Mswahili Old Acc
JF-Expert Member
- Sep 27, 2006
- 488
- 22
Very interesting M.M Mwanakijiji = John Mashaka = Kitila Mkumbo, hii Kali kumbe Musoma ni mkoa vile vile, ama Kweli JF inaelimisha....
Sijasema Kitila Mkumbo ni Mashaka, naomba unioneshe wapi nimesema hivyo labda umeamua maksudi kupindisha mjadala huu kwa maslahi yako.
Nilichosema kuwa Kitila Mkumbo alikuwa akitumia Pen Name kama Mwanasiasa kwa muda mrefu mwaka jana akaja rasmi JF na kusema kuwa yeye ni Mwanasiasa ila atatumia jina lake kamili la Kitila Mkumbo hiyo ilikuwa 2007, Mwanakijiji nae katoka rasmi 2008.