Asa'rile
JF-Expert Member
- Jun 29, 2012
- 438
- 120
John Pombe Magufuli, wakati wa ufunguzi au uzinduzi wa kampeni hapo jangwani, pia alitamka maneno haya;"Nitajenga barabara sita toka Ubungo hadi Chalinze. Swali ni Je, hiyo barabara itanzia wapi? Shekilango au mataa au UBT?
Maana maeneo aliyoyazungumzia kwamba atamwaga flyover ya goorfa sita! ni Tazara na Ubungo !!
Maana maeneo aliyoyazungumzia kwamba atamwaga flyover ya goorfa sita! ni Tazara na Ubungo !!