Wervemarcel
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 2,390
- 3,293
Habari njema sana!
Huo ndio uchaguzi,sio huu wa policeccm,tiss,madc,DED kujaza matokea feki kwenye fomu,ili ccm ishinde
Turnout ya mwaka huu ilikuwa juu kidogo.Bila shaka wapigakura wa US wanaongezeka kila baada ya miaka 4. Miaka ijayo kunaweza kuwa na mgombea ambaye atapata kura mil 100 na atashindwa, kulingana na population ya wapigakura ya mwaka huo.
Ulisemaga hiki kibabu Biden kinapoteza muda we kiazi leo unasema nini?Mgombea wako alikuwa na character flaws nyingi mno!
Kapata kura zaidi ya milioni 70 na bado kashindwa!
Hakuna mgombea mwingine wa urais aliyewahi kupata kura nyingi namna hiyo na akashindwa.
Biden kapata kura milioni 74.
Nyingi ya hizo kura si za Biden. Ni kura dhidi ya Trump.
Trump angerekebisha tabia yake na kuachana na beef za Twitter na kuacha kutoa kauli za ajabu ajabu, naamini wananchi wangemsamehe licha hata ya janga Corona maana hakulisababisha yeye.
Watu walichoka na drama zake na tabia zake zisizo za ki presidential.
Uchaguzi usiowakughushi furaha tele.
Sio huu wa kura feki, hamna mtu ana furaha.
Kama tupo msibani
Nyani mmejifunza nini kwa binadamu wa US?Mods hapo kwenye heading kiingilia isomeke kuingilia
Hakupigwa ban na Trump bali na serikali ya US! That being said, ban ipo pale pale!Kwa hiyo makonda ataruhusiwa kwenda Us?
Acha kabisa hawa jamaa!! Ajabu eti Lumumba wameumia kuona yaliyotokea manake walitarajia kusikia uhuni waliofanya wao ukifanyika US ili wapate cha kusema!!Wako mbali sana hawa jamaa
Duh..Nimeumia mno, ila ndo hivyo tujipange 24
Hili ndo lakuzingatia. Kitu cha kusema hapa ilikuwa ni idadi ya waliopiga kura dhidi ya waliosajiriwa. Hiyo kupigiwa kura na idadi nyongeza ya watu inatarajiwa ikue kila uchaguzi.Bila shaka wapigakura wa US wanaongezeka kila baada ya miaka 4. Miaka ijayo kunaweza kuwa na mgombea ambaye atapata kura mil 100 na atashindwa, kulingana na population ya wapigakura ya mwaka huo.
Kesho saa mbili asubuhi tukutane pale times squareNimeumia mno, ila ndo hivyo tujipange 24
Alikuwa anatufokea mno. Aende tu!Goodbye @Secretary_Pompeo. Tutakukumbuka na boss wako Trumpet.