Labda alijua marekani ni kama tanzania ambapo nchi inaendeshwa kwa kupiga ramliUlisemaga hiki kibabu Biden kinapoteza muda we kiazi leo unasema nini?
Ametumia Miaka 4 kumseam Obama tuMgombea wako alikuwa na character flaws nyingi mno!
Kapata kura zaidi ya milioni 70 na bado kashindwa!
Hakuna mgombea mwingine wa urais aliyewahi kupata kura nyingi namna hiyo na akashindwa.
Biden kapata kura milioni 74.
Nyingi ya hizo kura si za Biden. Ni kura dhidi ya Trump.
Trump angerekebisha tabia yake na kuachana na beef za Twitter na kuacha kutoa kauli za ajabu ajabu, naamini wananchi wangemsamehe licha hata ya janga Corona maana hakulisababisha yeye.
Watu walichoka na drama zake na tabia zake zisizo za ki presidential.
Tunapitia nyakati ngumu mkuu acha tuNdy ukweli wenyewe potelea mbali acha nitekwe!
Naomba unitag huo Uzi niupitieTurnout ya mwaka huu ilikuwa juu kidogo.
Na moja ya sababu ni chuki dhidi ya Trump.
Niliwahi kuandika uzi humu kuhusu akili ya Trump....huenda ndo Rais zuzu kuliko marais wote wa Marekani kuwahi kutokea.
Bora kina pompeo waondoke zao na balozi waoChama cha democrat mgombea biden amepita ila chama hichi kinakera mambo yao ya kutetea ushoga hadharani na ndio maana mimi binafsi namkubari trump coz ni mcha dini na mambo hayo aliyapinga wazi wazi, watu hasa waafrica washangilie kwa nukta coz hichi chama agenda yao ni mambo kama hayo halafu ni kupenda vita now marekan lazima ipige nchi nyingine soon
Pole na samahani kwa kuingilia interests zako mkuu endelea kuzibuana mitaro tu kwa raha zako mpaka rectum ije kwa nje.. Naona umekuwa mkali kwelikweliWe mnyaturu wa singida huko, usagaji wa marekani unakuhusu kitu gani?
Au unataka kuanza tena zile conspiracy theories zako za gay Illuminati?
Wazee wa "Firimason". Kiswahili chenyewe hamjui, lakini hamuishiwi vijihadithi vya hapa na pale.
Kwani kwa mfano alivyopigwa ban Bashite, huyo commoner anaumiaje?!Unadhan atakayeumia ni polepole au commoner ?
Kima kweli wewe! Hivi hamjisikiagi aibu? Hivi mtu mwenye dola ndo unamjengea hoja kulalama?Kwa mujibu wa matokeo yanayoendelea kutangazwa huko USA inaonesha tayari Serikali iliyopo madarakani chini ya Rais Donald Trump imeangushwa.
Bado hakuna uhakika kama Rais Trump ataridhia matokeo na hivyo kumuachia ofisi Mshindi Joe Biden.
Ikumbukwe kuwa Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania mara kwa mara umekuwa ukitoa matamko ya mwenendo wa uchaguzi uliokwisha nchini Tanzania ukihoji juu ya matukio ya ukandamizwaji wa demomrasia kwa kusikiliza madai potofu ya wapinzani.
Ikumbukwe kuwa Rais Trump amenukuliwa mara kadhaa akihoji mwenendo usioridhisha wa upigaji kura na utangazaji matokeo katika uchaguzi wa Marekani.
Lakini Tanzania iliendelea kuheshimu demokrasia ya Marekani kwa kukaa kimya bila kutoa matamko yanayohoji uchaguzi uliogubikwa na malalamiko yanayohusu wizi wa kura.
Kwangu mimi naona kuwa ni aibu na laana kwa Serikali ya Marekani ambayo imeondolewa madarakani ...kwani imekuwa ikifuatafuata mambo ya nchi nyingine bila sababu za msingi.
Bora kina pompeo waondoke zao na balozi wao
VyoteUnatoa taarifa au unalaumu?
Unafikiri balozi ni mtumishi wa chama kama mataga, hovyo kabisa!
sababu hawajui kuwa Trump bado ana muda wa kutukaziaCha kushangaza Nyani waliovuruga uchaguzi huku wanamshangilia Biden!!!