TANZIA John Livingston Mwakipesile, Mbunge wa zamani wa Kyela afariki dunia

Nanda iwanja wa ndege kuna msiba wa jamaa kafariki baada ya chanjo hapo wafanyakazi wa air port wameingia hofu baada ya huyo jamaa kufa kama mimi muongo basi waandishi wa habari waliopo hapa waende kuuliza ,wewe uliwasikia wizara wakisema kuwa madhara ya kovidi yasijulikane kwa yoyote ni kampeni ya kitaifa
Acha hizo, aliyefariki anaitwa nani?
Huwa unaulizwa kama una ugonjwa nyemekezi kabka ya chanjo.
Usikute mtu ana HIV , kisukari au pressure.
Tahadhari ni yako mwenyewe.
 
Nanda iwanja wa ndege kuna msiba wa jamaa kafariki baada ya chanjo hapo wafanyakazi wa air port wameingia hofu baada ya huyo jamaa kufa kama mimi muongo basi waandishi wa habari waliopo hapa waende kuuliza ,wewe uliwasikia wizara wakisema kuwa madhara ya kovidi yasijulikane kwa yoyote ni kampeni ya kitaifa

Kwanza poleni sana kwa msiba. Kifo kinauma na ni upumbafu uliopitiliza kwa awaye yote kudunisha suala la kifo cha mtu asiyemhusu.

Zipo sababu nyingi zinazoweza kuelekea kifo mtu baada ya kupokea chanjo:

1. Kifo kutokana na chanjo kinacho sababishwa na masharti na vigezo kutozingatiwa:

TANZIA - Dkt. Hassan Doulla, Daktari bingwa wa watoto Hospitali ya Dkt. Massawe afariki dunia

Comment #71 inahusika.

2. Mtu anaweza kupokea chanjo lakini akafa kwa magonjwa mengine ambayo hata bila chanjo angaliweza bado kufa mfano: malaria, cancer, nk (yaani coincidence).
 
Born: 15th May, 1940. Departed: 17th August, 2021. With great sadness, the Mramba’s Family hereby announce the passage of our beloved father, Basil Pesambili Mramba; A life so beautifully lived deserves to be beautifully remembered. Mzee succumbed to illness at the Regency Medical Center earlier this morning, 17th August; 2021. Given the pandemic situation, the family accepts your sympathies and prayers and asks for privacy. We will receive visits from Family Members ONLY at his residence on Mawenzi Road, Oysterbay. Further information and program will be shared at a later stage. The Lord has given, and the Lord has taken away; May God rest his soul in eternal peace. Amen. Godfrey B. Mramba.
Msibani tutakula nini nyasi au mtori?
 
Acha hizo, aliyefariki anaitwa nani?
Huwa unaulizwa kama una ugonjwa nyemekezi kabka ya chanjo.
Usikute mtu ana HIV , kisukari au pressure.
Tahadhari ni yako mwenyewe.
Nikweli watafute wafanyakazi wa Airport watakuambia msiba upo hapa banana
 
Kwanza poleni sana kwa msiba. Kifo kinauma na ni upumbafu uliopitiliza kwa awaye yote kudunisha suala la kifo cha mtu asiyemhusu.

Zipo sababu nyingi zinazoweza kuelekea kifo mtu baada ya kupokea chanjo:

1. Kifo kutokana na chanjo kinacho sababishwa na masharti na vigezo kutozingatiwa:

TANZIA - Dkt. Hassan Doulla, Daktari bingwa wa watoto Hospitali ya Dkt. Massawe afariki dunia

Comment #71 inahusika.

2. Mtu anaweza kupokea chanjo lakini akafa kwa magonjwa mengine ambayo hata bila chanjo angaliweza bado kufa mfano: malaria, cancer, nk (yaani coincidence).
Kwahiyo unapingana na waliounda chanjo ?
 
Kwahiyo unapingana na waliounda chanjo ?

Wapi napopingana na watengeneza chanjo?

Uliweza kusoma nilichoandika au hata rejea nilizokupa?

#COVID19 - Chanjo isiwe Siasa, Vigezo na Masharti vizingatiwe

Ninakazia: Hapa nchini chanjo inatolewa bila kuzingatia masharti wala vigezo vya mtengenezaji.

Bila shaka ndiyo sababu tuna saini hati ya kutoiwajibisha serikali na wala siyo mtengeneza chanjo.

Siasa imetangulizwa mbele. Hii chanjo si kwa hisani ya SSH wala CCM.
 
Back
Top Bottom