia kama unakumbuka bungeni alipendeka sheria kuhusu baraza la vijana na ukiangalia alifanya home work ila CCM waliikataa. Sasa mlinganishe na mtakatifu anavyopendaga kuibuka na namba kibao akiwa anatoa hoja ambazo hazisaidii kabisa kwenye kuelezea hoja zake.
 
Gujalati....kumbe hujui.....wasomi wote wa NCHI hii wako Upinzani....huwa hawataki kujionesha hadharani kwa sababu zao wenyewe.Fanya utafiti
 
Back
Top Bottom