Melubo Letema
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 306
- 281
Mapema mwaka huu wakati wa Tulia Marathon, John Bayo alialika raia wa Kenya kinyume cha utaratibu kwa kuandika barua kwenda Athletics Kenya aki-forge sahihi ya aliekua Kaimu Katibu Mkuu wa RT Bi Ombeni Zavala. Baadae Bi Zavala aliikana barua hiyo na kusema kua ni Makamu wa Rais wa RT John Bayo ndie alieandika barua hiyo kwa kutumia sahihi yake ambayo alikua ameiscan na kutunza kwenye Computer za Ofisi za RT.
Barua hiyo Bayo aliandika akitaja majina na Passport namba za wajariadha wa Kenya ambao ana makubaliano nao ya mgao wa zawadi iwapo watashinda.
Week ijayo kuna mbio ya Zanzibar Marathon.
Kwa kumbukumbu ya timbwili la kilichotokea kwemye Tulia Marathon ambapo wanariadha wa Tanzania walifikia hatua ya kutishia kugomea mbio hiyo kutokana na kujaza Wakenya walioalikwa na Bayo bila kufuata taratibu, mwaka huu Bayo ameamua kualika Wakenya wake kwa kuforge sahihi ya Muandaaji wa mbio hiyo ya Zanzibar (Nakala ya barua nimeinyaka na ninaambatanisha).
Ikumbukwe kwamba Chama cha Riadha Tanzania ndio pekee chenye mamlaka ya kualika wanariadha kutoka nje kuja kukimbia Tanzania.
Barua hiyo Bayo aliandika akitaja majina na Passport namba za wajariadha wa Kenya ambao ana makubaliano nao ya mgao wa zawadi iwapo watashinda.
Week ijayo kuna mbio ya Zanzibar Marathon.
Kwa kumbukumbu ya timbwili la kilichotokea kwemye Tulia Marathon ambapo wanariadha wa Tanzania walifikia hatua ya kutishia kugomea mbio hiyo kutokana na kujaza Wakenya walioalikwa na Bayo bila kufuata taratibu, mwaka huu Bayo ameamua kualika Wakenya wake kwa kuforge sahihi ya Muandaaji wa mbio hiyo ya Zanzibar (Nakala ya barua nimeinyaka na ninaambatanisha).
Ikumbukwe kwamba Chama cha Riadha Tanzania ndio pekee chenye mamlaka ya kualika wanariadha kutoka nje kuja kukimbia Tanzania.