Jobs at Nestlé Global(El-Salvador)

Status
Not open for further replies.

Neemaz

New Member
Sep 13, 2011
1
0
Jobs at Nestlé Global(El-Salvador)

Kampuni ya utengenezaji wa kahawa duniani “NESTLE”Inatangaza nafasi za kazi mbali mbali kwa watanzania wote wanaopenda kufanya kazi katika nchi ya EL-SALVADOR (Central America).

.Usindikaji

.Upakiaji/Upakuaji

.Usambazaji

.Uuzaji

.Na nyinginezo nyingi,

Sifa za mwombaji ni uwe umemaliza kidato cha nne(4) na kuendelea,uwezo wa kuzungumza kiingerez na pia uwe na passport ya kusafiria.

Kwa Maelezo ya kina na utumaji maombi tafadhali wasiliana na Mimi mtanzania naitwa“Neema Mshumbuzi”ninafanya kazi hapa Nestle,El-Salvador kwa Email;

n.mshumbuzi@live.com au jobs-nestle@hush.ai

Regards
Neema Mshumbusi
Sales Manager
Nestle Global
El-salvador.
 
Achaneni na hawa jamaa.......ni matapeli na wapo Dar es Salaam.

Mwanzo walikuwa wanamtumia dada mmoja yupo Ubungo NHC karibu na Hoteli ya Kibadamo ktk kukamilisha utapeli wao.......na wamefanikiwa kweli na kuwaumiza wengi sana na wakapotea kimya kimya.

Sasa wamekuja na staili mpya ya Nestle! Kuweni makini, kwanini wasitumie domain ya Nestle na watumie domain nyingine??????????????
 
Kama kweli ingia hapa website ya nestle na uangalie na uwasiliane nao na jaribu kucheck hata kwa simu ulizia ukweli Jobs | Nestlé Global
Na kutokana na hii ina maana any e mail ya mfanyakazi inekuwa inaishia na domain ambayo ni ..........@nestle.com na sio vinginevyo
 
Hawa kama sio matapeli vile. Naona wamekuja kivingine. Watanzania tuweni makini, Kwanza post yenyewe ni moja? Duh

Jobs at Nestlé Global(El-Salvador)

Kampuni ya utengenezaji wa kahawa duniani "NESTLE"Inatangaza nafasi za kazi mbali mbali kwa watanzania wote wanaopenda kufanya kazi katika nchi ya EL-SALVADOR (Central America).

.Usindikaji

.Upakiaji/Upakuaji

.Usambazaji

.Uuzaji

.Na nyinginezo nyingi,

Sifa za mwombaji ni uwe umemaliza kidato cha nne(4) na kuendelea,uwezo wa kuzungumza kiingerez na pia uwe na passport ya kusafiria.

Kwa Maelezo ya kina na utumaji maombi tafadhali wasiliana na Mimi mtanzania naitwa"Neema Mshumbuzi"ninafanya kazi hapa Nestle,El-Salvador kwa Email;

n.mshumbuzi@live.com au jobs-nestle@hush.ai

Regards
Neema Mshumbusi
Sales Manager
Nestle Global
El-salvador.
 
watanzania bwana kwa kubwata bwata hamjambo.,unakuta mtanzania mwenzenu anataka kuwasaidia harafu mnakuwa na kashfa kibao eti tapeli ili kuwakatisha tamaa wengine wakati wewe unakuwa wa kwanza kuomba.
Nchi zingine watu wanatumiana michongo ili kujaribu kukwamuana kwenye umasikini sasa nyie mara eti tapeli mara sijui vile huo ni upumbavu,sio kila mtanzania ni tapeli acheeni ushamba.

kama mtu anashida na ajira ajaribu bahati yake,kama akiona haridhishwi na maelezo na vigezo si anachana nazo kwani anakuwa amelazimishwa?
Watanzania tuamukeni maana bora hata kuwa house boi ughaibuni kuliko kuendelea kuumia na ukosefu wa ajira hapa kwetu tanzania.
 
    • Kwa watu makini ni vyema mkajionea ukweli wa kampuni na contact zake na sio kukubali kila e-mail address eti tu ni ya mtanzania mwenzetu.
      Kwani ni wangapi tumetapeliwa na marafiki zetu tena tuliowaamini? hata ndugu hawaaminiki siku hizi. Be careful na hawa matapeli. Angalia hata haonyeshi ni mji gani yuko kataja nchi tu.

