Joe Biden akichaguliwa anaweza kusaidia kuleta mageuzi ya kisiasa Tanzania baada ya "uchaguzi"

James Martin

JF-Expert Member
Apr 2, 2016
1,206
1,509
Tofauti na Donald Trump Joe Biden anaamini kuwa Marekani inatakiwa kuhamasisha dunia kwenye mambo mbalimbali ikiwepo mambo ya mazingira na demokrasia.

Baada ya huu "uchaguzi" nategemea "rais" atajaribu kuwarubuni wapinzani kwa kuwapa ajira ili wahamie CCM. Hiyo itakuwa ni propaganda kuwa yeye na chama chake wanapendwa na Watanzania. Kuna uwezekano akapata watu wa kuwarubuni lakini mtu mmoja ambaye nina uhakika hatokubali ni Tundu Lissu.

Nategemea Tundu Lissu atatoa mchango mkubwa kuzishawishi nchi za Ulaya na Marekani kutuwekea vikwazo.
 
Tatizo huwa mnabugia kinyesi cha habari za cnn ambazo zina mlengo wa kipropaganda zaidi.

Naomba ikuingie akilini ikibidi uiingize kwa sindano "TRUMP YUPO KWAJILI YA MAREKANI MPAKA 2024"

Biden hawezi kushinda, Katika miaka yake 47 serikalini hakuna alichofanya kinachomfikia trump ambae ana miezi 47 serikalini.

Kitu pekee biden alichofanya ni kuisaliti marekani, ila kwa taka taka hizi za cnn wanaficha.

Yani biden huyu anaesumbuliwa na ubaguzi wa rangi nyeusi pamoja na matatizo ya afya ya akili atawezaje kwa mfano kuingia white house, NEEVER!!!!
 
Tofauti na Donald Trump Joe Biden anaamini kuwa Marekani inatakiwa kuhamasisha dunia kwenye mambo mbalimbali ikiwepo mambo ya mazingira na demokrasia.

Baada ya huu "uchaguzi" nategemea "rais" atajaribu kuwarubuni wapinzani kwa kuwapa ajira ili wahamie CCM. Hiyo itakuwa ni propaganda kuwa yeye na chama chake wanapendwa na Watanzania. Kuna uwezekano akapata watu wa kuwarubuni lakini mtu mmoja ambaye nina uhakika hatokubali ni Tundu Lissu.

Nategemea Tundu Lissu atatoa mchango mkubwa kuzishawishi nchi za Ulaya na Marekani kutuwekea vikwazo.
Hakuna yoyote anayeweza kuisumbua Tanzania. Mbona wamejaribu sana tu, hivi sasa hawawezi tena maana Tanzania ya sasa haiwategemei sana USA labda wangewatisha vibaraka wao Kenya and the like. (kwenye ukanda huu angalia Ethiopia na Tanzania tupo kwenye level ya juu kidogo). BTW unaweza kutuwekea ushahidi kwamba CCM wananunua wapinzani?
 
Tofauti na Donald Trump Joe Biden anaamini kuwa Marekani inatakiwa kuhamasisha dunia kwenye mambo mbalimbali ikiwepo mambo ya mazingira na demokrasia.

Baada ya huu "uchaguzi" nategemea "rais" atajaribu kuwarubuni wapinzani kwa kuwapa ajira ili wahamie CCM. Hiyo itakuwa ni propaganda kuwa yeye na chama chake wanapendwa na Watanzania. Kuna uwezekano akapata watu wa kuwarubuni lakini mtu mmoja ambaye nina uhakika hatokubali ni Tundu Lissu.

Nategemea Tundu Lissu atatoa mchango mkubwa kuzishawishi nchi za Ulaya na Marekani kutuwekea vikwazo.
Kila kitu mnategemea huruma ya wazungu. Sijui hii tabia ukiianzisha kwenye family yako itakuwaje.
Yawezekana ukawakabidhi wakusaidie kuitunza family
 
Tofauti na Donald Trump Joe Biden anaamini kuwa Marekani inatakiwa kuhamasisha dunia kwenye mambo mbalimbali ikiwepo mambo ya mazingira na demokrasia.

Baada ya huu "uchaguzi" nategemea "rais" atajaribu kuwarubuni wapinzani kwa kuwapa ajira ili wahamie CCM. Hiyo itakuwa ni propaganda kuwa yeye na chama chake wanapendwa na Watanzania. Kuna uwezekano akapata watu wa kuwarubuni lakini mtu mmoja ambaye nina uhakika hatokubali ni Tundu Lissu.

Nategemea Tundu Lissu atatoa mchango mkubwa kuzishawishi nchi za Ulaya na Marekani kutuwekea vikwazo.

Maana ya upinzani ilikufa Tanzania na vyama vikubwa vya upinzani ilikufa 2015 baada ya vyama vya upinzani kufanya mambo machafu kuliko yule wanayempinga.
Wakati upinzani unajimaliza chama tawala kimekua kikijiimarisha na ndani ya miaka 5 iliyopita kimekua chama bora cha siasa Tanzania.

Ukiachana na maumivu ya viongozi wa upinzani ambao wamepoteza nafasi zao za kuwakilisha wananchi wa majimbo tofauti, wananchi wengi wana imani kwa chama tawala sababu ya usimamizi na utekelezwaji mzuri wa maendeleo yao.

Upinzani ni muhimu kwa afya ya taifa, lakini upinzani unaotakiwa kwa sasa Tanzania ni upinzani makini, upinzani wenye misingi imara ya uzalendo, upinzani wenye maadili, na uwe upinzani unaotoka kwa wananchi walio wengi Tanzania sio unaotoka au kuhamasishwa na kiongozi wa chama au kiongozi wa Marekani.

Tanzania ni ya watanzania na kwao sasa wameamua kwenda na John Pombe Magufuli sababu wanakipata wanachokitaka kwake.
 
Kila kitu mnategemea huruma ya wazungu. Sijui hii tabia ukiianzisha kwenye family yako itakuwaje.
Yawezekana ukawakabidhi wakusaidie kuitunza family
mkuu nakupa hongera sana sana umjibu vzr mno watanzania baadhi ya wafuasi wa lissu wanaakili za kusaidiwa na wazungu tu sijui kuna shida gan kwenye akili zao aise inasikitisha kwakweli.
 
Maana ya upinzani ilikufa Tanzania na vyama vikubwa vya upinzani ilikufa 2015 baada ya vyama vya upinzani kufanya mambo machafu kuliko yule wanayempinga.
Wakati upinzani unajimaliza chama tawala kimekua kikijiimarisha na ndani ya miaka 5 iliyopita kimekua chama bora cha siasa Tanzania.

Ukiachana na maumivu ya viongozi wa upinzani ambao wamepoteza nafasi zao za kuwakilisha wananchi wa majimbo tofauti, wananchi wengi wana imani kwa chama tawala sababu ya usimamizi na utekelezwaji mzuri wa maendeleo yao.

Upinzani ni muhimu kwa afya ya taifa, lakini upinzani unaotakiwa kwa sasa Tanzania ni upinzani makini, upinzani wenye misingi imara ya uzalendo, upinzani wenye maadili, na uwe upinzani unaotoka kwa wananchi walio wengi Tanzania sio unaotoka au kuhamasishwa na kiongozi wa chama au kiongozi wa Marekani.

