Yaani kila nikisiliza kwa makini hoja zako, sioni chochote zaidi ya kusukumwa na UDINI... shame on you!!!Unamuita kipenzi chako Samia kuwa ni kadikteta?
Kuua binadam wa mataifa mengine sio uvunjaji wa haki za binadam? Nani muasisi wa vifo vingi duniani? Upumbavu mwingine kuusikia unahitajika moyo wa ziadaView attachment 1948858
Tafsiri isiyo rasmi;
Biden akihutubia mkutano wa Baraza kuu la Umoja wa mataifa, amesema;
"....Nyakati zijazo ni za viongozi ambao wanaheshimu uhuru wa watu wa kupumua (i.e kufurahia haki zao za kiraia, kisiasa, kiuchumi na kijamii) na si nyakati za viongozi wanaowakandamiza uhuru wa watu wao (wanaowaongoza) kwa mkono wa chuma wa utawala wa kiimla...."
Mwisho wa kunukuu. Hopefully, mrithi wa Mwendazake John P. Magufuli Chief Hangaya atakuwa amesikia na kuelewa vyema..!
Udini? Yani mimi niwe mdini?Yaani kila nikisiliza kwa makini hoja zako, sioni chochote zaidi ya kusukumwa na UDINI... shame on you!!!
Labda akikuwa ame lala.. Jilo likampitaView attachment 1948858
Tafsiri isiyo rasmi;
Biden akihutubia mkutano wa Baraza kuu la Umoja wa mataifa, amesema;
"....Nyakati zijazo ni za viongozi ambao wanaheshimu uhuru wa watu wa kupumua (i.e kufurahia haki zao za kiraia, kisiasa, kiuchumi na kijamii) na si nyakati za viongozi wanaowakandamiza uhuru wa watu wao (wanaowaongoza) kwa mkono wa chuma wa utawala wa kiimla...."
Mwisho wa kunukuu. Hopefully, mrithi wa Mwendazake John P. Magufuli Chief Hangaya atakuwa amesikia na kuelewa vyema..!
Wanafanyahivyo kuwasaidia wanaoonewa huko.Kuna viongozi wanaokandamiza haki za watu Kama hao Marekani?
Biden hapaswi kunyooshea vidole wengine, waache wao kuacha kukandamiza watu wa nchi nyingine
Hangaya atakuwa amejificha kwenye ushungi hasikii sana sana anasema hizo ni bangi za Biden.View attachment 1948858
Tafsiri isiyo rasmi;
Biden akihutubia mkutano wa Baraza kuu la Umoja wa mataifa, amesema;
"....Nyakati zijazo ni za viongozi ambao wanaheshimu uhuru wa watu wa kupumua (i.e kufurahia haki zao za kiraia, kisiasa, kiuchumi na kijamii) na si nyakati za viongozi wanaowakandamiza uhuru wa watu wao (wanaowaongoza) kwa mkono wa chuma wa utawala wa kiimla...."
Mwisho wa kunukuu. Hopefully, mrithi wa Mwendazake John P. Magufuli Chief Hangaya atakuwa amesikia na kuelewa vyema..!
View attachment 1948858
Tafsiri isiyo rasmi;
Biden akihutubia mkutano wa Baraza kuu la Umoja wa mataifa, amesema;
"....Nyakati zijazo ni za viongozi ambao wanaheshimu uhuru wa watu wa kupumua (i.e kufurahia haki zao za kiraia, kisiasa, kiuchumi na kijamii) na si nyakati za viongozi wanaowakandamiza uhuru wa watu wao (wanaowaongoza) kwa mkono wa chuma wa utawala wa kiimla...."
Mwisho wa kunukuu. Hopefully, mrithi wa Mwendazake John P. Magufuli Chief Hangaya atakuwa amesikia na kuelewa vyema..!
Ipo siku tutaanza kudai uhuru kwa Mungu na kumuona ni dikteta.Huwo ndio ukweli tawala nyingi za ki imla zitaanguka siku za mbeleni yani uhuru wa watu utakuwa ukipiganiwa kwa vita yani watu watakuwa wabishi kufugwa midomo sasa utauwa wangapi?
Pole sana ndugu. Ni wazi kwamba umeshakata tamaa. Sijui we dini gani.Msiwaamini hata chembe wanachozungumza...