      Corporate Office
    • Nestlé El Salvador S.A. de C.V.
    • El Almendro Avenida El Espino y Calzada Centro Corporativo Madreselva Urbanizacion Madreselva Apartado (06) 497 Antiguo Cuscatlan
    • El Salvador
    • Tel: +503-2288-8400
    • Fax: +503-2243-9615
 
Wewe Geoz hujui matapeli.....hv uoni hiyo email haina domain name ya nestle.....naona unamtetea sana kama vp kaombe hiyo kazi ya kuchuma kahawa.......usiwe kila saa optimistic.....u hv to be realistic......eti unasema heri kuwa houseboy ulaya kuliko bongo......think big brother..
 
Wewe Geoz hujui matapeli.....hv uoni hiyo email haina domain name ya nestle.....naona unamtetea sana kama vp kaombe hiyo kazi ya kuchuma kahawa.......usiwe kila saa optimistic.....u hv to be realistic......eti unasema heri kuwa houseboy ulaya kuliko bongo......think big brother..

Mkuu shtuka mapema huyo anamtetea ndio huyo huyo mmoja hamna jipya, hebu angalia hapa kwanza

Neemaz

#1


Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 13th September 2011
Posts : 1

Rep Power : 0



Check na hapa....Hawa wote wahuni mkuu.....Tupo JF kwa miaka na miaka na tumeshawajuwa tayari, angalia hizo date walizo join

Geoz

#7

Junior Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png



Join Date : 13th September 2011
Posts : 1

Rep Power : 0






 
watanzania bwana kwa kubwata bwata hamjambo.,unakuta mtanzania mwenzenu anataka kuwasaidia harafu mnakuwa na kashfa kibao eti tapeli ili kuwakatisha tamaa wengine wakati wewe unakuwa wa kwanza kuomba.<br />
Nchi zingine watu wanatumiana michongo ili kujaribu kukwamuana kwenye umasikini sasa nyie mara eti tapeli mara sijui vile huo ni upumbavu,sio kila mtanzania ni tapeli acheeni ushamba.<br />
<br />
kama mtu anashida na ajira ajaribu bahati yake,kama akiona haridhishwi na maelezo na vigezo si anachana nazo kwani anakuwa amelazimishwa?<br />
Watanzania tuamukeni maana bora hata kuwa house boi ughaibuni kuliko kuendelea kuumia na ukosefu wa ajira hapa kwetu tanzania.
<br />
<br />
unatuita sisi wapumbavu? Nilikuwa najaribu ku-track ip za domain wanazotumia hawa mata** Neemaz na Geoz wote wapo hapa hapa dar tena wanatumia internet ya vodacom na BTS wanayotumia ni ya TANGI BOVU MBEZI. NAMWOMBA mungu awarehemu.
 
watanzania bwana kwa kubwata bwata hamjambo.,unakuta mtanzania mwenzenu anataka kuwasaidia harafu mnakuwa na kashfa kibao eti tapeli ili kuwakatisha tamaa wengine wakati wewe unakuwa wa kwanza kuomba.
Nchi zingine watu wanatumiana michongo ili kujaribu kukwamuana kwenye umasikini sasa nyie mara eti tapeli mara sijui vile huo ni upumbavu,sio kila mtanzania ni tapeli acheeni ushamba.

kama mtu anashida na ajira ajaribu bahati yake,kama akiona haridhishwi na maelezo na vigezo si anachana nazo kwani anakuwa amelazimishwa?
Watanzania tuamukeni maana bora hata kuwa house boi ughaibuni kuliko kuendelea kuumia na ukosefu wa ajira hapa kwetu tanzania.

Jibu maswali ya msingi sio maneno, alafu inaonekana ww ni yuleyule Neemaz umekuja na ID nyingine.Ni mtazamo tu
 
<br />
<br />
unatuita sisi wapumbavu? Nilikuwa najaribu ku-track ip za domain wanazotumia hawa mata** Neemaz na Geoz wote wapo hapa hapa dar tena wanatumia internet ya vodacom na BTS wanayotumia ni ya TANGI BOVU MBEZI. NAMWOMBA mungu awarehemu.

Safi sana kwa uchambuzi yakinifu, maana siku hizi kuna matapeli kibao. Ogopa tapeli.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom