johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,778
- 141,662
Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA mh John Heche amesema CHADEMA ikipewa ridhaa ya kuongoza nchi itaruhusu Uraia Pacha.
Chanzo: Star tv
Chanzo: Star tv
Hili ni jambo la kimaendeleo na Diversity. Haya mawazo wakoloni weusi watapinga.Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh John Heche amesema Chadema ikipewa ridhaa ya kuongoza nchi itaruhusu Uraia Pacha.
Source: Star tv
Wambie kilichokata Pumzi ya Jiwe shetani ilikuwa mabwana wawili?Tundu Lisu hatakubali hiyo, hatakuwa na pumzi ya kutumikia mabwana wawili yani Amsterdam na pacha wake?
Mbona akina Silinde, Waitara wamepewa wizara na wamesoma hapo hapo kwa Kabudi aliposoma Heche, Zitto na Tundu Lisu!Ridhaa ya kuongoza nchi hawawwzi kupewa watu wasio na sera za maana vichaa kama huyo heche atapewa wizara Gani aiweze mripokaji tu hazina ya viongozi Iko ccm tu
HO wana akili ulishaina wapi chagadema wakawa na akili tamu we wasukize tu sasahivi wanavyofanya badala ya kuitangaza sera wanalazumisha vitu visivyo na msaada kwa mwananchiMbona akina Silinde, Waitara wamepewa wizara na wamesoma hapo hapo kwa Kabudi aliposoma Heche, Zitto na Tundu Lisu!
Yani inapendeza sana pale unapotaka kuua alafu wewe ndio unakufa kabla yake.Tundu Lisu hatakubali hiyo, hatakuwa na pumzi ya kutumikia mabwana wawili yani Amsterdam na pacha wake?
Tundu Lisu hatakubali hiyo, hatakuwa na pumzi ya kutumikia mabwana wawili yani Amsterdam na pacha wake?
Chadema wanamawazo mapya na ya Dunia ki-sasa. CCM inayotawaliwa na walalahoi kama mangula wa njombe atake uraia pacha wa nini?Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh John Heche amesema Chadema ikipewa ridhaa ya kuongoza nchi itaruhusu Uraia Pacha.
Source: Star tv
Mungu ibariki chademaMjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh John Heche amesema Chadema ikipewa ridhaa ya kuongoza nchi itaruhusu Uraia Pacha.
Source: Star tv
Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema mh John Heche amesema Chadema ikipewa ridhaa ya kuongoza nchi itaruhusu Uraia Pacha.
Source: Star tv
Umeishiwa hoja. Na CCM wanakulipa kabisa kwa utumbo kama huu?Tundu Lisu hatakubali hiyo, hatakuwa na pumzi ya kutumikia mabwana wawili yani Amsterdam na pacha wake?
Utaendelea kupiga deki vyoo vya lumumba hadi ufe , wanaonunuliwa wanapewa vyeo , bananga anapewa udc wiki ijayoHO wana akili ulishaina wapi chagadema wakawa na akili tamu we wasukize tu sasahivi wanavyofanya badala ya kuitangaza sera wanalazumisha vitu visivyo na msaada kwa mwananchi
Chadema wanamawazo mapya na ya Dunia ki-sasa. CCM inayotawaliwa na walalahoi kama mangula wa njombe atake uraia pacha wa nini?
Kina Sabaya, Makonda, Jane Muro....Ridhaa ya kuongoza nchi hawawwzi kupewa watu wasio na sera za maana vichaa kama huyo heche atapewa wizara Gani aiweze mripokaji tu hazina ya viongozi Iko ccm tu
Hivi huyu mzee pamoja na kulishwa sumu bado anang'ang'ania uongozi wa ccm ?Chadema wanamawazo mapya na ya Dunia ki-sasa. CCM inayotawaliwa na walalahoi kama mangula wa njombe atake uraia pacha wa nini?