Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,276
Anaandika Mbunge wa Tarime John Heche
Kipindi kama hiki Watanzania wote tunatakiwa kuungana bila kujali itikadi,rangi wala kabila kupinga watu wawili kuendesha nchi yetu kama mali yao binafsi, kwa mara ya kwanza nakupongeza sana Mh Nape kwa kukataa kupiga magoti na kutetea uovu.Umeonesha kwamba hutaki kujinafikisha kwasababu ya cheo. Karibu back bench tuungane kusimamia serikali umoja ni nguvu.
My take ===
Watanzania wengi hawakuelewa lengo la operesheni [HASHTAG]#UKUTA[/HASHTAG] lilikuwa ni kupinga mfumo wa udikteta kwenye nchi yetu nadhani kwa sasa wanaanza kuelewa vita hii kupinga udikteta inatakiwa kuunga mkono kwa kila mtanzania mwenye akili timamu
Kipindi kama hiki Watanzania wote tunatakiwa kuungana bila kujali itikadi,rangi wala kabila kupinga watu wawili kuendesha nchi yetu kama mali yao binafsi, kwa mara ya kwanza nakupongeza sana Mh Nape kwa kukataa kupiga magoti na kutetea uovu.Umeonesha kwamba hutaki kujinafikisha kwasababu ya cheo. Karibu back bench tuungane kusimamia serikali umoja ni nguvu.
My take ===
Watanzania wengi hawakuelewa lengo la operesheni [HASHTAG]#UKUTA[/HASHTAG] lilikuwa ni kupinga mfumo wa udikteta kwenye nchi yetu nadhani kwa sasa wanaanza kuelewa vita hii kupinga udikteta inatakiwa kuunga mkono kwa kila mtanzania mwenye akili timamu