John Heche adai kuwa, katika Wabunge 10 bora wa CHADEMA, Bilago alikuwemo: wasio bora ni akina nani?

Mgambilwa ni mntu

JF-Expert Member
May 30, 2017
2,869
3,188
Mbunge wa Tarime Vijijini (CHADEMA), Mh. John Heche, akiwa kwenye mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Buyungu, Marehemu Kasuku Bilago katika Wilaya ya Kakonko, mkoani Kigoma, alimtaja Marehemu Bilago kuwa alikuwa mmojawapo wa Wabunge 10 bora wa CHADEMA katika Bunge la Jamhuri ya Muungano.
Kauli hii imenifanya nijiulize sana kwamba, CHADEMA kina Wabunge jumla ya Wabunge 70 kati yao wa kuchaguliwa 34 na wa kuteuliwa ni 36. Orodha ya Wabunge hao ni ifuatayo:
IMG_3809.jpg
IMG_3810.jpg

IMG_3812.jpg IMG_3811.jpg

Sasa, John Heche ametumia mzania gani kumtaja Marehemu katika top 10. Kama kuna top 10 ya Wabunge bora ndani ya CHADEMA, basi kutakuwepo pia top ten ya Wabunge vilaza kwenye Chama hicho. Sasa, Wabunge wapi ni vilaza?
Wataalamu wanaeleza kuwa ukitaka kujua tabia ya mtu, mpe pesa lakini ukitaka kujua tabia ya mwanasiasa, mpe madaraka.
 
mbona hujiulizi baada ya miaka zaidi ya 50 ya utawala wa chama kimoja ,Tanzania yetu ipo wapi?
 
Uzuri ni kuwa, hata Mbunge kilaza wa Mwisho CHADEMA ni sawa na Vipanga wa Sisiem 5.

Hili lipo bayana kuwa, Kila Mbunge wa CHADEMA akili yake ni sawa na wabunge 5 wa SiSiem.
Vyovyote iwavyo Ntobi, tu-assume kuwa wa CDM ni vipanga lakini hawachaguliwi kwa sababu hawana swagger za kukubalika kwa wananchi. Sasa Wewe unaleta mambo ya "chenga twawala" wakati umebebebeshwa kapu la magoli.
 
Mbunge wa Tarime Vijijini (CHADEMA), Mh. John Heche, akiwa kwenye mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Buyungu, Marehemu Kasuku Bilago katika Wilaya ya Kakonko, mkoani Kigoma, alimtaja Marehemu Bilago kuwa alikuwa mmojawapo wa Wabunge 10 bora wa CHADEMA katika Bunge la Jamhuri ya Muungano.
Kauli hii imenifanya nijiulize sana kwamba, CHADEMA kina Wabunge jumla ya Wabunge 70 kati yao wa kuchaguliwa 34 na wa kuteuliwa ni 36. Orodha ya Wabunge hao ni ifuatayo:
View attachment 791092 View attachment 791093
View attachment 791095 View attachment 791094

Sasa, John Heche ametumia mzania gani kumtaja Marehemu katika top 10. Kama kuna top 10 ya Wabunge bora ndani ya CHADEMA, basi kutakuwepo pia top ten ya Wabunge vilaza kwenye Chama hicho. Sasa, Wabunge wapi ni vilaza?
Wataalamu wanaeleza kuwa ukitaka kujua tabia ya mtu, mpe pesa lakini ukitaka kujua tabia ya mwanasiasa, mpe madaraka.

Vilaza ni msiiigwwaaa naa Mmmbbbowwee
 
Mbunge wa Tarime Vijijini (CHADEMA), Mh. John Heche, akiwa kwenye mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Buyungu, Marehemu Kasuku Bilago katika Wilaya ya Kakonko, mkoani Kigoma, alimtaja Marehemu Bilago kuwa alikuwa mmojawapo wa Wabunge 10 bora wa CHADEMA katika Bunge la Jamhuri ya Muungano.
Kauli hii imenifanya nijiulize sana kwamba, CHADEMA kina Wabunge jumla ya Wabunge 70 kati yao wa kuchaguliwa 34 na wa kuteuliwa ni 36. Orodha ya Wabunge hao ni ifuatayo:
View attachment 791092 View attachment 791093
View attachment 791095 View attachment 791094

Sasa, John Heche ametumia mzania gani kumtaja Marehemu katika top 10. Kama kuna top 10 ya Wabunge bora ndani ya CHADEMA, basi kutakuwepo pia top ten ya Wabunge vilaza kwenye Chama hicho. Sasa, Wabunge wapi ni vilaza?
Wataalamu wanaeleza kuwa ukitaka kujua tabia ya mtu, mpe pesa lakini ukitaka kujua tabia ya mwanasiasa, mpe madaraka.

Mimi sijaona jambo la ajabu katika kauli hiyo ya Heche. Katika kila jamii ya wanadamu lazima kuna bora katika viwango vilivyopo. Mashuleni kuna wanafunzi bora katika kuelewa, hata makanisani ama misikitini kuna waumini bora ki imani kuliko wengine, jambo la msingi hapa ni kujua vigezo cha mbunge bora ni vipi. Huenda ni namna ya kujenga hoja, huenda ni hekima ya kushughulika na wenzake, huenda ni ujasiri wa kuiita spade, spade. Hebu chukulia mfano upande wa CCM, huwezi ukilinganisha Bashe na Mlinga au Msukuma ama Kibajaji, Bashe ni bora mara elfu ya hao.
 
Mbona CCM Mbunge mwenye nafuu ni 1.
Usitafute huyo mmoja ni nani.. Ila angalia wingi wa wajinga ccm+Chato.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom