Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,302
- 24,143
Acha hizo, aliyefariki anaitwa nani?Nanda iwanja wa ndege kuna msiba wa jamaa kafariki baada ya chanjo hapo wafanyakazi wa air port wameingia hofu baada ya huyo jamaa kufa kama mimi muongo basi waandishi wa habari waliopo hapa waende kuuliza ,wewe uliwasikia wizara wakisema kuwa madhara ya kovidi yasijulikane kwa yoyote ni kampeni ya kitaifa
Huwa unaulizwa kama una ugonjwa nyemekezi kabka ya chanjo.
Usikute mtu ana HIV , kisukari au pressure.
Tahadhari ni yako mwenyewe.