Etwege
JF-Expert Member
- Jul 4, 2018
- 5,665
- 15,055
Spika msitaafu bwana Job Ndugai tangu ajihudhuru kila mara anapotajwa au anaposimama bungeni amekuwa akipigiwa makofi ya nguvu sana tofauti na wabunge wengine hii ina maana gani?
Kama akili zako huwa zinazunguka vizuri huwezi hata kuthubutu tu kumlinganisha Rais Samia na Hayati Magufuli kwa sababu Samia ametokana na kuaminiwa na Magufuli kwa maneno mengine Samia ni legacy ya Magufuli.
Hata angekuwepo hai Magufuli angefurahia mafaniko ya Rais Samia na kujipiga kifua kwamba anajua kuchagua.
Mafanikio ya mtoto ni furaha kubwa sana kwa wazazi wake, jinsi mtoto anavyofanikiwa ndiyo wazazi wake wanavyozidi kupanda chati na kuheshimika zaidi pia jinsi mtoto anaposhindwa na kuwa wa hovyo ndiyo wazazi wake wanavyozaraulika zaidi.
Kwa maneno mengine wanaoona Magufuli hafai kupitia mafanikio ya Rais Samia ni mbumbumbu, washamba na wasio na akili hata kidogo.
Kama akili zako huwa zinazunguka vizuri huwezi hata kuthubutu tu kumlinganisha Rais Samia na Hayati Magufuli kwa sababu Samia ametokana na kuaminiwa na Magufuli kwa maneno mengine Samia ni legacy ya Magufuli.
Hata angekuwepo hai Magufuli angefurahia mafaniko ya Rais Samia na kujipiga kifua kwamba anajua kuchagua.
Mafanikio ya mtoto ni furaha kubwa sana kwa wazazi wake, jinsi mtoto anavyofanikiwa ndiyo wazazi wake wanavyozidi kupanda chati na kuheshimika zaidi pia jinsi mtoto anaposhindwa na kuwa wa hovyo ndiyo wazazi wake wanavyozaraulika zaidi.
Kwa maneno mengine wanaoona Magufuli hafai kupitia mafanikio ya Rais Samia ni mbumbumbu, washamba na wasio na akili hata kidogo.