UZZIMMA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 406
- 456
Nikiwa nje ya kitanda huwa akili na hisia zangu zipo katika kula mzigo. Kiasi ambacho nikiongea na demu kwenye simu tu jogoo anawika. Nikikaa na demu karibu, mnara unasimama nganganga.
Sasa tatizo ni pale demu huyo huyo akishavua nguo chumbani, sasa hapo naona ni kitu cha ajabu tena. Jogoo anawika nusu mlingoti, na napoteza hamu bila ya kumwaga. Ni takriban mara nne jambo hili lishanitokea bila kujua tatizo.
Kiufupi nakuwa na hisia za mapenzi kwa mwanamke aliyevaa nguo. Mwanamke akishanivulia tu, hamu inakata.
Umri 20-25. Wataalamu wa mambo mnahisi tatizo ni nini. Sijawahi kupiga punyeto.
Sijawahi kufanya mapenzi.
Sasa tatizo ni pale demu huyo huyo akishavua nguo chumbani, sasa hapo naona ni kitu cha ajabu tena. Jogoo anawika nusu mlingoti, na napoteza hamu bila ya kumwaga. Ni takriban mara nne jambo hili lishanitokea bila kujua tatizo.
Kiufupi nakuwa na hisia za mapenzi kwa mwanamke aliyevaa nguo. Mwanamke akishanivulia tu, hamu inakata.
Umri 20-25. Wataalamu wa mambo mnahisi tatizo ni nini. Sijawahi kupiga punyeto.
Sijawahi kufanya mapenzi.