John Heche asimamia semina elekezi Karatu, ukumbi wazidiwa na umati

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,377
217,438
Leo Mh. John Heche ameongoza mkutano mkubwa ndani ya jimbo la Karatu ikiwa ni ma ( 640 X 640 ).jpg


Huu ni mwaka wa uchaguzi na mnakumbuka kwamba tuliwahi kuonya kwamba kuiteketeza ccm inahitaji siku 7 tu , na hali ndio kama mnayoiona.

Bila Polisi ccm ni wepesi kuliko pamba .
 
Mimi najiuliza, kwa nini huwa kunakipindi semina hizi na mikutano ya ndani huwa inapigwa marufuku na viongozi wake kukamatwa na Wakati mwingine inafanyika tena kwa Amani kabisa?

Inapokuwa imekubalika kufanyika polisi huwa hawana maelekezooo!! Au? Anayejua hili atujuze

Hongereni Chadema kwa mutano huo
 
Sasa mbona mnalialia kwamba mnanyimwa nafasi za kujumuika?

Ebu acheni uongo basi!

Hilo la kunyimwa kukutana wala halina mjadala, na ushahidi upo. Nakumbuka zamani nikiwa mdogo nililelewa na mama wa kambo, mbali ya kunitesa sana, pia alikuwa na tabia ya kuninyima chakula. Sio kwamba alikuwa hanipi kabisa maana ningekufa, ila anaweza kunipa mara moja kwa siku, tena sio cha kushiba. Nikawa nashitaki kwa baba yangu hali hiyo. Akawa akimuona baba yangu akawa ananijazia chakula kisha anamwabia baba yangu, mtoto wako si huwa anakuambia simpi chakula, hicho hapo ni nini? Huyo John Heche kuwepo hapo kwenye mkutano, haimaanishi kuwa cdm hawakataliwi kufanya mikutano yao, tena kwa kakatazo haramu.
 
Hilo la kunyimwa kukutana wala halina mjadala, na ushahidi upo. Nakumbuka zamani nikiwa mdogo nililelewa na mama wa kambo, mbali ya kunitesa sana, pia alikuwa na tabia ya kuninyima chakula. Sio kwamba alikuwa hanipi kabisa maana ningekufa, ila anaweza kunipa mara moja kwa siku, tena sio cha kushiba. Nikawa nashitaki kwa baba yangu hali hiyo. Akawa akimuona baba yangu akawa ananijazia chakula kisha anamwabia baba yangu, mtoto wako si huwa anakuambia simpi chakula, hicho hapo ni nini? Huyo John Heche kuwepo hapo kwenye mkutano, haimaanishi kuwa cdm hawakataliwi kufanya mikutano yao, tena kwa kakatazo haramu.
Swadakta
 
Mimi najiuliza, kwa nini huwa kunakipindi semina hizi na mikutano ya ndani huwa inapigwa marufuku na viongozi wake kukamatwa na Wakati mwingine inafanyika tena kwa Amani kabisa?

Inapokuwa imekubalika kufanyika polisi huwa hawana maelekezooo!! Au? Anayejua hili atujuze

Hongereni Chadema kwa mutano huo

Hilo huwa linafanyika kama mbinu ya kuwadiscourage cdm ili watu wakate tamaa kuwaunga mkono. Hizi ni mbinu zilizokuwa zinatumika huko nchi za ulaya mashariki na vyama tawala vikongwe kama ccm, ili kubaki madarakani dhidi ya wapinzani wao. Pia ni mbinu chafu za nchi nyingi zinazotawaliwa na madictator. Na iwapo cdm itaonyesha kupata bado uungwaji mkono kuelekeo uchaguzi, lazima zitatumika tena mbinu nyingine ovu kuzuia huo uungwaji mkono. Hayo mambo hayafanyiki bahati mbaya, bali ni calculated.
 
Back
Top Bottom