Joe Biden achaguliwa kuwa rais wa 46 wa Marekani

Bora wamempumzisha.

Biden tunaomba umrushie na makopo yake yote!
 
Chama cha democrat mgombea biden amepita ila chama hichi kinakera mambo yao ya kutetea ushoga hadharani na ndio maana mimi binafsi namkubari trump coz ni mcha dini na mambo hayo aliyapinga wazi wazi, watu hasa waafrica washangilie kwa nukta coz hichi chama agenda yao ni mambo kama hayo halafu ni kupenda vita now marekan lazima ipige nchi nyingine soon
 
Mgombea wako alikuwa na character flaws nyingi mno!

Kapata kura zaidi ya milioni 70 na bado kashindwa!

Hakuna mgombea mwingine wa urais aliyewahi kupata kura nyingi namna hiyo na akashindwa.

Biden kapata kura milioni 74.

Nyingi ya hizo kura si za Biden. Ni kura dhidi ya Trump.

Trump angerekebisha tabia yake na kuachana na beef za Twitter na kuacha kutoa kauli za ajabu ajabu, naamini wananchi wangemsamehe licha hata ya janga Corona maana hakulisababisha yeye.

Watu walichoka na drama zake na tabia zake zisizo za ki presidential.
Ametumia Miaka 4 kumseam Obama tu
 
Turnout ya mwaka huu ilikuwa juu kidogo.

Na moja ya sababu ni chuki dhidi ya Trump.

Niliwahi kuandika uzi humu kuhusu akili ya Trump....huenda ndo Rais zuzu kuliko marais wote wa Marekani kuwahi kutokea.
Naomba unitag huo Uzi niupitie
 
Chama cha democrat mgombea biden amepita ila chama hichi kinakera mambo yao ya kutetea ushoga hadharani na ndio maana mimi binafsi namkubari trump coz ni mcha dini na mambo hayo aliyapinga wazi wazi, watu hasa waafrica washangilie kwa nukta coz hichi chama agenda yao ni mambo kama hayo halafu ni kupenda vita now marekan lazima ipige nchi nyingine soon
Bora kina pompeo waondoke zao na balozi wao
 
We mnyaturu wa singida huko, usagaji wa marekani unakuhusu kitu gani?

Au unataka kuanza tena zile conspiracy theories zako za gay Illuminati?

Wazee wa "Firimason". Kiswahili chenyewe hamjui, lakini hamuishiwi vijihadithi vya hapa na pale.
Pole na samahani kwa kuingilia interests zako mkuu endelea kuzibuana mitaro tu kwa raha zako mpaka rectum ije kwa nje.. Naona umekuwa mkali kwelikweli
 
Unadhan atakayeumia ni polepole au commoner ?
Kwani kwa mfano alivyopigwa ban Bashite, huyo commoner anaumiaje?!

Na kama commoner wataumia katika kuwa-press hard madhalimu ya Lumumba, then let it be kwa sababu ni hayo hayo ma-commoner ndiyo yanayoongoza kushabikia udhalimu wa CCM!!

So, no so bad to pay for our own stupidity!!!
 
Kwa mujibu wa matokeo yanayoendelea kutangazwa huko USA inaonesha tayari Serikali iliyopo madarakani chini ya Rais Donald Trump imeangushwa.
Bado hakuna uhakika kama Rais Trump ataridhia matokeo na hivyo kumuachia ofisi Mshindi Joe Biden.
Ikumbukwe kuwa Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania mara kwa mara umekuwa ukitoa matamko ya mwenendo wa uchaguzi uliokwisha nchini Tanzania ukihoji juu ya matukio ya ukandamizwaji wa demomrasia kwa kusikiliza madai potofu ya wapinzani.
Ikumbukwe kuwa Rais Trump amenukuliwa mara kadhaa akihoji mwenendo usioridhisha wa upigaji kura na utangazaji matokeo katika uchaguzi wa Marekani.
Lakini Tanzania iliendelea kuheshimu demokrasia ya Marekani kwa kukaa kimya bila kutoa matamko yanayohoji uchaguzi uliogubikwa na malalamiko yanayohusu wizi wa kura.

Kwangu mimi naona kuwa ni aibu na laana kwa Serikali ya Marekani ambayo imeondolewa madarakani ...kwani imekuwa ikifuatafuata mambo ya nchi nyingine bila sababu za msingi.
Kima kweli wewe! Hivi hamjisikiagi aibu? Hivi mtu mwenye dola ndo unamjengea hoja kulalama?
 
I am the happiest man today. Cheering with a glass of Black Label. Quenching the pain. You know what I mean.

I love Democrats and Obama inspired me more.

I love America, the father of Democracy. Respect to their strong and independent Institutions.

Africans, is there a lesson? So astonished, I mean the Astonishment of the so called our own making Democracy.

Americans I envy You!!! I see how happy are all are at this moment.

God Bless the United States of America
 
Back
Top Bottom