kikositija
Senior Member
- Jun 19, 2017
- 123
- 103
Wanajamvi hii leo weekend,
Baba Salama ndio nimetoka kusalimiana na wadau kitaa baada ya shughuli kubwa iliyoniweka bize kwa takribani juma zima.
Maana mzee anasema tupige kazi na mimi nampa heko kwa sababu anaimba wimbo wangu alionifundisha mwalimu mkuu kuwa siku zote nifikirie nitamfanyia nini mama Tanzania katika uhai wangu ili japo jasho langu liwe na thamani katika kuchangia speed ya 7.20GDP.
Sasa cha kushangaza sasa hivi ni sasa 11.57 PM Jogoo wameshaanza kuwika kuashiria kunapambazuka nadhani nao wanaelewa kuwa Tanzania ya sasa ni ya mchakamchaka kwa hiyo hakuna kulala.
Swali langu ni je ni sahihi jogoo kuwika saa mida hii?
Sent from my Redmi 4X using JamiiForums mobile app
Baba Salama ndio nimetoka kusalimiana na wadau kitaa baada ya shughuli kubwa iliyoniweka bize kwa takribani juma zima.
Maana mzee anasema tupige kazi na mimi nampa heko kwa sababu anaimba wimbo wangu alionifundisha mwalimu mkuu kuwa siku zote nifikirie nitamfanyia nini mama Tanzania katika uhai wangu ili japo jasho langu liwe na thamani katika kuchangia speed ya 7.20GDP.
Sasa cha kushangaza sasa hivi ni sasa 11.57 PM Jogoo wameshaanza kuwika kuashiria kunapambazuka nadhani nao wanaelewa kuwa Tanzania ya sasa ni ya mchakamchaka kwa hiyo hakuna kulala.
Swali langu ni je ni sahihi jogoo kuwika saa mida hii?
Sent from my Redmi 4X using JamiiForums mobile app