Hizo kauli hazijaanza kuongelewa leo bali enzi na enzi!!
Kwa umri wangu huu, sijawahi kuwasikia wakihamasisha uwepo wa serikali za kikatili na zisizoheshimu utu wa watu lakini, tangu enzi na enzi, wamekuwa wakiwa-support, ama kwa mlango wa nyuma au kwa uwazi viongozi wasioheshimu utu wa watu!!!
Mwanzoni mwa Utawala wake, Iddi Amin alikuwa na "undugu" na Marekani pamoja na Israel hadi pale alipowageuka!!
Tusiende mbali....
Hata katika karne hii ya mahubiri ya Demokrasia, Utawala Bora, Utawala wa Sheria, Haki za Binadamu, and all that, bado tunashuhudia watu kama akina Kagame na Museveni wakiendelea kuwa madarakani huku wakiyatupa yote hayo!!
Najisikia huzuni sana ninapoona watu kama CHADEMA eti bado hadi leo hii wanaamini US wanaweza kufanya chochote kwa Kidikteta Uchwara Samia Hassan Suluhu!! Tunakuwa na hayo matumaini kama tulivyowahi kuona hao US wakifanya chochote dhidi ya nani?!
Ukweli mchungu ni kwamba, Marekani na Wananchi wao watapiga kelele kila kona wakisikia Serikali ya SSH inanyanyasa Mashoga kuliko wakisikia Mbowe amepelekwa mahakamani kwa kesi isiyo na kichwa wala miguu!!
Hivi mna habari kale kamkwara kadogo tu ka Daud Albert Bashite, watumiaji wa fursa walitumia mkwara ule kwenda USA eti "wao kama mashoga hali yao kiusalama ipo mashakani"?! Hili sio la kusikia kwa mtu bali niliona docs 2 kwa macho yangu jamaa wakiomba hifadhi "ya ukimbizi" kwa Trump!!
Je, leo unaweza kuingia US kirahisi kwa kusema Serikali ya SSH inakandamiza haki za kibinadamu mbali na ushoga?
Kwa wale wanafuatilia movie ya The Heires ambayo wahusika wakuu ni Romina na Kassi kwa upande mmoja na Daniela na Marga kwa upande mwingine wanaweza kuihusisha na kinachoendelea nchini.View attachment 1948858
Tafsiri isiyo rasmi;
Biden akihutubia mkutano wa Baraza kuu la Umoja wa mataifa, amesema;
"....Nyakati zijazo ni za viongozi ambao wanaheshimu uhuru wa watu wa kupumua (i.e kufurahia haki zao za kiraia, kisiasa, kiuchumi na kijamii) na si nyakati za viongozi wanaowakandamiza uhuru wa watu wao (wanaowaongoza) kwa mkono wa chuma wa utawala wa kiimla...."
Mwisho wa kunukuu. Hopefully, mrithi wa Mwendazake John P. Magufuli Chief Hangaya atakuwa amesikia na kuelewa vyema..!
Hizo za Coca cola wanazisemea huku tu ...... wakifika huko wanakuwa wapole utafikir wamemwagiwa maji baridi.Hajaambiwa hapo kwamba "Demokrasia sio Coca Cola"? au tusubiri kwanza hadi zamu yetu itakapowadia kuwapasha hao wanaotumia Coca Cola kwa wingi!
Tega sikio.
Lakini najua hulka zetu sio za kusema mambo kama hayo hadharani kama hapo. Hayo ni ya mvunguni kwetu tu, tunapotaka magaidi watuelewe.
Hiyo haina shida maana sisi tuna akili, macho na masikio na kibaya na kizuri kinaeleweka Marekani ndo nini hasa.Msiwaamini hata chembe wanachozungumza...
Hizo kauli hazijaanza kuongelewa leo bali enzi na enzi!!
Kwa umri wangu huu, sijawahi kuwasikia wakihamasisha uwepo wa serikali za kikatili na zisizoheshimu utu wa watu lakini, tangu enzi na enzi, wamekuwa wakiwa-support, ama kwa mlango wa nyuma au kwa uwazi viongozi wasioheshimu utu wa watu!!!
Mwanzoni mwa Utawala wake, Iddi Amin alikuwa na "undugu" na Marekani pamoja na Israel hadi pale alipowageuka!!
Tusiende mbali....
