4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,910
- 6,690
Aisee Katiba, Katiba, ili kuondoa ukakasi wa aina hii, kwamba serikali ije na bajeti ambayo wabunge wanaona sio sawa ,watu wapitishe tu, kuogopa rungu la Ikulu, kuvunja BUNGE kisa tu bajeti kukataliwa!