Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,641
Aliyekuwa makamu wa Rais kwenye serkali ya kidemokratik iliyoongozwa na ndugu barack Obama yupo kifua mbele katika kura za maoni zinazopigwa kumshindanisha na Rais aliyeko madarakani bwana D. Trump
Joe biden akikosoa vikali sea za Trump anaonekana kutamba zaidi kama ilivyokowa kwa hilary Clinton
Wachambuzi wanasema wapiga kura wa Trump ni watu bubu watu wanaoweza kudanganya kwenye kura za maoni lakini wakabaki kumpigia kura mtukutu Trump
Joe biden anaungwa mkono zaidi na wahamiamiaji haramu, mashoga, wasafirishaji wa madawa wa kulevya na maskini wasio kuwa na lakushika
Huku trump akipata uungwaji mkono na makundi muhimu amabayo yamekuwa yakiamua uchaguzi wa USA ambao huvuta hisia za watu wengi duniani
Je Obama atafanikiwa kumrudisha rafiki yake white house au ataangukia pua kama alivyomtia gundu rafiki yake hilary
Ila sera za Joe bidden huko mashariki ya kati hasa Iran ni hatari bora za Rais wa sasa zinauvumilivu
Joe biden akikosoa vikali sea za Trump anaonekana kutamba zaidi kama ilivyokowa kwa hilary Clinton
Wachambuzi wanasema wapiga kura wa Trump ni watu bubu watu wanaoweza kudanganya kwenye kura za maoni lakini wakabaki kumpigia kura mtukutu Trump
Joe biden anaungwa mkono zaidi na wahamiamiaji haramu, mashoga, wasafirishaji wa madawa wa kulevya na maskini wasio kuwa na lakushika
Huku trump akipata uungwaji mkono na makundi muhimu amabayo yamekuwa yakiamua uchaguzi wa USA ambao huvuta hisia za watu wengi duniani
Je Obama atafanikiwa kumrudisha rafiki yake white house au ataangukia pua kama alivyomtia gundu rafiki yake hilary
Ila sera za Joe bidden huko mashariki ya kati hasa Iran ni hatari bora za Rais wa sasa zinauvumilivu