Na hapo Kaka Lissu bado hajafikaHii hapa ndio hali halisi kwenye mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Tarafa , Sirari
Mataahira ya Lumumba yatasema photoshop!Hii hapa ndio hali halisi kwenye mkutano wa kampeni kwenye uwanja wa Tarafa , Sirari
Dodoma vichwani yamejaza viwavi jeshi!Mbona Heche kajaza kuliko lissu Dodoma?
Heche namkubali sana huyo mwamba! Hata policcm wanaijua shughuli yake!Henche anabalaa
unaumwa ugonjwa mkubwa sana .Wabunge wa cdm watafute kazi nyingine safari hii ngoma imebuma. Watamkumbuka sana EL tutakapo anza kutafuta mbunge wa cdm bungeni kwa kutumia kurunzi.
Mikutano ya JPM yote iko live kwa kila mtu kujionea huyu anayepotosha hapa kachanganyikiwa, haamini macho yake kwa kinacho endelea. Hamna namna, hamna jinsi ya kukusaidia.
Waapi huyo anakubalika huko kwao tu,bora Lissu anajulikana sehemu nyingi
hatupeani Kama maandazi,upimwe Kwanza upimike.Leo Magufuli ameomba apewe miaka 5 kama walivyopewa maraisi wengine nahisi huyu Mzee ameshaona namna watanzania wanvyochukizwa na uongozi wake
Hahahaha!!!!! Duuuu hatariHuoni wakina Ndugai ndio sampuli hiyo hiyo!!
Tuko hapa mkuu Hayo majimbo yote kea ccm labda LA mbowe tu atarudi tu jimboniMbeya mjini, arusha mjini, moshi town, tarime , serengeti, bunda, Hai , kawe wagombea wa ccm watafute kazi za kufanya
Asante Baba..ni balaa..Dom hyo hapoView attachment 1558506
Namaanisha mbunge wa CCM Aliekuwepo kabla ya heche kuwa.Hichi ni kiswahili lakini hata sijaelewa maana heche ni mbunge wa huko anayetetea kiti chake
Moshi Mjini hata CCM wanaielewa Brother; Tangu Mfumo wa vyama vingi uanzishwe nchi hii, CCM hawajawahi kuchukua pale; na mara zote huwa wanapigwa kwa Nusu ya kura zote zilizopigwa; Hayo mengine siwezi zungumzia; Ila Moshi; Watasubiri sana.Tuko hapa mkuu Hayo majimbo yote kea ccm labda LA mbowe tu atarudi tu jimboni
Huyo mwana Fa ni drug dealer wa kutupwa af awe mbunge kweli????. Ccm bwana?Mdogo wangu heche, mambo ni era tu, si kama mwana FA kandikiwa sera na hata kuzisoma tu hawezi.
Kweli ndio wakamuondoa adadi wakamuweka huyo boya.
Mhujumu uchumi aliyethibitishwa na Mahakama aitwaye Mwanyika anagombea ubunge NjombeHuyo mwana Fa ni drug dealer wa kutupwa af awe mbunge kweli????. Ccm bwana?