Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,609
- 218,032
jikite kwenye madaMbona hajamkumbusha mfalme mbowe kuitisha uchaguzi ndani ya chama? Mbowe anapiga danadana uchaguzi mbona hajasema kitu. Unafiki ni dhambi.
Kwani lazima uchangie mada? Unazani familia ya Lissu mda Kama huu na tarehe Kama ya leo ilikuwa na hali gani? EmbecileMbona hajamkumbusha mfalme mbowe kuitisha uchaguzi ndani ya chama? Mbowe anapiga danadana uchaguzi mbona hajasema kitu. Unafiki ni dhambi.
Uhai wa mtu unalingana dhamani sawa na cheo cha mtu?Mbona hajamkumbusha mfalme mbowe kuitisha uchaguzi ndani ya chama? Mbowe anapiga danadana uchaguzi mbona hajasema kitu. Unafiki ni dhambi.
Mod waongeze emoji/ reaction ya dole LA kati kwa comments za kkiboya kama hiyo ya kwako.Mbona hajamkumbusha mfalme mbowe kuitisha uchaguzi ndani ya chama? Mbowe anapiga danadana uchaguzi mbona hajasema kitu. Unafiki ni dhambi.
Kwani chama si kipo ndani ya tanzania au raisi akitoa amri chama haikihusu?Mbona hajamkumbusha mfalme mbowe kuitisha uchaguzi ndani ya chama? Mbowe anapiga danadana uchaguzi mbona hajasema kitu. Unafiki ni dhambi.
Tundu lissu ndo nani eti?
Kwa hiyo mimi ni kijana wa Sirro?.Pascal Mayalla a.k.a PASKALI ndio mchunguzi rasmi wa tukio hilo, full stop
Akili zake kama kalumekenge huyo.Anaulizwa umri wake anataja jina la jirani yake.jikite kwenye mada