Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,322
- 5,542
Mdahalo ili huyo km wa chama chakavu aibike
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnyika ni kijana ni mwanafunzi mzuri wa Dr Slaa. Tunasubiri siasa za hoja na ubunifu. Nasubiri mdahalo kati yake na Dr Bashiru wakati wa kampeni za uchaguzi 2020.
Sent using Jamii Forums mobile app