Hata katika karne hii ya mahubiri ya Demokrasia, Utawala Bora, Utawala wa Sheria, Haki za Binadamu, and all that, bado tunashuhudia watu kama akina Kagame na Museveni wakiendelea kuwa madarakani huku wakiyatupa yote hayo!!
Najisikia huzuni sana ninapoona watu kama CHADEMA eti bado hadi leo hii wanaamini US wanaweza kufanya chochote kwa Kidikteta Uchwara Samia Hassan Suluhu!! Tunakuwa na hayo matumaini kama tulivyowahi kuona hao US wakifanya chochote dhidi ya nani?!
Ukweli mchungu ni kwamba, Marekani na Wananchi wao watapiga kelele kila kona wakisikia Serikali ya SSH inanyanyasa Mashoga kuliko wakisikia Mbowe amepelekwa mahakamani kwa kesi isiyo na kichwa wala miguu!!
Hivi mna habari kale kamkwara kadogo tu ka Daud Albert Bashite, watumiaji wa fursa walitumia mkwara ule kwenda USA eti "wao kama mashoga hali yao kiusalama ipo mashakani"?! Hili sio la kusikia kwa mtu bali niliona docs 2 kwa macho yangu jamaa wakiomba hifadhi "ya ukimbizi" kwa Trump!!
Je, leo unaweza kuingia US kirahisi kwa kusema Serikali ya SSH inakandamiza haki za kibinadamu mbali na ushoga?
Kwa hiyo na sisi tukandamize.Kuna viongozi wanaokandamiza haki za watu Kama hao Marekani?
Biden hapaswi kunyooshea vidole wengine, waache wao kuacha kukandamiza watu wa nchi nyingine
The speech does not concern Tanzania government! We are not part of what the Americans don't like. In fact, we are currently American darlings - which is worry some!Mbinyo huu kutoka kwa Jumuiya ya Kimataifa, tayari umeanza kudhoofisha nia ovu za ukatili ziwe kesi za kutunga, PGO n.k zote zimekuwa kaa la moto kwa utawala wa kidhalimu.
The full transcript of Biden's speech is below
Around the world, we're increasingly seeing citizens demonstrate their discontent seeing the wealthy and well-connected grow richer and richer, taking payoffs and bribes, operating above the law while the vast majority of the people struggle to find a job or put food on the table or to get their business off the ground or simply send their children to school.
Authoritarianism — the authoritarianism of the world may seek to proclaim the end of the age of democracy, but they're wrong.
The truth is: The democratic world is everywhere. It lives in the anti-corruption activists, the human rights defenders, the journalists, the peace protestors on the frontlines of this struggle in Belarus, Burma, Syria, Cuba, Venezuela and everywhere in between.
People have taken to the streets in every region to demand that their governments address peoples' basic needs, give everyone a fair shot to succeed, and protect their God-given rights.
And in that chorus of voices across languages and continents, we hear a common cry: a cry for dignity — simple dignity. As leaders, it is our duty to answer that call, not to silence it.
The United States is committed to using our resources and our international platform to support these voices, listen to them, partner with them to find ways to respond that advance human dignity around the world.
READ MORE Source: Full transcript: Biden addresses 76th UN General Assembly
Viongozi dizaini ya JPm hawafai kwa dunia ya Sasa (mungu amrehemu huko alipo), Nchi au dunia inaitaji viongozi dizaini ya Samia,wenye kuheshimu haki za watuView attachment 1948858
Tafsiri isiyo rasmi;
Biden akihutubia mkutano wa Baraza kuu la Umoja wa mataifa, amesema;
"....Nyakati zijazo ni za viongozi ambao wanaheshimu uhuru wa watu wa kupumua (i.e kufurahia haki zao za kiraia, kisiasa, kiuchumi na kijamii) na si nyakati za viongozi wanaowakandamiza uhuru wa watu wao (wanaowaongoza) kwa mkono wa chuma wa utawala wa kiimla...."
Mwisho wa kunukuu. Hopefully, mrithi wa Mwendazake John P. Magufuli Chief Hangaya atakuwa amesikia na kuelewa vyema..!
Kwaiyo ushungi wake ndio unakukera!! Ulitaka atembee kichwa wazi huku kaning'iniza Rozali,Sijui mama ushungi kama alielewa lugha. akija kusoma humu atashtuka eeeh kumbe Joe alisema haya?