KASENYENDA JR
Member
- May 5, 2013
- 89
- 14
Pomja na kujisifu kuwa yeye ni mwanasiasa mkongwe huyu naibu spika wa bunge,lakini inasikitisha kuwa jimbo lake ni miongoni mwa majimbo ambayo wananchi wanaishi kwenye makazi duni huku yeye akiwa anapata raha kwenye nyumba za kifahari alizo zipata kwa jasho la pesa za walipa kodi.
Hii ni dharau sana kwa wapiga kura wake na kwa kuwa wanampenda bila shaka watamchagua tena kuwaongoza​
Hii ni dharau sana kwa wapiga kura wake na kwa kuwa wanampenda bila shaka watamchagua tena kuwaongoza​