Uchaguzi 2020 John Cheyo: Mimi ndiye mwenyekiti wa UDP, Nitashawishi tumuunge mkono Rais Magufuli

" Mimi ndiyo mwenyekiti nitashawishi vikao vyote vya UDP kwamba @ccm_tanzania wakimteua @MagufuliJP kuwa mgombea Urais na sisi tutamuunga mkono lakini wasipomteua basi tutaangalia namna nyingine " - John Cheyo, Mwenyekiti wa UDP.

EastAfrikaRadio

Kuna Mtu Mmoja aliwahi Kuniambia kuwa Mzukulu ukifa ukiwa umewatendea Mabaya Watu Kaburi lako wanaweza hata Kulinyea Mimavi tele tu.
lazima awe "poti" siyo?
 
JPM mwaka huu Inshallah atavunja record ya jk ya 2005 ya 80%

Hofu aliyojenga kwa tume ya uchaguzi, hata hiyo 80% ni ndogo. Atatangazwa hata kwa 120%. Hivyo ndivyo walevi wote wa madaraka hufanya.
 
KUMBE UDP Bado ipo?, Cheyo toka hata sijaanza kupinga kura ni mwenyeki mpka leo nimepiga kura zaiz ya 1 Bado ni mwenyeki??😂

Mtungi, naomba ufafanuzi utofauti wa kuilazimisha chadema na kumuacha Cheyo tafadhali
 
Huyo sasa hivi ni mwana ccm pure
" Mimi ndiyo mwenyekiti nitashawishi vikao vyote vya UDP kwamba @ccm_tanzania wakimteua @MagufuliJP kuwa mgombea Urais na sisi tutamuunga mkono lakini wasipomteua basi tutaangalia namna nyingine " - John Cheyo, Mwenyekiti wa UDP.

EastAfrikaRadio

Kuna Mtu Mmoja aliwahi Kuniambia kuwa Mzukulu ukifa ukiwa umewatendea Mabaya Watu Kaburi lako wanaweza hata Kulinyea Mimavi tele tu.
 
Hawawezi kuvivunja kwani vinatumika kutudanganya kuwa na wao ni wapinzani
Mwacheni tu aunge juhudi, mwenzake Lyatonga kesha tangulia. Niwashauri na vyama vyao wavivunje kabisa au wanasaka ........
 
Cheyo anavizia teuzi, namwambia hivi imekula kwake kwani membe na wenzake sita wamejiapiza kumchomoa jiwe ikulu kwa namna yoyote ile, kumbuka kikwete na nkapa ni miongoni hao sita wenzake na membe!
Teuzi ataiweza lakini
Huyu apumzike tu

Ova
 
" Mimi ndiyo mwenyekiti nitashawishi vikao vyote vya UDP kwamba @ccm_tanzania wakimteua @MagufuliJP kuwa mgombea Urais na sisi tutamuunga mkono lakini wasipomteua basi tutaangalia namna nyingine " - John Cheyo, Mwenyekiti wa UDP.

EastAfrikaRadio

Kuna Mtu Mmoja aliwahi Kuniambia kuwa Mzukulu ukifa ukiwa umewatendea Mabaya Watu Kaburi lako wanaweza hata Kulinyea Mimavi tele tu.

======

Dar es Salaam
CHAMA cha upinzani hapa nchini cha United Democratic Party, (UDP) leo Julai 2, 2020, kimefungua dirisha la uchukuaji fomu kwa wanachama wake wanaotaka kugombea Ubunge na Udiwani, huku kikitangaza kuwa hakitaweka mgombea Urais katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa akufanyika Oktoba mwaka, badala yake kitamuunga mkono Rais Dk. John Magufuli kama Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitampitisha kuwa mgombea wake wa urais

Mwenyekiti wa Chama UDP John Cheyo (Mapesa) amesema kipaumbele cha Rais Magufuli kuwainua wanyonge na kuleta maendeleo nchini ndio sababu iliyowafanya kuumuunga mkono katika ngazi ya kiti cha Urais, badala ya kuweka mgombea ambaye atampunguzia kura bila sababu.

"Namsifu Magufuli kwa kuboresha uchumi wa nchi kwa kuboresha miundombinu ya usari na usafirishaji wa anga, reli, barabara, bandari na pia kuwabana watumiaji vibaya wa madaraka na arasilimali za nchi tena ameboresha huduma za kijamii kama afya na elimu, ndiyo maana tumeamua kumuunga mkono endapo atapitishwa na Chama chake ila kama wasipompitisha tutatathimini kwanza ni nani tumpitishe alafu tutakuja na majibu kwa wananchi," amesema Cheyo.

Chama cha UDP kimekuwa cha pili kuunga mkono Rais Magufuli baada ya kutanguliwa na Chama Cha TLP ambacho tayari kimeshatangaza pia kumuunga mkono Rais Dk. Magufuli katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka huu.

Kuhusu kufundua dirisha la wagombea wa Ubunge na Udiwani kupitia UDP, Cheyo amesema baada ya dirisha hilo kufunguliwa leo, siku ya mwisho wa uchukuaji wa fomu hizo watatangaza kuendana na ratiba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na kusema "Natoa Rai kwa wanachama wa UDP, kuja kuchukua fomu ili kuweza kupata nafasi ya kuingia katika baraza la maamuzi,".
Cheyo yupo sahihi.Iwapo ndani ya miaka minne tu tumefika uchumi wa kati je tukimpa miaka ishirini si tutamzidi ata marekani na china
 
" Mimi ndiyo mwenyekiti nitashawishi vikao vyote vya UDP kwamba @ccm_tanzania wakimteua @MagufuliJP kuwa mgombea Urais na sisi tutamuunga mkono lakini wasipomteua basi tutaangalia namna nyingine " - John Cheyo, Mwenyekiti wa UDP.

EastAfrikaRadio

Kuna Mtu Mmoja aliwahi Kuniambia kuwa Mzukulu ukifa ukiwa umewatendea Mabaya Watu Kaburi lako wanaweza hata Kulinyea Mimavi tele tu.

======

Dar es Salaam
CHAMA cha upinzani hapa nchini cha United Democratic Party, (UDP) leo Julai 2, 2020, kimefungua dirisha la uchukuaji fomu kwa wanachama wake wanaotaka kugombea Ubunge na Udiwani, huku kikitangaza kuwa hakitaweka mgombea Urais katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa akufanyika Oktoba mwaka, badala yake kitamuunga mkono Rais Dk. John Magufuli kama Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitampitisha kuwa mgombea wake wa urais

Mwenyekiti wa Chama UDP John Cheyo (Mapesa) amesema kipaumbele cha Rais Magufuli kuwainua wanyonge na kuleta maendeleo nchini ndio sababu iliyowafanya kuumuunga mkono katika ngazi ya kiti cha Urais, badala ya kuweka mgombea ambaye atampunguzia kura bila sababu.

"Namsifu Magufuli kwa kuboresha uchumi wa nchi kwa kuboresha miundombinu ya usari na usafirishaji wa anga, reli, barabara, bandari na pia kuwabana watumiaji vibaya wa madaraka na arasilimali za nchi tena ameboresha huduma za kijamii kama afya na elimu, ndiyo maana tumeamua kumuunga mkono endapo atapitishwa na Chama chake ila kama wasipompitisha tutatathimini kwanza ni nani tumpitishe alafu tutakuja na majibu kwa wananchi," amesema Cheyo.

Chama cha UDP kimekuwa cha pili kuunga mkono Rais Magufuli baada ya kutanguliwa na Chama Cha TLP ambacho tayari kimeshatangaza pia kumuunga mkono Rais Dk. Magufuli katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka huu.

Kuhusu kufundua dirisha la wagombea wa Ubunge na Udiwani kupitia UDP, Cheyo amesema baada ya dirisha hilo kufunguliwa leo, siku ya mwisho wa uchukuaji wa fomu hizo watatangaza kuendana na ratiba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na kusema "Natoa Rai kwa wanachama wa UDP, kuja kuchukua fomu ili kuweza kupata nafasi ya kuingia katika baraza la maamuzi,".
Hongera sana mbona liko wazi hata mtoto mdogo analijua
 
" Mimi ndiyo mwenyekiti nitashawishi vikao vyote vya UDP kwamba @ccm_tanzania wakimteua @MagufuliJP kuwa mgombea Urais na sisi tutamuunga mkono lakini wasipomteua basi tutaangalia namna nyingine " - John Cheyo, Mwenyekiti wa UDP.

EastAfrikaRadio

Kuna Mtu Mmoja aliwahi Kuniambia kuwa Mzukulu ukifa ukiwa umewatendea Mabaya Watu Kaburi lako wanaweza hata Kulinyea Mimavi tele tu.

======

Dar es Salaam
CHAMA cha upinzani hapa nchini cha United Democratic Party, (UDP) leo Julai 2, 2020, kimefungua dirisha la uchukuaji fomu kwa wanachama wake wanaotaka kugombea Ubunge na Udiwani, huku kikitangaza kuwa hakitaweka mgombea Urais katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa akufanyika Oktoba mwaka, badala yake kitamuunga mkono Rais Dk. John Magufuli kama Chama Cha Mapinduzi (CCM) kitampitisha kuwa mgombea wake wa urais

Mwenyekiti wa Chama UDP John Cheyo (Mapesa) amesema kipaumbele cha Rais Magufuli kuwainua wanyonge na kuleta maendeleo nchini ndio sababu iliyowafanya kuumuunga mkono katika ngazi ya kiti cha Urais, badala ya kuweka mgombea ambaye atampunguzia kura bila sababu.

"Namsifu Magufuli kwa kuboresha uchumi wa nchi kwa kuboresha miundombinu ya usari na usafirishaji wa anga, reli, barabara, bandari na pia kuwabana watumiaji vibaya wa madaraka na arasilimali za nchi tena ameboresha huduma za kijamii kama afya na elimu, ndiyo maana tumeamua kumuunga mkono endapo atapitishwa na Chama chake ila kama wasipompitisha tutatathimini kwanza ni nani tumpitishe alafu tutakuja na majibu kwa wananchi," amesema Cheyo.

Chama cha UDP kimekuwa cha pili kuunga mkono Rais Magufuli baada ya kutanguliwa na Chama Cha TLP ambacho tayari kimeshatangaza pia kumuunga mkono Rais Dk. Magufuli katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika mwaka huu.

Kuhusu kufundua dirisha la wagombea wa Ubunge na Udiwani kupitia UDP, Cheyo amesema baada ya dirisha hilo kufunguliwa leo, siku ya mwisho wa uchukuaji wa fomu hizo watatangaza kuendana na ratiba ya Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na kusema "Natoa Rai kwa wanachama wa UDP, kuja kuchukua fomu ili kuweza kupata nafasi ya kuingia katika baraza la maamuzi,".
Mzee Mapesa ni Musukuma wa hukohuko na anafurahishwa na mgombea wa CCM anayezunguka na mabulungutu ya Mapesa ya Serkali akiwagawia watu wanaounga mkono juhudi. Hiyo ndo ilikuwa sera yake aliyonadi alipokuwa anawania Urais kupitia Chama chake Cha UDP lakini hata Wasukuma wenzake hawakuona hata cent.
 
Back
Top Bottom