Joe Biden achaguliwa kuwa rais wa 46 wa Marekani

Biden wala hakuwa candidate mzuri.

Candidacy yake iliokokewa na Rep. Jim Clyburn wa SC.

Anasumbuliwa na uzee. Hilo ni kweli.

Katika mazingira ya kawaida, Biden wala asingevuka primaries.

Na Biden wala hatogombea muhula wa pili.

Ni Rais wa mpito tu.

Maoni yangu kuhusu Biden hayajabadilika.

Sasa sina uhakika kama unavyonifuatiliaga huwa unaelewa ninachokiandika.

Mfano, hiki nilichokiandika hapa umekielewa?
Biden hata Mimi naona hawezi gombea second term

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Turnout ya mwaka huu ilikuwa juu kidogo.

Na moja ya sababu ni chuki dhidi ya Trump.

Niliwahi kuandika uzi humu kuhusu akili ya Trump....huenda ndo Rais zuzu kuliko marais wote wa Marekani kuwahi kutokea.
Unaweza kumfananisha Trump na huyu wa kwetu hapa Tz?
Maana wana tabia na akili zinazofanana. Wababe sana halafu wanapenda kuwagawa watu. Dunia ya siasa za kidemokrasia haipaswi kuwa na aina ya viongozi wa hivi.
 
Acha kabisa hawa jamaa!! Ajabu eti Lumumba wameumia kuona yaliyotokea manake walitarajia kusikia uhuni waliofanya wao ukifanyika US ili wapate cha kusema!!

Yalitamani kuona wale waliokuwa wakifanay protest waanze kupigwa mabomu ili yaseme hata kwa mabeberu ukiandamana unapigwa mabomu!!!
Yameumbuka!
 
Trump sa hii anakusanya mabegi na masufuria aondoke zake jumba jeupe.

Ila nitamiss sana mipasho yake huyu babu ana maneno. Yani alishaleta chokochoko hadi kwa wazungu wenzie wa ulaya huko
mipasho gani hiyo ila inaonekana ana nature ya ukauzu + ubabe.maana kuna siku alikuwa anamshika mkewe mkono akawa anakataa!! tena hadharani mbele ya kamera
 
Nimeumia mno, ila ndo hivyo tujipange 24
Huna haja ya kuumia Kaka. Biden will NOT be sworn in as the 46th President. That will not happen. Trump anajiandaa kwenda mahakamani. Kapigwa faulo nyingi sana kwenye uhesabuji wa kura
 
Mgombea wako alikuwa na character flaws nyingi mno!

Kapata kura zaidi ya milioni 70 na bado kashindwa!

Hakuna mgombea mwingine wa urais aliyewahi kupata kura nyingi namna hiyo na akashindwa.

Biden kapata kura milioni 74.

Nyingi ya hizo kura si za Biden. Ni kura dhidi ya Trump.

Trump angerekebisha tabia yake na kuachana na beef za Twitter na kuacha kutoa kauli za ajabu ajabu, naamini wananchi wangemsamehe licha hata ya janga Corona maana hakulisababisha yeye.

Watu walichoka na drama zake na tabia zake zisizo za ki presidential.
Wekeza kwenye mda. Mchakato ndo umeanza. Kuna miezi miwili mbele
 
Kwa mujibu wa matokeo yanayoendelea kutangazwa huko USA inaonesha tayari Serikali iliyopo madarakani chini ya Rais Donald Trump imeangushwa.

Bado hakuna uhakika kama Rais Trump ataridhia matokeo na hivyo kumuachia ofisi Mshindi Joe Biden.

Ikumbukwe kuwa Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania mara kwa mara umekuwa ukitoa matamko ya mwenendo wa uchaguzi uliokwisha nchini Tanzania ukihoji juu ya matukio ya ukandamizwaji wa demomrasia kwa kusikiliza madai potofu ya wapinzani.

Ikumbukwe kuwa Rais Trump amenukuliwa mara kadhaa akihoji mwenendo usioridhisha wa upigaji kura na utangazaji matokeo katika uchaguzi wa Marekani.