Tanzania ni ya watanzania na kwao sasa wameamua kwenda na John Pombe Magufuli sababu wanakipata wanachokitaka kwake.
Umenena vizuri sana. Shida ukiwaambia ukweli wanajawa na jazba
 
Umenena vizuri sana. Shida ukiwaambia ukweli wanajawa na jazba
Heri watulie tujenge nchi kuliko wanavyojawa jazba kwa upinzani ambao haupo
Haina haja ya kuwaaminisha wananchi kwamba wanadhulumiwa haki wakati wananchi wenyewe wanaona kila kitu kiko sawa ndani ya nchi yao.
Wananchi wakiumia wataamua toka mioyoni mwao na hakutakua na wa kuweza kuzuia na sioni hilo kutokea Tanzania leo wala kesho.
Kwa sasa John Pombe Magufuli ndio kila kitu kwa watanzania
 
Tofauti na Donald Trump Joe Biden anaamini kuwa Marekani inatakiwa kuhamasisha dunia kwenye mambo mbalimbali ikiwepo mambo ya mazingira na demokrasia.

Baada ya huu "uchaguzi" nategemea "rais" atajaribu kuwarubuni wapinzani kwa kuwapa ajira ili wahamie CCM. Hiyo itakuwa ni propaganda kuwa yeye na chama chake wanapendwa na Watanzania. Kuna uwezekano akapata watu wa kuwarubuni lakini mtu mmoja ambaye nina uhakika hatokubali ni Tundu Lissu.

Nategemea Tundu Lissu atatoa mchango mkubwa kuzishawishi nchi za Ulaya na Marekani kutuwekea vikwazo.
Unategemea mageuzi kwa wanasiasa kama hawa 👇👇👇
images (23).jpeg

Hata US.wenyewe anawashangaa kwa upuuzi huo walio ufanya 2015,anajua wote ni walewale wanajuana.
 
Hakuna yoyote anayeweza kuisumbua Tanzania. Mbona wamejaribu sana tu, hivi sasa hawawezi tena maana Tanzania ya sasa haiwategemei sana USA labda wangewatisha vibaraka wao Kenya and the like. (kwenye ukanda huu angalia Ethiopia na Tanzania tupo kwenye level ya juu kidogo). BTW unaweza kutuwekea ushahidi kwamba CCM wananunua wapinzani?
Yaani wewe unachoongea napiga picha ya mweu moja akiwa jalalani na ka Smartphone alikoiba asijue nini cha kufanya nacho.

Mweu tu ndio hawezi kujua influence au leverage aliyonayo Marekani katika dunia hii lkn sio mtu mwenye akili timamu.
 
Yaani wewe unachoongea napiga picha ya mweu moja akiwa jalalani na ka Smartphone alikoiba asijue nini cha kufanya nacho.

Mweu tu ndio hawezi kujua influence au leverage aliyonayo Marekani katika dunia hii lkn sio mtu mwenye akili timamu.
Unalo hilo tuliwaambia siku yenu yaja. Nenda kalie basi kitandani mwako sisi Watanzania hatuna wasi wasi wa jemedari etu JPM. Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Tumemwonyesha, mlevi wa konyagi na kibaraka wake. Watanzania hatuna mchezo kwenye mambo ya msingi. Na yule mropokaji mwenye chama cha mfukoni aende akaoane na mabwana zake.
 
Unalo hilo tuliwaambia siku yenu yaja. Nenda kalie basi kitandani mwako sisi Watanzania hatuna wasi wasi wa jemedari etu JPM. Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Bangi zako hainihusu.
 
Tofauti na Donald Trump Joe Biden anaamini kuwa Marekani inatakiwa kuhamasisha dunia kwenye mambo mbalimbali ikiwepo mambo ya mazingira na demokrasia.

Baada ya huu "uchaguzi" nategemea "rais" atajaribu kuwarubuni wapinzani kwa kuwapa ajira ili wahamie CCM. Hiyo itakuwa ni propaganda kuwa yeye na chama chake wanapendwa na Watanzania. Kuna uwezekano akapata watu wa kuwarubuni lakini mtu mmoja ambaye nina uhakika hatokubali ni Tundu Lissu.

Nategemea Tundu Lissu atatoa mchango mkubwa kuzishawishi nchi za Ulaya na Marekani kutuwekea vikwazo.
Punguza akili mgando wewe! Sisi tutachagua "American first" huyo bidern akifie mbele! Trump NNE tena! Ila badae msije mkaanza kubwabwaja sijui urusi kafanyeje!
 
Binafsi sio mshabiki wa Trump...ila unapozungumzia habari za TANZANIA napenda kukumbusha kuwa TANZANIA is Sovereign state hakuna nchi itatupangia namna ya KUISHI.

Uchaguzi umeisha sasa tuijenge NCHI.

URT - JPM
SMZ- Mwinyi

CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Tatizo huwa mnabugia kinyesi cha habari za cnn ambazo zina mlengo wa kipropaganda zaidi.

Naomba ikuingie akilini ikibidi uiingize kwa sindano "TRUMP YUPO KWAJILI YA MAREKANI MPAKA 2024"

Biden hawezi kushinda, Katika miaka yake 47 serikalini hakuna alichofanya kinachomfikia trump ambae ana miezi 47 serikalini.

Kitu pekee biden alichofanya ni kuisaliti marekani, ila kwa taka taka hizi za cnn wanaficha.

Yani biden huyu anaesumbuliwa na ubaguzi wa rangi nyeusi pamoja na matatizo ya afya ya akili atawezaje kwa mfano kuingia white house, NEEVER!!!!
Da Bora ungekaa kimya.
 
Tatizo huwa mnabugia kinyesi cha habari za cnn ambazo zina mlengo wa kipropaganda zaidi.

Naomba ikuingie akilini ikibidi uiingize kwa sindano "TRUMP YUPO KWAJILI YA MAREKANI MPAKA 2024"

Biden hawezi kushinda, Katika miaka yake 47 serikalini hakuna alichofanya kinachomfikia trump ambae ana miezi 47 serikalini.

Kitu pekee biden alichofanya ni kuisaliti marekani, ila kwa taka taka hizi za cnn wanaficha.

Yani biden huyu anaesumbuliwa na ubaguzi wa rangi nyeusi pamoja na matatizo ya afya ya akili atawezaje kwa mfano kuingia white house, NEEVER!!!!
Kuna umuhimu wakati mwingine tuwe tunaweka akiba kubwa ya maneno yetu.
 
Tatizo huwa mnabugia kinyesi cha habari za cnn ambazo zina mlengo wa kipropaganda zaidi.

Naomba ikuingie akilini ikibidi uiingize kwa sindano "TRUMP YUPO KWAJILI YA MAREKANI MPAKA 2024"

Biden hawezi kushinda, Katika miaka yake 47 serikalini hakuna alichofanya kinachomfikia trump ambae ana miezi 47 serikalini.

Kitu pekee biden alichofanya ni kuisaliti marekani, ila kwa taka taka hizi za cnn wanaficha.

Yani biden huyu anaesumbuliwa na ubaguzi wa rangi nyeusi pamoja na matatizo ya afya ya akili atawezaje kwa mfano kuingia white house, NEEVER!!!!
Sumtime muweke na hakiba ya maneno.
 
Kwa hiyo wewe unaombea Tanzania iwekewe vikwazo?
Kwa akili kama hizi unategemea kuna mtanzania mwenye akili timamu atawaunga mkono?
Tofauti na Donald Trump Joe Biden anaamini kuwa Marekani inatakiwa kuhamasisha dunia kwenye mambo mbalimbali ikiwepo mambo ya mazingira na demokrasia.

Baada ya huu "uchaguzi" nategemea "rais" atajaribu kuwarubuni wapinzani kwa kuwapa ajira ili wahamie CCM. Hiyo itakuwa ni propaganda kuwa yeye na chama chake wanapendwa na Watanzania. Kuna uwezekano akapata watu wa kuwarubuni lakini mtu mmoja ambaye nina uhakika hatokubali ni Tundu Lissu.

Nategemea Tundu Lissu atatoa mchango mkubwa kuzishawishi nchi za Ulaya na Marekani kutuwekea vikwazo.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom