Ungetuambia umeona jamii gani ikifanya hivyo?....Tumezoea kusikia jogoo wengi wakiwika adhuhuri na wale wanaowika labda saa 5,6,7,8 usiku kuna tatizo lolote?manake jamii nyingine watamchinja uyo jogoo.
Kuna nn apo mpaka achinjwe?
Jamii nyingi jamii gani? maana umeshupaa jamii nyingi, husemi jamii gani? mana kuna jamii ya kenge , kuna jamii ya vyura?Jamii nyingi wanasema sio vizuri sasa sijui ubaya wake n nn?
Uyo jogoo kuwika usiku wa manane anakukumbusha baba mwenye nyumba ukumbuke kumpanda mkeo! Eeboo sasa wewe kulala kifudi fudi mwanzo mwisho ndo maana Jogoo anakasirika sasa, mshukuru Jogoo wako mkuuTumezoea kusikia jogoo wengi wakiwika adhuhuri na wale wanaowika labda saa 5,6,7,8 usiku kuna tatizo lolote?manake jamii nyingine watamchinja uyo jogoo.
Kuna nn apo mpaka achinjwe?
Afadhali hata umekuja na ushaidi manake nlishaambiwa ni jamii ya kenge au vyura...ungeniwekea hata utumbo na miguu mkuu nipike supuuJuzi tu tumemchinja mmoja aliwika saa 3 usiku aliwika siku ya kwanza tukakausha tukajua kajichanganya mara ya pili akapigwa kisu kwa mujibu wa wazee wanasema akiwika mapema uwa wanaleta mikosi ndani ya familia..