Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,358
- 29,194
unaenda kula pilipili ,mbuzi siyo?Nasikia mwezi ujao matokeo ya ICC yanatoka, najiandaa kurudi kijijini kwangu Butiama.
nakuletea ya mwendokasi pia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unaenda kula pilipili ,mbuzi siyo?Nasikia mwezi ujao matokeo ya ICC yanatoka, najiandaa kurudi kijijini kwangu Butiama.
Hivi lile Jasusi Mike Pompeo liliiweka wazi na kuipublish orodha?Makonda hatakiwi Marekani, na wote walioshiriki kuiba uchaguzi orodha yao ipo kamwe hawatakanyaga Marekani.
Kuna visa ban mbili tofauti zinawachanganya watu, kuna hii ya awali ambayo ni ya kuhusiana na ugaidi zaidi, ilikataza green card lottery kwa Watanzania na nchi kadhaa za Kiislamu.Ukimsoma kwa makini aliyeanzisha thread anareflect poor IQ za Watanzania waliowengi.
Imagine taarifa ya ubalozi wa Marekani wametowa taarifa hiyo kwa kiswahili na kingereza na bado jitu bogus hajui kilichoongelewa hapo ni kipi.
Makonda hatakiwi Marekani, na wote walioshiriki kuiba uchaguzi orodha yao ipo kamwe hawatakanyaga Marekani.
Serikali yoyote ya Marekani haicheki na waharibifu wa demokrasia Afrika.
Ni jambo jema!Siku moja baada ya kuapishwa Joe Biden aondoa Visa Ban iliyowekwa kwa Tanzania
View attachment 1683401
View attachment 1683412
Proclamation on Ending Discriminatory Bans on Entry to The United States | The White House
The United States was built on a foundation of religious freedom and tolerance, a principle enshrined in the United States Constitution.www.whitehouse.gov
Mkuu, kuna tatizo kubwa sana Tz. Yaani watu wameamini kabisa kuwa ndicho kilichotokeaUkimsoma kwa makini aliyeanzisha thread anareflect poor IQ za Watanzania waliowengi.
Imagine taarifa ya ubalozi wa Marekani wametowa taarifa hiyo kwa kiswahili na kingereza na bado jitu bogus hajui kilichoongelewa hapo ni kipi.
Makonda hatakiwi Marekani, na wote walioshiriki kuiba uchaguzi orodha yao ipo kamwe hawatakanyaga Marekani.
Serikali yoyote ya Marekani haicheki na waharibifu wa demokrasia Afrika.
Mkuu Ahsante sana, endelea kulisaidia Taifa !!!Kuna visa ban mbili tofauti zinawachanganya watu, kuna hii ya awali ambayo ni ya kuhusiana na ugaidi zaidi, ilikataza green card lottery kwa Watanzania na nchi kadhaa za Kiislamu.
Hii ndiyo Biden kaiondoa, imekaa kizushi zushi hivi.
Nyingine ya juzi juzi hapa imewekwa siku za mwisho za utawala wa Trump dhidi ya viongozi wa serikali Tanzania, kuhusiana na uchaguzi, hiyo bado ipo pale pale.
Watanzania kujiunga kwenye vikundi vya kigaidi??Yes, hiyo bahati nasibu ya Green Card iliwekwa Kwasababu ya hisia za ugaidi kutokana na watanzania wengi kujiunga kwenye vikundi vya kigaidi.
Haina mahusiano na uchaguzi wala wavunjaji wa haki za binadamu.
Uandishi wa kiLumumba. Inakushinda nini kuandika "visa ban ya bahati nasibu'?Siku moja baada ya kuapishwa Joe Biden aondoa Visa Ban iliyowekwa kwa Tanzania.
View attachment 1683401
View attachment 1683412
Proclamation on Ending Discriminatory Bans on Entry to The United States | The White House
The United States was built on a foundation of religious freedom and tolerance, a principle enshrined in the United States Constitution.www.whitehouse.gov
Matola unaiona Marekani Kama Paradiso! Go east go west Home is the best!!Ukimsoma kwa makini aliyeanzisha thread anareflect poor IQ za Watanzania waliowengi.
Imagine taarifa ya ubalozi wa Marekani wametowa taarifa hiyo kwa kiswahili na kingereza na bado jitu bogus hajui kilichoongelewa hapo ni kipi.
Makonda hatakiwi Marekani, na wote walioshiriki kuiba uchaguzi orodha yao ipo kamwe hawatakanyaga Marekani.
Serikali yoyote ya Marekani haicheki na waharibifu wa demokrasia Afrika.
Umenipa mwanga mkuu ,now nmeelewaKuna visa ban mbili tofauti zinawachanganya watu, kuna hii ya awali ambayo ni ya kuhusiana na ugaidi zaidi, ilikataza green card lottery kwa Watanzania na nchi kadhaa za Kiislamu.
Hii ndiyo Biden kaiondoa, imekaa kizushi zushi hivi.
Nyingine ya juzi juzi hapa imewekwa siku za mwisho za utawala wa Trump dhidi ya viongozi wa serikali Tanzania, kuhusiana na uchaguzi, hiyo bado ipo pale pale.
Mwambieni Lisu asapoti na hilo la kuondoa vikwazoBado haimaanishi kuwa uchaguzi ulikuwa hauna dosari.
Mbona kama umechukia sana kwa hatua hii ya USA?Ukimsoma kwa makini aliyeanzisha thread anareflect poor IQ za Watanzania waliowengi.
Imagine taarifa ya ubalozi wa Marekani wametowa taarifa hiyo kwa kiswahili na kingereza na bado jitu bogus hajui kilichoongelewa hapo ni kipi.
Makonda hatakiwi Marekani, na wote walioshiriki kuiba uchaguzi orodha yao ipo kamwe hawatakanyaga Marekani.
Serikali yoyote ya Marekani haicheki na waharibifu wa demokrasia Afrika.
Hii visa diversity haihusiani na visa restrictions ya uchaguzi bado itaendelea kuuma na kung'ata. Na bado mengi yanakujaBado haimaanishi kuwa uchaguzi ulikuwa hauna dosari.
Kuna watanzania wengi wamejiunga na vikundi vya kigaidi kupitia Somalia na Msumbiji.Watanzania kujiunga kwenye vikundi vya kigaidi??
Vipi hivyo mkuu??
Mbona unatuchafua watanzania??
Sidhani kama hata unaushahidi wa hayo unayozungumza zaidi ya kutegemea media ambazo ziko controlled na hao majamaa.Kuna watanzania wengi wamejiunga na vikundi vya kigaidi kupitia Somalia na Msumbiji.
Mbona kuna watanzania wanekanatwa hapo Kenya kwa kushiriki Ugaidi au hujaisikia serikali ya Msumbiji kuwa baadhi ya magaidi wanatokea Tanzania ??Sidhani kama hata unaushahidi wa hayo unayozungumza zaidi ya kutegemea media ambazo ziko controlled na hao majamaa.
Kama umeshindwa kufahamu interest za mabeberu mpaka sasa,
Unasafari ndefu Sana kutoka kwenye utumwa wa kifikra ndugu yangu.
Hapo umemtaja mtu mmoja tu ambaye hata ushiriki wake nao ni wa utata halafu unakuja na statement inayosema watanzania wengi.,Mbona kuna watanzania wanekanatwa hapo Kenya kwa kushiriki Ugaidi au hujaisikia serikali ya Msumbiji kuwa baadhi ya magaidi wanatokea Tanzania ??
Anyway Tanzania siku zote ni perfect haina tatizo.
Hongera wewe mwenye fikra huru za kuabudu kila anachosema Magu.