M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
lazima awe "poti" siyo?" Mimi ndiyo mwenyekiti nitashawishi vikao vyote vya UDP kwamba @ccm_tanzania wakimteua @MagufuliJP kuwa mgombea Urais na sisi tutamuunga mkono lakini wasipomteua basi tutaangalia namna nyingine " - John Cheyo, Mwenyekiti wa UDP.
EastAfrikaRadio
Kuna Mtu Mmoja aliwahi Kuniambia kuwa Mzukulu ukifa ukiwa umewatendea Mabaya Watu Kaburi lako wanaweza hata Kulinyea Mimavi tele tu.