The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,495
- 2,043
He ni serikali zote duniani viongozi wake hupigania kufanikiwa kutoa huduma za jamii kwa kiwango cha juu?
Hapan Kura lazima tupige ila kwa kiongozi aliyeko madarakani kufanya hayo sio kigezo pekee cha yeye kuchaguliwa tenaKwhy tusipige kura kwa maana serikali yoyote itafanya hayo kama majukumu yake.?