John Mnyika, kuulalia mkeka uliochanika kunahitaji akili nyingi sana na sio nguvu

Comred Mnyika mdogo wangu na Katibu Mkuu wa chama kikuu Cha upinzani CHADEMA tunataka tuuone utashi na hekima na busara zako katika kipindi hiki kigumu, chama chako kina Kariba kubwa ya vijana ambao bado wana mihemko.

Mkeka uliolalia umechanika Sana, usitumie nguvu kubwa utauchana zaidi. Maneno yako yawe na busara ya kiuongozi tunachotaka Mbowe aachiwe hayo mengine tunayoyasikia kwa vijana wenu mtayafanya akiishaachiwa.

Isingekuwa maneno yenu ambayo nasema yametokana na mihemko ya vijana wenu huenda krismass hii Mbowe tungekuwa nae.

Ukiwa na njaa usichague mkono utakaokulisha kula ili ushibe mengine yatafuata. Kumshambulia Zitto na Rais Samia kumerudisha nyuma mchakato wa kumtoa Mbowe hata mamlaka zinaweza kuhisi mna kiburi.

Mjumbe hauawi.
Kuna jambo ambalo naamini Chadema wanalisimamia ingawa sidhani kama wataweza ku achieve wanachoamini katika siku za karibuni.Pia naamini kuna jitihada behind the scene kulimaliza hili jambo bila kuonekana kuwa serikali ilkuwa na makosa!!
Ikiwa serikali inaweza kufanya maamuzi kwa mihemko ya "machizi" then hiyo serikali ijitathmini
 
Vijana wanaopiga kelele kuwa Mbowe asisamehewe ni wale wanaoshinda wanachangisha michango kwenye mitandao ya kijamii, kwa Wanachama na Wadau mbali mbali.
Shida Mbowe akitoka watapata wapi tena hela za kupiga? Biashara itakuwa imeisha.
Mbowe anatakiwa atoke hayo mengine wakapambane baadaye, Mnyika ashazidiwa na akina Tundu, Lema ambao nao wananufaika na biashara hii. Huu ni muda muafaka familia ya Mbowe kusimama kidete kuhakikisha mpendwa wao anatoka waache kusikiliza makelele ya wasaka tonge ambao sasa wanaenda kula keki mahakamani eti Mshikamano...NONSENSE...
Sugu aliwahi toka kwa msamaha wa Raisi, baadaye akafuata taratibu mahakama imsafishe..
Familia ya Mbowe hakikisheni mpendwa wenu anatoka kwa njia yeyote, only that ni muhimu kwa sasa hayo mengine baadaye.
Familia kumbukeni akina Lisu wanachokitakaa kesi ifike mwisho mnaweza kuja juta, kama mnajua kuna udhalimu je wakifika mwisho wakamfunga? Mtakuwa mmefaidika nini? Angalieni trend ya kesi inavyoenda, ni muhimu Familia mhakikishe kuwa mnasimama kidete mpendwa wenu anatoka, msimamo wenu kama familia ni muhimu sana kwa sasa, kumbukeni Mbowe ni kiongozi wa Chadema anazungukwa na watu wema, wanafiki, wanaokitaka cheo chake, wanaotaka kunufaika na kesi hii na wengine wengi sio kila ushauri mnaukubali..
Uko sahihi. Wapo wanaofungwa kwa kutokufanya makosa lakini taratibu tu zinawafunga.
Ndugu yako akiwekwa rumande fanya juu chini atoke, mengine yatafuata mkiwa nyumbani.
 
Comred Mnyika mdogo wangu na Katibu Mkuu wa chama kikuu Cha upinzani CHADEMA tunataka tuuone utashi na hekima na busara zako katika kipindi hiki kigumu, chama chako kina Kariba kubwa ya vijana ambao bado wana mihemko.

Mkeka uliolalia umechanika Sana, usitumie nguvu kubwa utauchana zaidi. Maneno yako yawe na busara ya kiuongozi tunachotaka Mbowe aachiwe hayo mengine tunayoyasikia kwa vijana wenu mtayafanya akiishaachiwa.

Isingekuwa maneno yenu ambayo nasema yametokana na mihemko ya vijana wenu huenda krismass hii Mbowe tungekuwa nae.

Ukiwa na njaa usichague mkono utakaokulisha kula ili ushibe mengine yatafuata. Kumshambulia Zitto na Rais Samia kumerudisha nyuma mchakato wa kumtoa Mbowe hata mamlaka zinaweza kuhisi mna kiburi.

Mjumbe hauawi.
Kwani kiburi hawana
 
Mbowe hahitaji msamaha kwakuwa hana kosa. Mbowe anahitaji kuachiwa awe huru na kujumuika na familia yake na wana CHADEMA.

That is simple and plain.

Haki huwa haiombwi mzee wangu huwa inatakiwa na kutolewa.
Sasa si ni mahakama ndiyo yenye jukumu la kumwachia huru?
Mnataka Samia aingilie shauri lililoko mahakamani?, kufanya hivyo ni kuvunja katiba
 
Comred Mnyika mdogo wangu na Katibu Mkuu wa chama kikuu Cha upinzani CHADEMA tunataka tuuone utashi na hekima na busara zako katika kipindi hiki kigumu, chama chako kina Kariba kubwa ya vijana ambao bado wana mihemko.

Mkeka uliolalia umechanika Sana, usitumie nguvu kubwa utauchana zaidi. Maneno yako yawe na busara ya kiuongozi tunachotaka Mbowe aachiwe hayo mengine tunayoyasikia kwa vijana wenu mtayafanya akiishaachiwa.

Isingekuwa maneno yenu ambayo nasema yametokana na mihemko ya vijana wenu huenda krismass hii Mbowe tungekuwa nae.

Ukiwa na njaa usichague mkono utakaokulisha kula ili ushibe mengine yatafuata. Kumshambulia Zitto na Rais Samia kumerudisha nyuma mchakato wa kumtoa Mbowe hata mamlaka zinaweza kuhisi mna kiburi.

Mjumbe hauawi.
Mpeni ushauri huyo maushungi wenu kuwa ubabe haujawahi kusaidia sana, aangalie yaliyomkuta mtangulizi wake. Watu tunakesha tukimlilia Mungu ambaye halali wala hasinzii
 
tunachotaka Mbowe aachiwe hayo mengine tunayoyasikia
Hoja uduvi hii usikute imetolewa na mtu mwenye bichwa kubwa kama tikiti la elfu saba.


Asiyetaka Mbowe aachiwe nani? Wewe mwenye huruma kwa Mbowe kiasi hiki ni nani kwa Mbowe? Kafie lumumba huko.
 
Mbowe hahitaji msamaha kwakuwa hana kosa. Mbowe anahitaji kuachiwa awe huru na kujumuika na familia yake na wana CHADEMA.

That is simple and plain.

Haki huwa haiombwi mzee wangu huwa inatakiwa na kutolewa.

hata kushikiliwa ni adhabu ile kuwa chini ya ulinzi.

sasa msione watu wanacheza na akili za mashabiki kumbe wana upeo mkubwa zaidi.
 
Back
Top Bottom