Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
Ndugu zangu,
Nianze kwanza kwa kusema RIP Chacha Wangwe,pia nimpelekee pole ndugu yangu Tundu Lissu huku nikimpongeza Zitto Kabwe kwa kukubali kuanza maisha mapya nje ya Chadema kwa mafanikio.
Ukweli ni kuwa asilimia kubwa ya wabunge na viongozi Chadema wanatamani Ndugu John Heche awe mwenyekiti wa Chadema ili kuridhisha chama kwa wananchi. Ninataka kumuasa ndugu Heche kuwa makini kwani wote waliotajwa uenyekiti Chadema wamepitia hali ngumu na wengine wameuawa.
Kuwa makini John.
Nianze kwanza kwa kusema RIP Chacha Wangwe,pia nimpelekee pole ndugu yangu Tundu Lissu huku nikimpongeza Zitto Kabwe kwa kukubali kuanza maisha mapya nje ya Chadema kwa mafanikio.
Ukweli ni kuwa asilimia kubwa ya wabunge na viongozi Chadema wanatamani Ndugu John Heche awe mwenyekiti wa Chadema ili kuridhisha chama kwa wananchi. Ninataka kumuasa ndugu Heche kuwa makini kwani wote waliotajwa uenyekiti Chadema wamepitia hali ngumu na wengine wameuawa.
Kuwa makini John.