Mbunge wa Tarime vijijini amefiwa na mdogo wake katika ajali mbaya iliyotokea mlima Nyamwaga.
View attachment 1168435
View attachment 1168435
Ajali imetokea mchana wa leo mlima Nyamwaga unaopatikana wilayani Tarime ikihusisha gari aina ya Hiace na watu takribani 9 wanadaiwa kufa papo hapo na wengine wametoka wakiwa mahututi.
Gari lilikuwa linafanya safari kati ya Tarime na Mugumu wilayani Serengeti.
Mashuhuda wanadai gari limefeli break na wamedai kulikuwa na watu zaidi ya 20 ndani.
View attachment 1168387
View attachment 1168435