Job

ThinkPad

JF-Expert Member
Apr 11, 2008
1,844
232
Wana JF naomba kama kuna mtu atakaye weza kunisaidia kuinua Uchumi (Kipato) anisaidie.Kama zitatokea nafasi za kazi kwa upande wa IT, nawaomba mnifahamishe yaani nimekaa na uwezo wa kazi ninao, So wakubwa naomba msaada wenu.

Ninauzoefu na elimu katika : Electronics Repair,
Web design kwa HTML ,web kwa joomla naiweza vizuri sana.
PC na Laptop hardware problem naweza pia kutengeneza,Lan na Wlan.
Software Repair naiweza pia na PC protection, PC and Data Rescue
Graphic kwa Adobe Photoshop naiweza kwa kiwango kizuri pia.

wakubwa naomba mnisaidie kama mtapata chance hizo mnistue.
mkipata namna yakunisaidia ni PM.
 
Think Pad

Weka Jina Lako Kamili Na Kontact Zako Hiyo Ni Njia Rahisi Zaidi Mtu Kukuamini Na Kuweza Kukubaliana Nae Kazi
 
Think Pad

Weka Jina Lako Kamili Na Kontact Zako Hiyo Ni Njia Rahisi Zaidi Mtu Kukuamini Na Kuweza Kukubaliana Nae Kazi



its ok,kama mtu akini pm akaitaji information nitampatia data anazo hitaji.
 
thinkpad, wana JF huweka post nyingi sana hapa, jaribu kuangalia mara kwa mara na jaribu kutuma applications nyingi zaidi, mimi binafsi JF imenisaidia sana, viongozi wa Nyumba ya Mchwa na Beyond Expectation mnajua hilo, mpeni support huyo mshikaji, japo kwa ushauri.
 
thinkpad, wana JF huweka post nyingi sana hapa, jaribu kuangalia mara kwa mara na jaribu kutuma applications nyingi zaidi, mimi binafsi JF imenisaidia sana, viongozi wa Nyumba ya Mchwa na Beyond Expectation mnajua hilo, mpeni support huyo mshikaji, japo kwa ushauri.

Kweli brother najitaidi kusoma hizi post.thanks for your respond.
 
hello thinkpad

uko wapi? maana hii forum iko dunia nzima. tukijua uliko, inaweza kusaidia
 
Thinkpad,

Well, a word of advice. When you are seeking a job application it is only proper to use, (a) the correct punctuation and grammar, and (b) a comprehensible sentence format. Spelling mistakes and/or typographical errors will not be tolerated; there is no room for error in the corporate world, where you want to be. A recruiter will not take you seriously if you write your application (whether online or in print) like the way you have just done. Most people get turned down for jobs they are qualified for due to their lack of "adequate communication skills", such as writing. Were you making those errors on purpose, or is that the way you write?

This is just a friendly advice. Take it, or leave it.

./Mwana wa Haki

P.S. Of course, belief in yourself that you CAN do the job is important... CAN you? If you CAN, go ahead... you will get there. I have all the confidence in you, do others?
 
Thinkpad,

Well, a word of advice. When you are seeking a job application it is only proper to use, (a) the correct punctuation and grammar, and (b) a comprehensible sentence format Spelling mistakes and/or typographical errors will not be tolerated; there is no room for error in the corporate world, where you want to be. A recruiter will not take you seriously if you write your application (whether online or in print) like the way you have just done. Most people get turned down for jobs they are qualified for due to their lack of "adequate communication skills", such as writing. Were you making those errors on purpose, or is that the way you write?

This is just a friendly advice. Take it, or leave it.

./Mwana wa Haki

P.S. Of course, belief in yourself that you CAN do the job is important... CAN you? If you CAN, go ahead... you will get there. I have all the confidence in you, do others?


Asante sana Mkubwa wangu lakini ingekuwa vizuri sana kama ujumbe huu unge ni PM maana nimeona umeweka madhaifu yangu hapa,kweli sikatai kutokana na ushauli wako wewe upo sahihi ila tu hata ungenitumia sms nifanye nini au niandike vipi au nisahihishe vipi maana siwezikuwa najua kilakitu ila shida ndio zimenifanya hivi kuandika nakutafuta sehemu nipige mzigo maana hata wewe nilisha kwambia kutumia sms kuwa hali yangu kifedha sio nzuri kwa sasa.
So nitakupigia simu au ntakuja offisini kwako ninaweza kukueleza zaidi maaana wewe ni mkubwa wangu na unanifahamu.

Nashukuru wana JF ambao wamekuwa pamoja nami waki ni pm mawazo na njia mbalimbali.SHY na wenzake.
 
Habari
mimi ni member mpya, naomba ntumie nafasi hii kujitmbulisha.....
kweli bwana Thinkpad hata mimi nina tatizo hilo ka lako nimejaribu kutafuta jinsi ya kupost lakini nimeshindwa sasa nikapata hii reply to thread nikaona niitumie...
ama baada ya kujitambulisha nilikua nina ombi moja kwa wana JF, natafuta kazi, katika taaluma ya IT, naweza tuma CV yangu kama kuna nafasi na ntahitajika kufanya hivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom