John Bolton, Mshauri wa Trump kwenye masuala ya usalama adakwa na ujumbe huu "5,000 Troops to Colombia"

Hii kitu ni ya kimkakati hawa jamaa si wajinga hivyo classified kama hiyo kuiweka wazi hivyo haiwezekani hapo ni kutaka watu waanze kutambua mpango wao wa kuivamia venezuela ili siku wakiingia dunia angalau wanakuwa hawana taharuki sana pia inaweza kuwa ni kuwazubaza wapinzani wao ambao watalinda zaidi mipaka ya nje na kusahau ndani na kuamini mpaka wa colombia kuwa ndo njia watakayotumia kumbe tayari washaingia tayari venezuela ni muda tu wanasubiri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna vichwa vinaona kama he was trying to send a message indirectly..
Hii kitu ni ya kimkakati hawa jamaa si wajinga hivyo classified kama hiyo kuiweka wazi hivyo haiwezekani hapo ni kutaka watu waanze kutambua mpango wao wa kuivamia venezuela ili siku wakiingia dunia angalau wanakuwa hawana taharuki sana pia inaweza kuwa ni kuwazubaza wapinzani wao ambao watalinda zaidi mipaka ya nje na kusahau ndani na kuamini mpaka wa colombia kuwa ndo njia watakayotumia kumbe tayari washaingia tayari venezuela ni muda tu wanasubiri

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimewaelewa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nataka kujua hayo maneno ya juu yake yanasomeka vipi maana Media nazo huwa zinakuza mambo zana.


"Adviser John Bolton entered a press briefing on new Venezuela sanctions with a yellow legal pad, accidentally -- or not -- turned to face gathered reporters and photographers. On the pad appeared a hand-written note:

“Afghanistan --> welcome the talks. 5,000 troops to Colombia"
 
Mwaka 1973-1974 Saudi Arabia alimwekea Marekani Oil Embargo, na kusababisha Oil Crisis. Mbona Marekani hakuwavamia ? Unadhani leo hii Saudi Arabia akimpinga Marekani anaweza kuvamiwa kijeshi ?
Za siku kwanza mkuu..?

Kama Nakumbuka vizuri mfalme wa Saudia, king Faisal baada ya hii oil embargo aliuliwa na ndugu yake wa damu, na INASEMEKANA US walikua nyuma ya hiki kifo
 
Maduro anang'oka before the end of this year.
Maduro akitoka, basi Waziri wa Ulinzi ndio Atakua Rais .

Na atatoka sio kwa maandamano au Marekan,.

Bali Urusi imuombe ili wawalidhishe wananchi.


Mkuu, kwa ufupi, Amerika ya kusini. , urusi kabakiza Venezuela, kama mshirika wake muhimu sanaa yaan sanaaa kiasi kwamba HAWAWEZ KUMPOTEZA VENEZUELA.

NA WALA MAREKAN KWASASA HAIPO KTK HAMU YA VITA.


SO MADURO IS THERE TO STAY .
 
Kama Asad bado yupo maduro atakuwepo. Ni golden chance kwa Putin kucheza kwenye corridor ya Marekani Kwa Mara ya kwanza toka mgogoro wa Cuba. Nilipoona Midege ya Putin ikitua pale nikajua pamekucha

Sent using Jamii Forums mobile app
Akiba ya mafuta ardhin ya Urusi inasemekana kufikia 2050 itapungua sana, ivo Venezuela ndio mahali pekee wanapotegemea , Urusi kafanya uwekezaji mkubwaaa sana wa Mafuta.

NATO inajitanua kuizunguka Urusi.

Naurusi inategemea Venezuela ili itumie km sehem ya kuitishia Marekan km alivotumia Cuba.

Urus ndan ya Venezula, imekaa kimkakati, kiuchumi nakijeshi.
 
Hata Bashar Assad bado yupo na MAD DOG kaondoka badala ya Assad
Wizi wa USA wa kuiba mafuta huo, na trump anaangalia maslahi yake, wapi akaibe.
Russia hakubali hilo

Sent from my SM using Tapatalk
Mkuu, hilo la Venezuela sitofungua mdomo aiseee ila niko macho kuangalia huu muvi inaelekea vp na itaishaje...
Maana ya Syria kila mtu anajua Assad bado yupo Ofisini...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom