petar
Member
- Aug 26, 2011
- 62
- 3
Bofya hapo chini.
http://kazilink.blogspot.com/
http://kazilink.blogspot.com/
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Barklays kufukuza wafanyakazi
jamani hali si swari baklays wamepunguza wafanyakazi mia moja na staili ya kuwafukuza ni ajabu sana imetumwa email dakiuka kama kumi tu mkurugenzi wa kutawala mwambeleko na timu yake wakaanza kugawa barua za kuondoka na baada ya barua watu wanatolewa na polisi nje hali siu swari tusaidieni jamani tumepoteza haki zetu na hatujalipwa hela ya maana na hakukuwa na maandalizi kabisa
eti wanasema tuliopunguzwa tunapelekwa veta kusomea biahsara na watu waliohusika ni watanzania wenzetu watu wa utrawala hii imetuumiza sasna
Pole kwa kufukuzwa kazi ghafula ingawaje ingefaa sana kama ungefungua topic yako ikajadiliwa badala ya kutumia topic ya mwenzako kutoa malalamiko yako. Hivi pale Barclays wewe ulikuwa ukifanya kazi katika kitengo gani? Samahani kama swali ili litakukwaza.
Tiba
Barklays kufukuza wafanyakazi
jamani hali si swari baklays wamepunguza wafanyakazi mia moja na staili ya kuwafukuza ni ajabu sana imetumwa email dakiuka kama kumi tu mkurugenzi wa kutawala mwambeleko na timu yake wakaanza kugawa barua za kuondoka na baada ya barua watu wanatolewa na polisi nje hali siu swari tusaidieni jamani tumepoteza haki zetu na hatujalipwa hela ya maana na hakukuwa na maandalizi kabisa
eti wanasema tuliopunguzwa tunapelekwa veta kusomea biahsara na watu waliohusika ni watanzania wenzetu watu wa utrawala hii imetuumiza sasna
Pole kwa kufukuzwa kazi ghafula ingawaje ingefaa sana kama ungefungua topic yako ikajadiliwa badala ya kutumia topic ya mwenzako kutoa malalamiko yako. Hivi pale Barclays wewe ulikuwa ukifanya kazi katika kitengo gani? Samahani kama swali ili litakukwaza.
Tiba
Barklays kufukuza wafanyakazi
jamani hali si swari baklays wamepunguza wafanyakazi mia moja na staili ya kuwafukuza ni ajabu sana imetumwa email dakiuka kama kumi tu mkurugenzi wa kutawala mwambeleko na timu yake wakaanza kugawa barua za kuondoka na baada ya barua watu wanatolewa na polisi nje hali siu swari tusaidieni jamani tumepoteza haki zetu na hatujalipwa hela ya maana na hakukuwa na maandalizi kabisa
eti wanasema tuliopunguzwa tunapelekwa veta kusomea biahsara na watu waliohusika ni watanzania wenzetu watu wa utrawala hii imetuumiza sasna
Kaz kwel kwel wajamen ivi jaman nimesikia eti sababu ya kuachishwa kaz ni kwa sabbu kaz zao watafanya waindi uko india ivi kwel au?