Uchaguzi 2020 John Mnyika: Hatujateua majina ya wabunge Viti Maalum. Tunafuatilia Ofisi ya Spika na tukithibitisha hujuma au usaliti hatutasita kuchukua hatua

Chadema kususia bunge au kutotambua matokeo ya uchaguzi walioushiriki ni

1. Kuwadharau raia wa Tanzania 1.8m walio amka mapema Nov 28, 2020 kuwapigia kura. Kama ambavyo Lissu na Kabwe wamefanya. Kwa upande wa ACT ambayo siitofautishi na Maalim Seif ni kama Maalim hajataka kujifunza makosa aliyoyafanya 2015 kususia uchaguzi ambapo kwa hesabu za haraka kosa hilo limegharimu kwa kupata asilimia 19 ya kura visiwani tofauti na miaka iliyopita.

2. Kususia Bunge kwa CDM kungeikosesha sauti bungeni na ndio ungekuwa mwisho wake kama wangebaki kushikilia mawazo ya Lissu ambayo kisiasa yanakiua chama. Pia Chadema wangepoteza haki yao ya gawio la ruzuku kutoka Bungeni kwa miaka mitano mfululizo. Hii ingeathiri sana shughuli za chama nchi nzima na pia viongozi wa chama kukosa nguvu ya kimaamuzi hasa Mbowe. ( Huu ni mradi wake huo ndio ukweli) amewekeza sana so kufuata mawazo ya kina Lissu kungeiua biashara yake ambayo kwa namna yoyote Mbowe hawezi kuiacha (akakimbilia ughaibuni) ... Wakati Lissa anamahali pa kushikilia hana uchungu na uwekezaji wa Mbowe and Co. Na ndio sababu Mbowe alikuwa kimya anatafakari atoke vipi mtegoni.

Lissu alikitumia Chadema kumchafua Magufuli kwa kutumia tiketi ya urais (kwa ufadhili wa ulaya ....sina ushahidi ila natumia common sense) ambao kwa hakika alijua haupati ....ili adhima yake ya kuichafua serikali itimie rejea kampeni zake hakukuwa na kuzungumzia sera zaidi ya matusi kwa rais ya serikali yake... Na kwa kuthibitisha ufadhili wake ulitoka wapi umoja wa ulaya kupitia ubalozi wa Ujerumani ulimpa kinga ya kidiplomsia aweze kukimbia nchi.

3. Namshauri Maalim na Zitto kuepa Lissu's trap wakubali kushiriki serikali ya umoja wa kitaifa kule Zanzibar ili wasifutike kisiasa na ikiwezekana waipiku CDM ili wao wawe leading opposition party. Siasa ni kazi kama zilivyo kazi nyingine uki fail mbinu ya huku unahamia plan B kung'ang'ania mawazo ya Lissu, Fatma Karume na Lema ni kujimaliza. Kabudi alijua nini anachoongea na hakuna cha Sanction wala mdogo wake toka ulaya maana nguvu hiyo imemalizwa na CDM kukubali kurudi Bungeni.

Hongera Mbowe na Kongole viti maalum kwa kukwepa mtego wa Lissu.
Sijui EU wataficha wapi misura yao.Walitaka Tanzania 🇹🇿 imwage damu.Sasa waje kujifunza siasa Tanzania 🇹🇿 na pia wajifunze kupambana na kaugonjwa ka Corona kalikowashinda
 
Akumbuke anahitaji posho hapo ofisini kwenye nafasi yake ya ukatibu mkuu.
Na posho inatolewa na hao wabunge kwenye michango yao kwa Chama.
 
Nimecheka sana hahahaha, chezea kukosa ajira hahahaha alafu njaa iko kichwani lazima mkae hahahaha
Kweli hakuna mkate ngumu mbele ya chai. Lazima tukubali CCM wanajua kupigana Vita. Hakuna ataewaamini wapinzani tena. Kama ilivyotabiriwa CDM lazima ife.
 
Halafu CDM Bora bawacha wanaushirikiano wanaume humu ni keyboard warriors Ila nje ni waoga angalia wanaume waliosaliti wananchi, kulinganisha na wanawake ambao hawakukata tamaa
Kweli kbs. Wanaume wengi wa CDM hawajielewi sabab ya kutangulia kunywa gongo kabla ya kutoa maamuzi
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema, chama hicho hakijateua majina ya wabunge wa viti maalum “ niliandika barua NEC kuwajulisha. Tunafuatilia yanayojiri Ofisi ya Spika wa Bunge na tukithibitisha hujuma au usaliti hatutasita kuchukua hatua.”

---UPDATE---
Akihojiwa na shirika la utangazaji la BBC

Mnyika anasema kwa mujibu wa taratibu na sheria mwenye mamlaka ya kuteua majina ni baraza kuu la chama na katibu wa chama ndiye mwenye mamlaka ya kuandika barua kwa tume kuwasilisha majina ya wabunge wa viti maalum.

Yanayoendelea Dodoma inabidi tume na spika waseme hayo majina wamepelekewa nan nani toka CHADEMA




Halima Madee na Ester Bulaya kujifanya makamanda kumbe makamanda njaa tu. Hongera CHADEMA kwa msimamo usioyumba. Kesho Kamati Kuu ikae kufukuza wote hao.
Mnyika!!!!
Punguza kufanya kazi na mitandao na vyombo vya habari..
Mambo mengine ni ya ndani..
Waacheni wamama waende bungeni kukiwakilisha chama na wananchi. Tunajua hujuma mlizo fanyiwa ila uwakilishi ni muhimu. Mkicheza mnakwenda kuwa kama CUF na Nccr
 
Maamuzi yametoka Kwa Mwenyekiti full stop
Kuna mchezo unaigizwa hapa,na Hata kama mnyika hajui, Mwenyekiti kashafanya maamuzi kuokoa chama kisife Imepita hyo
 
Hao pia Magufuli atawambia mimi ndio nimewaleta hapa bungeni dhidi ya matakwa ya chama chenu hivyo mniunge mkono ✋.

Hao ni wabunge wa viti maalum wa Magufuli, anawatumia kuhalalisha uhuni alioufanya majuzi. Very poor excuse for a leader.
 
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema, chama hicho hakijateua majina ya wabunge wa viti maalum “ niliandika barua NEC kuwajulisha. Tunafuatilia yanayojiri Ofisi ya Spika wa Bunge na tukithibitisha hujuma au usaliti hatutasita kuchukua hatua.”

---UPDATE---
Akihojiwa na shirika la utangazaji la BBC

Mnyika anasema kwa mujibu wa taratibu na sheria mwenye mamlaka ya kuteua majina ni baraza kuu la chama na katibu wa chama ndiye mwenye mamlaka ya kuandika barua kwa tume kuwasilisha majina ya wabunge wa viti maalum.

Yanayoendelea Dodoma inabidi tume na spika waseme hayo majina wamepelekewa nan nani toka CHADEMA




Halima Madee na Ester Bulaya kujifanya makamanda kumbe makamanda njaa tu. Hongera CHADEMA kwa msimamo usioyumba. Kesho Kamati Kuu ikae kufukuza wote hao.
Mtakapowafukuza tu Wanaenda CCM.
Acheni wivu,hivyo viti vya wamama mbona kuwazibia rizki?
Wangekuwa akina mbowe na huyo mnyika wamevipata wangeviacha???
Hovyo kabisa
 
Watafukuzwa uanachama ili kukijengea chama uaminifu kwa wananchi. Vinginevyo tofauti na hili CHADEMA ndo kimekufa rasmi.
Walifukuzwa wangapi na bado wakabaki BUNGENI ? wakina LIJUALIKALI umeasahau ilivyokua?
 
Kuna watu humu wafia vyama wanashupaza shingo na kugombana na watu wenye mitizamo tofauti ,lkn nadhani mpaka sasa mnalakujifunza ,wanasiasa siku zote wapo after money.
 
Mtakapowafukuza tu Wanaenda CCM.
Acheni wivu,hivyo viti vya wamama mbona kuwazibia rizki?
Wangekuwa akina mbowe na huyo mnyika wamevipata wangeviacha???
Hovyo kabisa
Wanaume Wana wivu Sasa mbona kina Mbowe, lissu, mnyika walienda chini ya tume ya ccm
 
Lisu tulimuonya kwamba yeye na Amsterdam wake wataachwa midomo wazi akijifanya anapaisha hadi ndege bila kibali
 
Halmashauri nayo inataka ruzuku toka serikalini.
Tanzanian politics inahitaji watu sio viongozi
Bobby wine wa Uganda amekamatwa muda huo huo maandamano na watu zaidi ya 30 wakafa
Halima mdee alikaa jela na kuteswa sana hatukyfanya kitu
 
Back
Top Bottom