Job Ndugai hivi hukujua kuwa mikataba ni ya hovyo au umejua Leo?

Robinhomtoto

JF-Expert Member
May 17, 2017
238
244
Baada ya hotuba ya Mh.Rais ya kuhitimisha upokeaji wa Taarifa ya Uchunguzi, baadhi ya viongozi walihojiwa akiwemo Mh.Spika Bw.Ndugai.Nimeshtushwa Na kauli ya Mh.Huyo kuwa anasikitika sana Na kuiita Mikataba ya Hovyo.Nimekuwa najiuliza Wabunge wa Upinzani wamekuwa wakilitaka Binge liibane Serikali ilete Mikataba ipitie Na Wabunge lakini Spika huyu huyu anakataa Leo anadai Eti mikataba ya Hivyo.Watanzani tuache unafiki wabunge wa CCM walikuwa wanaipongeza Kwa nguvu mikataba hiyo Na kuna kipindi CCM kupitia Halmashauri Kuu iliupongeza sana uwekezaji uliofanywa Na Rais wa awamu ya 3.
 
Baada ya hotuba ya Mh.Rais ya kuhitimisha upokeaji wa Taarifa ya Uchunguzi, baadhi ya viongozi walihojiwa akiwemo Mh.Spika Bw.Ndugai.Nimeshtushwa Na kauli ya Mh.Huyo kuwa anasikitika sana Na kuiita Mikataba ya Hovyo.Nimekuwa najiuliza Wabunge wa Upinzani wamekuwa wakilitaka Binge liibane Serikali ilete Mikataba ipitie Na Wabunge lakini Spika huyu huyu anakataa Leo anadai Eti mikataba ya Hivyo.Watanzani tuache unafiki wabunge wa CCM walikuwa wanaipongeza Kwa nguvu mikataba hiyo Na kuna kipindi CCM kupitia Halmashauri Kuu iliupongeza sana uwekezaji uliofanywa Na Rais wa awamu ya 3.

Mnafiki, muuaji wa kupiga watu fimbo wakazimia. Miaka yote alikuwa bngeni wanapitisha mikataba mibovu na kuwafukuza wapinzani kuwa wanakwamisha uchumi! Mnafiki
 
Baada ya hotuba ya Mh.Rais ya kuhitimisha upokeaji wa Taarifa ya Uchunguzi, baadhi ya viongozi walihojiwa akiwemo Mh.Spika Bw.Ndugai.Nimeshtushwa Na kauli ya Mh.Huyo kuwa anasikitika sana Na kuiita Mikataba ya Hovyo.Nimekuwa najiuliza Wabunge wa Upinzani wamekuwa wakilitaka Binge liibane Serikali ilete Mikataba ipitie Na Wabunge lakini Spika huyu huyu anakataa Leo anadai Eti mikataba ya Hivyo.Watanzani tuache unafiki wabunge wa CCM walikuwa wanaipongeza Kwa nguvu mikataba hiyo Na kuna kipindi CCM kupitia Halmashauri Kuu iliupongeza sana uwekezaji uliofanywa Na Rais wa awamu ya 3.
Speaker anayejengea nyumba za tembe wananchi wake hawezi kuwa na mawazo mbadala.
 
Baada ya hotuba ya Mh.Rais ya kuhitimisha upokeaji wa Taarifa ya Uchunguzi, baadhi ya viongozi walihojiwa akiwemo Mh.Spika Bw.Ndugai.Nimeshtushwa Na kauli ya Mh.Huyo kuwa anasikitika sana Na kuiita Mikataba ya Hovyo.Nimekuwa najiuliza Wabunge wa Upinzani wamekuwa wakilitaka Binge liibane Serikali ilete Mikataba ipitie Na Wabunge lakini Spika huyu huyu anakataa Leo anadai Eti mikataba ya Hivyo.Watanzani tuache unafiki wabunge wa CCM walikuwa wanaipongeza Kwa nguvu mikataba hiyo Na kuna kipindi CCM kupitia Halmashauri Kuu iliupongeza sana uwekezaji uliofanywa Na Rais wa awamu ya 3.

Hivi hakuna mtu anayeweza kutuletea records za wabunge wa chama chetu pendwa walokuwa wanashangilia sheria zilipokuwa zipitishwa na jinsi walivyokuwa wanawabeza wabunge wenye mawazo mbadala!!

Kauli ya spika leo ni yakinafiki sana!!
 
Baada ya hotuba ya Mh.Rais ya kuhitimisha upokeaji wa Taarifa ya Uchunguzi, baadhi ya viongozi walihojiwa akiwemo Mh.Spika Bw.Ndugai.Nimeshtushwa Na kauli ya Mh.Huyo kuwa anasikitika sana Na kuiita Mikataba ya Hovyo.Nimekuwa najiuliza Wabunge wa Upinzani wamekuwa wakilitaka Binge liibane Serikali ilete Mikataba ipitie Na Wabunge lakini Spika huyu huyu anakataa Leo anadai Eti mikataba ya Hivyo.Watanzani tuache unafiki wabunge wa CCM walikuwa wanaipongeza Kwa nguvu mikataba hiyo Na kuna kipindi CCM kupitia Halmashauri Kuu iliupongeza sana uwekezaji uliofanywa Na Rais wa awamu ya 3.
Yani Mkuu ni kama umeniwahi kuweka Thread hapa, ki ukweli nimeshangazwa na kujiskia aibu nilipokua namsikiliza Mheshimiwa yule akiongea, nilikua nafatilia toka Millard ago, na japo nilikua peke YANGU, niliona aibu sana.
 
