Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Wadau Nawasalimu,
Juzi baada ya kumwona aliyekuwa SPIKA wa BUNGE aliyejiuzulu Bw.Job Ndugai akitambulishwa Bungeni nilijaribu kujiuliza
sababu kubwa ya Spika Ndugai kujiuzulu kuwa ni ile Hotuba yake ya kutahadharisha juu ya MIKOPO kuwa Nchi inaweza KUPIGWA MNADA.
Binafsi siamini kuwa kwa kusema hivyo ilikuwa ni lazima ajiuzulu, nahisi labda kuna jambo lingine alilofanya.
Juzi baada ya kumwona aliyekuwa SPIKA wa BUNGE aliyejiuzulu Bw.Job Ndugai akitambulishwa Bungeni nilijaribu kujiuliza
sababu kubwa ya Spika Ndugai kujiuzulu kuwa ni ile Hotuba yake ya kutahadharisha juu ya MIKOPO kuwa Nchi inaweza KUPIGWA MNADA.
Binafsi siamini kuwa kwa kusema hivyo ilikuwa ni lazima ajiuzulu, nahisi labda kuna jambo lingine alilofanya.