Lakini Tanzania iliendelea kuheshimu demokrasia ya Marekani kwa kukaa kimya bila kutoa matamko yanayohoji uchaguzi uliogubikwa na malalamiko yanayohusu wizi wa kura.

Kwangu mimi naona kuwa ni aibu na laana kwa Serikali ya Marekani ambayo imeondolewa madarakani ...kwani imekuwa ikifuatafuata mambo ya nchi nyingine bila sababu za msingi.
Huna uelewa wowote juu ya sera za Repulican vs Democrat huko US. Sera za Republican ni kutoingilia sana mambo ya nchi nyingine wakati Democrat hujihusisha sana na demokrasia ya Dunia.

Tofauti na unavyofikiria, chini ya Democrat, utasikia matamko mengi zaidi na hata actions dhidi ya matukio ya kidikteta, na hasa yanayofanywa na tawala za Africa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huna haja ya kuumia Kaka. Biden will NOT be sworn in as the 46th President. That will not happen. Trump anajiandaa kwenda mahakamani. Kapigwa faulo nyingi sana kwenye uhesabuji wa kura
Si rahisi kihivyo vinginevyo atasababisha maandamano
 
Marekani kuna Usawa katika zile tume zinazohusika na masuala ya uchaguzi, Wademokrati wako vizuri katika kujali hali za watu, tofauti na republican sera zao kuu ni marekani kwanza(wazawa wazungu) ndio maana ukandamizaji wa wamarekani weusi umechukua sura mpya katika utawala wa trump,Binafsi naamini Joe Biden ataitendea haki Demokrasia kama jina la chama chake linavyojinasibu.
 
Kwenye hili ni true, but chama hichi kinaudhi sana kutetea ushoga si unakumbuka obama mambo yake
Obama mwenyewe kayakuta. ofcourse hiyo issue ni tayari ilishakuwa sheria ya nchi before akina obama.
So is not about chama.. trump mwenyewe na chama chake wameshindwa kufuta hiyo sheria. Alikuwa wapi?
 
Hakuna tatiz, history ya US inaeleza hivyo ili ukizi viegezo vyakua Raisi wa dunia yani International president a nation as big as the United States must be a Freemasons member hata Raisi wa kwanza wa US alikua Freemasons
Hiyo sheria imeandikwa wapi? Embu acha conspiracy theory za kijinga. Nyie wenye iman za ajab ajab ndio mnafanya afrika tuonekana wapumbavu.
 
Unajua nyie watu ndo maana mmebaki kupigia makofi hata kwa mambo ya kijinga kwa sababu HAMUELEWI!!

Sasa hapo aliyepata jibu ni mimi au wewe au unayechanganya maandamano ya kawaida na maandamano yanayoambatana na vurugu kiasi cha kuhatarisha amani?!
Tangu lini Chama cha Demoghasia & Maombolezo kikafanya maandamano ya amani; mnachojua nyie ni posho na ruzuku, mbali na hapo ni kutengeneza matukio na vurugu. Aliyewaingia akilini wananchi wazalendo mpaka wakaamua kuwakataeni kwenye ballot box anafaa tuzo ya heshima.
 
Kuna wananchi wanaolalamika juu ya mwenendo wa uchaguzi wa Marekani?

Kama sio Trump na wanae pekee ambao wote wana hulka ya kibri na jeuri.

Huku Bongo kura feki zilikamatwa kibao mitaani tofauti na Marekani hata kura iliyoharibika tu hakuna.

Wanasheria/Wasaidizi wake wameshindwa kwenda mahakamani kwakuwa hawana ushahidi wa malalamiko ya boss wao sasa unaenda kufanya nini mahakamani?

Ingekuwa Trump yupo Bongolala angeshinda kwa kishindo kikuu cha 84.4%.
Uongo. Utakuwa umeghilimishwa ubongo kwa kusoma vibaya ama kufuatilia kupindukia vyombo vya habari vya Sayari ya Pita-Juu.
 
Back
Top Bottom