Huyu unafiki na kujipendekeza ipo siku vitamtoke "backward"
mnafiki sana na mzandiki wa kutupwa
[HASHTAG]#Happy[/HASHTAG] AnniversaryToMeInJF
 
Mkuu kama kuna kitu utakuwa umegundua, toka Magu aanze kuwananga viongozi wa taasisi mbalimbali wasiofanya kwa kufuata tabia yake, utaona kabisa Ndugai ndio amegeuka mcheza maigigizo wa kujifanya eti hataki kuchekacheka. Sasa ukitaka kujua Mungu hamfichi mnafiki ngoja hao waliotajwa kwenye ripoti waamue kumwaga mboga kama hujakuta jina la Ndugai kwamba naye alilambishwa.
 
Chanzo cha umaskini Tanzania ni CCM. Yule kiongozi aliyeulizwa akasema hajui nadhani Sasa kajua.
Unataka tupigane Vita pamoja alafu ukipewa ushauri mbadala unakuwa mbogo na unamshauri spika awafukuze na kuwanyima nafasi wabunge Wa upinzani!!!
Sasa mikataba na sheria iende bungeni ikaamuliwe kwa NDIYOOOOO... tutegemee la maana kweli?? Viongozi hasa sisiemu wanavyofanya utafkiri hii nchi si yakwao!! Akishtaki wanasheria na mawaziri walopita atajikuta anapaswa kuwashtaki Nkapa na chikwete maana kwenyehili hawawezi kutengwa nalo
 
Baada ya hotuba ya Mh.Rais ya kuhitimisha upokeaji wa Taarifa ya Uchunguzi, baadhi ya viongozi walihojiwa akiwemo Mh.Spika Bw.Ndugai.Nimeshtushwa Na kauli ya Mh.Huyo kuwa anasikitika sana Na kuiita Mikataba ya Hovyo.Nimekuwa najiuliza Wabunge wa Upinzani wamekuwa wakilitaka Binge liibane Serikali ilete Mikataba ipitie Na Wabunge lakini Spika huyu huyu anakataa Leo anadai Eti mikataba ya Hivyo.Watanzani tuache unafiki wabunge wa CCM walikuwa wanaipongeza Kwa nguvu mikataba hiyo Na kuna kipindi CCM kupitia Halmashauri Kuu iliupongeza sana uwekezaji uliofanywa Na Rais wa awamu ya 3.


Hii ni hatari sana kwa huyu mchawi anayeitwa ccm, tangia uhuru hadi leo nchi hii haijawahi kutawaliwa na chama kingine isipokuwa ccm.

Mikataba yote ya kuibia wananchi imesainiwa na ccm. Ufisaidi wote ambao umefanyika nchini umefanyika china ya serikali ya chama cha mapinduzi.

Watu ambao wameibia nchi hii hadi kugeuka shamba la bibi wote ni makada wa ccm. Leo tunaambiwa Acacia haikuwa imesajiliwa, inashangaza nchi yenye usalama wa taifa, vyombo mbalimbali vya dola, yenye intelejensia ya kugundua mikutano ya vyama vya upinzani kuna watu waliopanga kufanya funjo au walikusudia kufanya uovu mbaya, leo tunaambiwa kampuni iliyokuwa inasafirisha makontena hadi 270 kwa wakati mmoja haijasajiliwa ni kituko.

CCM ndio waliofanya yote haya, badala ya kutuomba radhi watanzania leo wanaibuka na mbwembwe za uongo kwamba wao wanatetea wananchi ila wapinzani ndio wanatetea wezi. this is not serious. siku zote mchawi ujibaraguza harakaharaka ili aonekane ana huruma kumbe ni yeye aliyeuwa

CCM ndio waliologa nchi wasijifanye waganga wa kutibu nchi. Ni wao waliopiga meza ndioooooooooo akiwemo naniiiiiiiiiiiiiiiii
 
Hivi hakuna mtu anayeweza kutuletea records za wabunge wa chama chetu pendwa walokuwa wanashangilia sheria zilipokuwa zipitishwa na jinsi walivyokuwa wanawabeza wabunge wenye mawazo mbadala!!

Kauli ya spika leo ni yakinafiki sana!!
...nafikiri zile clips/video za bungeni wakati wa upitishaji wa hizo sheria zianze sasa kusambazwa...
 
Magufuli ndo anaposhindwa hapo. Yaani spika na vitendo vya upuuzi vile afu ànamsifia. Wasidhani nchi ni Mali yao
 
Kuwa na viongozi kama huyu spika ni janga kwa taifa. Huu ujuha sijui tutaondokana nao lini!
 
Wakat wa mikataba ya zarura wapinzan walisimama wakawazima kwa kupiga makof leo imekuwa ya hovyo kweli Mungu atasema nasi huwa hachelew na wala hawahi
 
niwe tu mkweli, katika watu ambao naona hamnazo kabisa kichwani ni huyu spika wa bunge......ujengaji wake wa hoja ni wa kushindana na hata mwanafunzi wa drs la saba. kumuuliza masuala makubwa kama ya madini ni kumuonea tu, huwezi kutoka na lolote hapo.
 
Back
Top Bottom