Kama hatokii ule mkoa wenye mlima mrefu hawezi kupata hiyo nafasiHeche tu ndiye mtu aliyebaki ambaye hana kupetipeti.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama hatokii ule mkoa wenye mlima mrefu hawezi kupata hiyo nafasiHeche tu ndiye mtu aliyebaki ambaye hana kupetipeti.
Amina.Mungu Akubariki sanaM/Mungu awatangulie viongozi wote wa CHADEMA
M/Mungu awalinde na kila shari za Pombe na VIBARAKA wake. Nasema toka moyoni najivunia kuwa mwana CHADEMA.
WATU MNA ukabila mnasingizia chademaAkitoka kaskazini so what??
Kilaza weweKwahiyo unamaanisha mashinji ni muoga?
Hii dhambi ya ubaguzi sio nzuri
Paskali we ni mtata.Baada ya uchaguzi mkuu wa 2020, take it from me, Chadema will be no more!.
P
Mfamaji
Wanachadema hawategemei sana ubunge. Ungekuwa na akili ungejiuliza kwann wameanzisha Chadema fundraising kwa njia ya mtandao (digital), kwann wameamua wanachama wote waingizwe kwenye database. Ni kwasababu wanajua kabisa 2020 wabunge wengi hawatarudi bungeni na si kwasababu ya kukosa kura za wananchi. Itakuwa kwasababu ya Magufuli akiwatumia Polisi na Jeshi kupora ushindi. Hivyo Chadema itakuwepo na itakuwa bora zaidi. Kwani hawatategemea ruzuku. Chadema itaendeshwa kwa kutumia ada za wanachadema (Wanachama). Wanachadema hawakimbilii vyeo, wabunge wa chadema wanataka ukombozi wa kweli na demokrasia ya kweli. Wabunge wa Chadema wanakutetea hata wewe usiyejielewa wakitegemea kwamba kuna siku utajielewa. Ukiwaona wanachadema na wabunge wao wanayo furaha tele wala hawafikirii ubunge. Wapate wasipate kwao ni sawa kikubwa ni pale utakapokombolewa kwa kugawana mali zetu kwa usawa na uhuru bila kulazimishwa au kuwekwa ndani bila sababu. Pale utakapokuwa huru kutoka kwenye mikono ya miungu watu. Kama ulifuatilia mikutano Chadema hapo Mlimani City uliwaona jinsi gani walivyokuwa na furaha. Angalia na watawala walivyokuwa na huzuni na uoga kwenye mikutano yao. Wanajikuta wanataka mpaka kuvunja katiba kwa uoga. Yaani walikuwa katika mwendo wa kusifia tu hata zisizosifiwa, maadamu mungu mtu akuone. Chadema hawataki mwananchi wa Tanzania bila kujali ukubwa wake, cheo chake, udini wake, uawanachama wake kuwa juu ya mwenzake. Chadema wanataka kila mtanzania tuwe sawa.
Mkuu umemaliza kila kituPaskali we ni mtata.
Vitu vingine vinatokea si kwa sababu ya utabiri wako. Ni coincidence tu. Kuna mengi umeyapigia ramli na hayakutokea.
Una hadhi kama ya mganga wa kienyeji tu. Anamwambia 'mgonjwa' wake mambo mengi ili kati ya hayo, moja hutokea kuwa kweli. Lakini yale ya uongo hayaangaliwi. Wewe unafanya kama waganga wa kienyeji, ila katika tasnia ya habari.
Unaboa bro.
Hakuna cha Heche wala Mnyika wala Salum
Mtaletewa katibu mkuu dizaini ya Mashinji
Mboww hataki katibu mkuu mwenye nguvu kama ilivyokuwa kwa Slaa.
Tegemeeni kuletewa katinu mkuu wa dizaini ya Mashinji.
Natamani vijana mngejitambua hakika si ccm wala cdm wala chama chochote cha upinzani kingewageuza geuza kama chapati.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Tindo yote ni hero. Mnyika katajwa mara nyingi hapa jukwaani kukalia hicho kiti. Wote waliokuwa wanatajwatajwa wameonyesha wanafaa. Mpeni ushirikiano JJMJohn Mnyika Ni mzuri, ila amekuwa mtulivu sana sijui shida ni nini. Ilikuwa vyema cdm wamchague mtu kama Marcus Albanie ili kuleta chachu mpya na sio sura zile zile kila siku. Sitarajii kuiona cdm mpya kwa mtiririko wa viongozi wale wale.
