Kesho mh john mnyika atafanya mkutano wa hadhara viwanja vya tanesco kesho nasema tena tena mpaka kieleweke tukutane kesho wale wote nyumba zitakazovyunjwa bila malipo'matatizo ya maji'na mengneyo
mnyika ndiye mbunge bora mpaka sasa si kwa ccm au cdm. ni mbunge aliye karibu sana na wananchi wake na amefanya mikutano mingi sana na wananchi wa ubungo. big up brother and keep it up. tupo pamoja kuhakiksha unafanikisha dhamira yako ya kywasaidia wananchi wa ubungo na watanzania kwa ujumla
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.