Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,671
- 8,237
- Thread starter
- #241
Niliwahi Kukutana na Huyu Mama miaka ya 2000+ wakati Huo tumeenda Zanzibar Kupeleka Mahari ambapo Kakayangu(Kwa Sasa Kaka Yangu ni Dc Wilaya Fulani ya Pembezoni mwa nchi) alikuwa anamuoa Mdg wake na chief Hangaya.hata mi nilitaka kusema hivo, dah! asee mama ni mrembo, vijana ka sisi usipo muangalia kwa makini ujue ni mzee, unaweza pita naye.
Jakaya ataweza kumvumilia kweli huyu mrembo.
.
Kimsingi huyo Mama ni mrembo na ana jicho zuri Mnoo na hata ni shemeji yangu ambae ni Mdg wake Wa Kuzaliwa na Chief Hangaya Nae ana jicho mno shida Yao ni Kuwa na Matiti Makubwa na Hawana maumbo #8
Sent using Jamii Forums mobile app