KANCHI
JF-Expert Member
- Sep 3, 2011
- 1,533
- 230
Job Opportunity at British High Commission, Application Deadline 03-11-2016 Job Opportunity at British High Commission, Application Deadline 03-11-2016 | AJIRA YAKO
je hawa jamaa wameshaita interview,, kwa post ya assistant estate manager.?Job Opportunity at British High Commission, Application Deadline 03-11-2016 Job Opportunity at British High Commission, Application Deadline 03-11-2016 | AJIRA YAKO
kuwa mstaarabu! unakosa uvumilivu kwenye vitu vidogo tu kama hivi sijui itakuwaje siku ukihombezwa na boss wakoWasenge sitaki kuwasikia hao
kuwa mstaarabu! unakosa uvumilivu kwenye vitu vidogo tu kama hivi sijui itakuwaje siku ukihombezwa na boss wako
Hapo watu sababu wanazozijua wao huwa wanatangaza ajira lakini wanapenda kumpa MTU ambaye ni RAIA Wa nchi yao ambaye yuko hapa au wanakuwaga na intern ambao wengi wanakuwa wamesoma uk hapo hapo BHC.
So kama ni mbongo ngumu sana kupata
Wasenge sitaki kuwasikia hao