Joe Biden awaambia wajumbe wa UN - General Assembly kuwa, dunia ya wakati ujao si ya viongozi katili wanaokandamiza haki za watu...

Kuna haja ya kuujengea hoja huu mstari mmoja na nusu, kwa sababu ndio ukweli wenyewe.

Mkuu 'Chige' upo tayari kufanya hivyo. Kwa nini inakuwa hivyo!

Mimi ntasema "It all boils down to self interests and the pressure groups behind the subject of interest" Mugabe aliwekewa hadi vikwazo vya kiuchumi, kwa sababu wale mashoga walichachamaa ile mbaya.

CHADEMA , na sisi wengine wote tunaochukizwa na manyanyaso na kunyimwa haki ni wajibu wetu kutambua kwamba kazi ya kujiondoa kwenye hali hiyo ni yetu sisi wenyewe.
Uwanja wetu muhimu sana wa kuyapata mafanikio hayo upo hapa hapa nyumbani sio kwingine kokote.

Huko nje tukitaka msaada ni kushirikiana na 'pressure groups' wa huko ili na wao wawalalie viongozi wao na serikali

Usitegemee serikali za huko kufanya lolote bila ya kusukumwa na wananchi wao huko huko kwao.
Hakika umenena vyema...

Wengine wanadhani kelele zetu hizi ni eti mwisho wa siku serikali za magharibi ziingilie tawala za nchi zenye uongozi wa chembechembe za uimla kama inavyofanyika huko Syria, Afghanistan, Somalia au DRC na kwingineko...

Lakini ulichokieleza hapa hakika ndivyo inavyopaswa kuwa...

Na uzuri wa serikali za wenzetu zinaheshimu na kusikiliza sauti za RAIA wao na kuzifanyia kazi sawia...

Tuendelee kupiga kelele za mabadiliko na tushirikiane na pressure groups za mataifa mengine na za kimataifa kuzishawishi nchi zao kuacha kushirikiana na serikali zisizoheshimu demokrasia, utawala wa sheria na haki za watu kama Tanzania..
 
Kuna viongozi wanaokandamiza haki za watu Kama hao Marekani?
Biden hapaswi kunyooshea vidole wengine, waache wao kuacha kukandamiza watu wa nchi nyingine
yaani mimi huwa nashangaa sana mtu akisema tanzania kuna ukandamizaji wahaki za binadamu hakuna democrasia hakuna uhuru wa habarijamani hivi wanaokandamizwahamuwani? mataifa yanayokiukademocrasiahamuyaoni? hapa shida ni kwamba democrasia wanayotaka hao wachache ni kwamba serikali ashikempinzani tu wao ndiyo wataona kuwa hiyo ndiyo democrasia ila hawaoni ni jinsigani ccm wanabadirishana uongozi hakuna mtu anahodhi madaraka au analazimisha kuendeea na uongozi zaidi ya vipindiviwili nachelea kusema kuwa haochadema sasa hivi wape nchi kama watakujakuwaachia na wengine hawata weza kama wameshindwa democrasia ndogotu ya kubadirishana uenyekiti kwao wameshindwa inamaana hakna mtumwingine mwenye uwezo wa kuwa mwenyekiti?ina maana hawana watu wengi wenye uwezo sasa wanataka madaraka halafu iweje? wazungu wanayasema tu hayo lakini kwao hawafanyi
 
Hakika umenena vyema...

Wengine wanadhani kelele zetu hizi ni eti mwisho wa siku serikali za magharibi ziingilie tawala za nchi zenye uongozi wa chembechembe za uimla kama inavyofanyika huko Syria, Afghanistan, Somalia au DRC na kwingineko...

Lakini ulichokieleza hapa hakika ndivyo inavyopaswa kuwa...

Na uzuri wa serikali za wenzetu zinaheshimu na kusikiliza sauti za RAIA wao na kuzifanyia kazi sawia...

Tuendelee kupiga kelele za mabadiliko na tushirikiane na pressure groups za mataifa mengine na za kimataifa kuzishawishi nchi zao kuacha kushirikiana na serikali zisizoheshimu demokrasia, utawala wa sheria na haki za watu kama Tanzania..
kwani mkuu democrasia unavyoifikira wewe ni kuwa nchi iongozwe na upinzani tu au ?
 
Msiwaamini hata chembe wanachozungumza...

Hizo kauli hazijaanza kuongelewa leo bali enzi na enzi!!

Kwa umri wangu huu, sijawahi kuwasikia wakihamasisha uwepo wa serikali za kikatili na zisizoheshimu utu wa watu lakini, tangu enzi na enzi, wamekuwa wakiwa-support, ama kwa mlango wa nyuma au kwa uwazi viongozi wasioheshimu utu wa watu!!!

Mwanzoni mwa Utawala wake, Iddi Amin alikuwa na "undugu" na Marekani pamoja na Israel hadi pale alipowageuka!!

Tusiende mbali....

Hata katika karne hii ya mahubiri ya Demokrasia, Utawala Bora, Utawala wa Sheria, Haki za Binadamu, and all that, bado tunashuhudia watu kama akina Kagame na Museveni wakiendelea kuwa madarakani huku wakiyatupa yote hayo!!

Najisikia huzuni sana ninapoona watu kama CHADEMA eti bado hadi leo hii wanaamini US wanaweza kufanya chochote kwa Kidikteta Uchwara Samia Hassan Suluhu!! Tunakuwa na hayo matumaini kama tulivyowahi kuona hao US wakifanya chochote dhidi ya nani?!

Ukweli mchungu ni kwamba, Marekani na Wananchi wao watapiga kelele kila kona wakisikia Serikali ya SSH inanyanyasa Mashoga kuliko wakisikia Mbowe amepelekwa mahakamani kwa kesi isiyo na kichwa wala miguu!!

Hivi mna habari kale kamkwara kadogo tu ka Daud Albert Bashite, watumiaji wa fursa walitumia mkwara ule kwenda USA eti "wao kama mashoga hali yao kiusalama ipo mashakani"?! Hili sio la kusikia kwa mtu bali niliona docs 2 kwa macho yangu jamaa wakiomba hifadhi "ya ukimbizi" kwa Trump!!

Je, leo unaweza kuingia US kirahisi kwa kusema Serikali ya SSH inakandamiza haki za kibinadamu mbali na ushoga?
UnatakaJe wewe ?. Kwamba tuutukuze tawala za mkono wa chuma ?!
 
View attachment 1948858
Tafsiri isiyo rasmi;

Biden akihutubia mkutano wa Baraza kuu la Umoja wa mataifa, amesema;

"....Nyakati zijazo ni za viongozi ambao wanaheshimu uhuru wa watu wa kupumua (i.e kufurahia haki zao za kiraia, kisiasa, kiuchumi na kijamii) na si nyakati za viongozi wanaowakandamiza uhuru wa watu wao (wanaowaongoza) kwa mkono wa chuma wa utawala wa kiimla...."

Mwisho wa kunukuu. Hopefully, mrithi wa Mwendazake John P. Magufuli Chief Hangaya atakuwa amesikia na kuelewa vyema..!
Na haki za watu ni hii katiba mpya na rule of people ,mifumo ya sasa INA uonevu mkubwa kwa wenye nchi hususani kwenye maamuzi ya hovyo mfano tozo za kila aina ,wanatengeneza tatizo na kuanza kulisuluhisha tatizo ,katiba itazuia maamuz ya hovy ya watu wachache.
 
View attachment 1948858
Tafsiri isiyo rasmi;

Biden akihutubia mkutano wa Baraza kuu la Umoja wa mataifa, amesema;

"....Nyakati zijazo ni za viongozi ambao wanaheshimu uhuru wa watu wa kupumua (i.e kufurahia haki zao za kiraia, kisiasa, kiuchumi na kijamii) na si nyakati za viongozi wanaowakandamiza uhuru wa watu wao (wanaowaongoza) kwa mkono wa chuma wa utawala wa kiimla...."

Mwisho wa kunukuu. Hopefully, mrithi wa Mwendazake John P. Magufuli Chief Hangaya atakuwa amesikia na kuelewa vyema..!
APA nimeamin jpm alikuwa na undugu na Bideni kuna watu wanapata muhaho
 
View attachment 1948858
Tafsiri isiyo rasmi;

Biden akihutubia mkutano wa Baraza kuu la Umoja wa mataifa, amesema;

"....Nyakati zijazo ni za viongozi ambao wanaheshimu uhuru wa watu wa kupumua (i.e kufurahia haki zao za kiraia, kisiasa, kiuchumi na kijamii) na si nyakati za viongozi wanaowakandamiza uhuru wa watu wao (wanaowaongoza) kwa mkono wa chuma wa utawala wa kiimla...."

Mwisho wa kunukuu. Hopefully, mrithi wa Mwendazake John P. Magufuli Chief Hangaya atakuwa amesikia na kuelewa vyema..!
Mwambie Biden amwachie Assange kama wanathamini haki za binadamu
 
Biden njoo na fimbo huku😁😁😁
7nbv654311.jpg
 
Udini? Yani mimi niwe mdini?

Mimi 2025 ntazunguka nchi nzima kumuombea kura Samia.

Sasa hivi eti unamuita Samia kadikteta wakati ulikuwa unajipinda humu kumtetea hata baada ya kupandisha mikodi kwenye mafuta ukawa unasema siyo yeye bali soko la dunia?
Sasa nini kinakufanya uamini "SSH ni kipenzi changu"!

Kuna uwezekano mkubwa sana, kuna pahala nilitaja imani yangu, na kwahiyo ulipoona natetea kuhusu mafuta ukaamini kwamba nafanya hivyo kwa sababu SSH ni mwislamu mwenzangu!!

SSH nimempinga mara nyingi zaidi kuliko kukubaliana nae, sasa kwanini suala la mafuta kwako ndo iwe hoja ya kuirudia mara kwa mara?! Au huna hoja nyingine?

Na hivi nilisema sio yeye ni benki ya dunia ndiyo imepandisha kodi au nilisema bei ya mafuta inakuwa influenced na soko la dunia?! Ina maana hadi sasa hujui ni nani anapandisha kodi, na nani anapandisha bei ya mafuta?

Rais ana uwezo wa kupandisha kodi wakati ni bunge ndilo linaloweza kufanya marekebisho ya viwango vya kodi?!

Mlipiga kelele wakati bunge linapandisha kodi?! Au kodi inapangwa na Ikulu?!

Btw, kwanini hujawahi kusema JPM ni kipenzi changu pale nilipotetea ufunguliwaji wa CRDB Chato Branch; jambo ambalo critics wa JPM karibu wote walipinga?!

Niliwahi kukuambia, nitarudia kukueleza; I'm an economist!! Mambo ya kiuchumi nitaongea kiuchumi na sio kisisasa au kishabiki kama mnavyoongea wengine!!

Na kutokana na hilo, be prepared kukukera zaidi kwa sababu endapo kutakuwa na suala la kiuchumi na kibiashara, basi nitalijadili kama Mchumi, na kwahiyo kuna uwezekano nikakukera kutegemeana na issue husika ipo vipi kama ambavyo niliwahi kuwakera watu kuhusu SGR!!

Na kwamba eti utazunguka nae 2025, hiyo ni hoja isiyo na maana yoyote kwa sababu kama wewe ni kada, kuzunguka kumpigia kampeni ni wajibu wako!!

All in all, usinihusishe na ma-CCM, kwa sababu haitatokea niwe mfuasi wa CCM lakini naweza kukubaliana na hoja chanya za wana-CCM!!
 
UnatakaJe wewe ?. Kwamba tuutukuze tawala za mkono wa chuma ?!
Labda nikuulize wewe...

Unataka tuutukuze unafiki wa wazungu akina Biden kwamba wanaweza kutuondolea utawala wa chuma?

Kama alivyowahi kufanya wapi ukiondoa Middle East ambako ana maslahi yake?!

Hivi kuelekea 2010, ni Obama ndie aliwezesha vitu kama Operesheni Sangara kule Kanda ya Ziwa au ni CHADEMA wenyewe ndio waliamua "liwalo na liwe"?!

NI mara ngapi polisi walipiga mabomu lakini watu hawakurudi nyuma?

Umesahau ya Operesheni Sangara ilivyoleta matokeo chanya kwenye uchaguzi wa 2010, hadi bungeni kukawa hakukaliki?!
 
View attachment 1948858
Tafsiri isiyo rasmi;

Biden akihutubia mkutano wa Baraza kuu la Umoja wa mataifa, amesema;

"....Nyakati zijazo ni za viongozi ambao wanaheshimu uhuru wa watu wa kupumua (i.e kufurahia haki zao za kiraia, kisiasa, kiuchumi na kijamii) na si nyakati za viongozi wanaowakandamiza uhuru wa watu wao (wanaowaongoza) kwa mkono wa chuma wa utawala wa kiimla...."

Mwisho wa kunukuu. Hopefully, mrithi wa Mwendazake John P. Magufuli Chief Hangaya atakuwa amesikia na kuelewa vyema..!
Mungu wabariki Wazungu

%E2%9C%8C%EF%B8%8F%E2%9C%8C%EF%B8%8F%E2%9C%8C%EF%B8%8F.jpg
 
Pole sana ndugu. Ni wazi kwamba umeshakata tamaa. Sijui we dini gani.
Nakushauri jiunge na isiyo na wenye dhambi.
NImekata tamaa ya nini?!

Kama kusema tusimwamini hiyo sio kukata tamaa, kwa sababu naamini ni sisi wenyewe ndio wenye uwezo wa kuwaondoa madarakani ma-dikteta!!!

Biden na Wazungu wenzangu wanaweza kutuondolea madikteta, IF AND ONLY IF madikteta hao watahatarisha maslahi yao!!

Je, kuna Dikteta au Dikteta uchwara Afrika unayemuona anahatarisha maslahi yao?
 
Acha kujishuku. Shukuru hao US hawachukui hatua, vinginevyo itakuwa balaa.
viongozi wanaokandamiza haki za watu Kama hao Marekani?
Biden hapaswi kunyooshea vidole wengine, waache wao kuacha kukandamiza watu wa nchi nyingine
 
Ni sawa na kusema " Dunia ijayo ni ya kuheshimu mashoga pasipo kuwatenga iwe msikitini/kanisani" mtake msitake.
 
Back
Top Bottom