Job Ndugai: Wananchi wawachague wakuu wa mikoa

msemakweli

JF-Expert Member
Feb 20, 2014
1,627
880
Nimpongeze sana mheshimiwa Job Ndugai kwa kupropose vitu viwili muhimu ambavyo vimenifurahisha sana
Kwanza, waziri mkuu aongezewe madaraka
Pili, wananchi wapewe madaraka ya kuchagua wakuu wa mikoa
From the begining, maoni yangu yalikuwa ni waziri mkuu apewe kabisa cheo cha kiongozi wa serikali halafu Rais awe tu kiongozi wa nchi na amiri jeshi mkuu. Hiyo husaidia sana kwani Rais anakuwa non-partisan above-all entity anayeweza kusimamia wananchi na serikali bila bias kwa upande wowote.
Hongera sana mzee!
 
Back
Top Bottom