Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 49,022
- 54,306
Trump Ana Bull Dozer, Vifaru, Mizinga Lakini Anaondoka White House Kwa Amani Akikubali YaliyotokeaWako mbali sana hawa jamaa
Ingekuwa Hapa Promised Land(Tanzania)
Tungeulizana Anashindwaje Wakati Ana Vyote