Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,377
- 217,438
Huu ni mwaka wa uchaguzi na mnakumbuka kwamba tuliwahi kuonya kwamba kuiteketeza ccm inahitaji siku 7 tu , na hali ndio kama mnayoiona.
Bila Polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .
Tukutane baada ya uktoba na huu uduviWanaosema CHADEMA inakufa,wao ndio watakaokufa na kuicha inadunda.
Kwasababu mnajua tume ni yenu!!Tukutane baada ya uktoba na huu uduvi
If you think rape is inevitable, lay down and wait for enjoyment.Kwasababu mnajua tume ni yenu!!
Sasa mbona mnalialia kwamba mnanyimwa nafasi za kujumuika?
Ebu acheni uongo basi!
SwadaktaHilo la kunyimwa kukutana wala halina mjadala, na ushahidi upo. Nakumbuka zamani nikiwa mdogo nililelewa na mama wa kambo, mbali ya kunitesa sana, pia alikuwa na tabia ya kuninyima chakula. Sio kwamba alikuwa hanipi kabisa maana ningekufa, ila anaweza kunipa mara moja kwa siku, tena sio cha kushiba. Nikawa nashitaki kwa baba yangu hali hiyo. Akawa akimuona baba yangu akawa ananijazia chakula kisha anamwabia baba yangu, mtoto wako si huwa anakuambia simpi chakula, hicho hapo ni nini? Huyo John Heche kuwepo hapo kwenye mkutano, haimaanishi kuwa cdm hawakataliwi kufanya mikutano yao, tena kwa kakatazo haramu.
Mimi najiuliza, kwa nini huwa kunakipindi semina hizi na mikutano ya ndani huwa inapigwa marufuku na viongozi wake kukamatwa na Wakati mwingine inafanyika tena kwa Amani kabisa?
Inapokuwa imekubalika kufanyika polisi huwa hawana maelekezooo!! Au? Anayejua hili atujuze
Hongereni Chadema kwa mutano huo
100%Una uhakika kuwa kuiteketeza CCM ndani ya siku saba?
Mafuriko tayari hata kabla ya masika! Yajayo yanafurahisha.View attachment 1490375
Huu ni mwaka wa uchaguzi na mnakumbuka kwamba tuliwahi kuonya kwamba kuiteketeza ccm inahitaji siku 7 tu , na hali ndio kama mnayoiona.
Bila Polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .
Hii picha haiwezi kuwa ya 2015. Hiyo t-shirt aliyova Heche, zilianza kuvaliwa mwaka Jana kwenye uchanguzi wa ndani wa CDM Taifa. Wanawake wamevalia vitenge vilivyoanza kuvaliwa 8/3/2020 siku ya wanawake. Hii ni picha ya mwaka huu bila shaka yoyote.Unateseka sana na vipicha vya mwaka 2015 ili iweje?