Kubwajinga
JF-Expert Member
- Jan 23, 2008
- 2,194
- 296
Nakumbuka kuwa ilisemekana Mh. John Cheyo alikatiwa kitu kidogo na akina James Rugemalila wa IPTL akakaa kimya kuhusu ule mradi haramu wa umeme wa IPTL, wakati huo akiwa ni mwenyekiti wa kamati ya Mahesabu bungeni. Hivi kwenye hizi pilika pilika za BoT hayumo kabisa maana naona amekuwa kimya kwa muda sasa.

Bariadi East legislator John Cheyo (R) exchanges ideas with his Longido counterpart, Lekule Laizer, at the Parliament grounds in Dodoma yesterday. (Photo: Omar Fungo)