Kama ilivyosasa Tanzania kuwa USUKUMANI. Mara nyingi wahenga walisema NYANI HAONI KUNDULE
Kamati ya chadema kila mtu ni mjumbePia Mbowe amewateua Benson Kigaila kuwa Naibu Katibu Mkuu Bara na Salum Mwalimu Naibu Katibu Mkuu Zanzibar
Katika uteuzi mwingine Kiongozi huyo mkuu wa Chadema amemteua John Heche kuwa mjumbe wa Kamati Kuu
Kama vile ambavyo JIWE hataki kabisa watu wa kasikazini wawepo kwenye serikali yake. No waziri, naibu, wala mkuu wa mkoa. Lakini nawaambia wale watu ni kama wayahudi, hata muwashughulikie vipi, huwa wanafanikiwa tu na kusonga mbele.Kama hatokii ule mkoa wenye mlima mrefu hawezi kupata hiyo nafasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini Mnyika hawezi kupata ubunge. Huyu ni Mbunge wetu eneo la Goba Kulangwa. Eneo hili liko kama kisiwa yaani linahitaji kuunganishwa na Goba, Salasala, Mivumoni na Madale kwa madaraja, HAYAJAWAHI KUJENGWA. Eneo hili halina maji ya bomba, TUNANUNUA kwenye magari. Mvua ikinyesha sisi burudani maana tunapata maji. Eneo hili halina walau zahanati achilia mbali hospitali, mtu akiumwa lazima aende Madale au Goba. Cha ajabu mbunge wetu hajawahi wala kufika tunamwona kwenye vyombo vya habari!!! Yasemekana hata wakati wa kuomba kura za ubunge pia hakufika, alituma wapambe. Wakazi kwa kuamini mabadiliko wakamchagua!!!!Wanachadema hawategemei sana ubunge. Ungekuwa na akili ungejiuliza kwann wameanzisha Chadema fundraising kwa njia ya mtandao (digital), kwann wameamua wanachama wote waingizwe kwenye database. Ni kwasababu wanajua kabisa 2020 wabunge wengi hawatarudi bungeni na si kwasababu ya kukosa kura za wananchi. Itakuwa kwasababu ya Magufuli akiwatumia Polisi na Jeshi kupora ushindi. Hivyo Chadema itakuwepo na itakuwa bora zaidi.
mke wa heche ni mchagga,Kama hatokii ule mkoa wenye mlima mrefu hawezi kupata hiyo nafasi
Sent using Jamii Forums mobile app
mkome kuchagua wapuuzi, naona akili zimewakaa sawaLakini Mnyika hawezi kupata ubunge. Huyu ni Mbunge wetu eneo la Goba Kulangwa. Eneo hili liko kama kisiwa yaani linahitaji kuunganishwa na Goba, Salasala, Mivumoni na Madale kwa madaraja, HAYAJAWAHI KUJENGWA. Eneo hili halina maji ya bomba, TUNANUNUA kwenye magari. Mvua ikinyesha sisi burudani maana tunapata maji. Eneo hili halina walau zahanati achilia mbali hospitali, mtu akiumwa lazima aende Madale au Goba. Cha ajabu mbunge wetu hajawahi wala kufika tunamwona kwenye vyombo vya habari!!! Yasemekana hata wakati wa kuomba kura za ubunge pia hakufika, alituma wapambe. Wakazi kwa kuamini mabadiliko wakamchagua!!!!
Kwa hakika huwa sielewi hawa watu, najaribu sana lakini nashindwa. Huwezi kukaa ati unapinga sijui serikali iliyoko madarakani imefanya nini na nini ilhali watu waliokuamini wanateseka na walikutegemea sana. HAWANA HURUMA HATA!!
ni weziKama vile ambavyo JIWE hataki kabisa watu wa kasikazini wawepo kwenye serikali yake. No waziri, naibu, wala mkuu wa mkoa. Lakini nawaambia wale watu ni kama wayahudi, hata muwashughulikie vipi, huwa wanafanikiwa tu na kusonga mbele.
nimeshangaa sana prof Baregu prof Safari mabare marando mzee masinde hawako kamati kuu,