Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,898
John Heche aliwataka wananchi kuzuia shughuli za ACACIA North Mara akaitwa "mchochezi", MUSUKUMA amezuia shughuli za GGM anaitwa "mzalendo"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka IkuluCcm wana kinga, usijifananishe nao.
Mi sishangai hili,John Heche aliwataka wananchi kuzuia shughuli za ACACIA North Mara akaitwa "mchochezi", MUSUKUMA amezuia shughuli za GGM anaitwa "mzalendo"
View attachment 588151
daah mkuu umefikiri sana, unajua watu bado tupo kwenye huzuni kwa yaliyompata lissu, hatukufiria ya msukuma, kweli mkuuJohn Heche aliwataka wananchi kuzuia shughuli za ACACIA North Mara akaitwa "mchochezi", MUSUKUMA amezuia shughuli za GGM anaitwa "mzalendo"
View attachment 588151
Ukiwa CCM/CUF/ACT unakuwa mzalendo kinyume chake wewe ni adui wa taifa hili.
Kweli mkuuRekebisha hapo Kwa CUF- sema CUF Lipumba
Nashauri popote pale polepole atakakosimama kuhutubia atandikweMi sishangai hili,
Wabunge na viongozi wa UKAWA hawaruhusiwi kuhutubia Mikutano ya Kisiasa nje ya maeneo wanakotoka wakati Humphrey Polepole na Shaka Hamidu wa UVCCM wanahutbia popote watakapo nchi hii na hakuna wa kuwafanya lolote.
Ukifuatilia siasa Za nchi hii unaweza kuumwa kichwaJohn Heche aliwataka wananchi kuzuia shughuli za ACACIA North Mara akaitwa "mchochezi", MUSUKUMA amezuia shughuli za GGM anaitwa "mzalendo"
View attachment 588151