figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,888
Mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche ameomba mwongozo kwa Mwenyekiti wa Bunge kuhusu polisi kutumia nguvu kupita kiasi wakati wakiwaondoa wananchi waliovamia mgodi wa Nyamongo. Amesikitishwa na kitendo cha Polisi kuwazua Wananchi waliovamia Mgodi wa Madini wa Nyamong'o unamilikiwa na ACACIA.
Serikali ilitutangazia ACACIA ni majambazi, wananchi tumeamua kwenda kupambana na Majambazi ili kuchukua kilicho chetu, kwanini Polisi Watukataze na watumie nguvu kututawanya?
Wananchi wa Tarime walivamia Mgodi wa dhahabu wa Nyamongo kama walivyoelekezwa na Mbunge wao=>Mara: Wananchi wavamia mgodi wa Dhahabu wa Nyamongo na kupora Polisi wakiwepo!.
Wiki iliyoisha Mbunge wa Tarime aliahidi kuongoza Wananchi kuvamia Mgodi unaomilikiwa na ACACIA Wanaodaiwa hawapo nchini kisheria=>John Heche: Wananchi wa Tarime jiandaeni, Tutavamia mgodi wa Acacia na kupora kila kitu
Serikali ilitutangazia ACACIA ni majambazi, wananchi tumeamua kwenda kupambana na Majambazi ili kuchukua kilicho chetu, kwanini Polisi Watukataze na watumie nguvu kututawanya?
Wananchi wa Tarime walivamia Mgodi wa dhahabu wa Nyamongo kama walivyoelekezwa na Mbunge wao=>Mara: Wananchi wavamia mgodi wa Dhahabu wa Nyamongo na kupora Polisi wakiwepo!.
Wiki iliyoisha Mbunge wa Tarime aliahidi kuongoza Wananchi kuvamia Mgodi unaomilikiwa na ACACIA Wanaodaiwa hawapo nchini kisheria=>John Heche: Wananchi wa Tarime jiandaeni, Tutavamia mgodi wa Acacia na kupora kila kitu