Puncler
JF-Expert Member
- Jul 17, 2017
- 1,388
- 1,884
Amefanya ujinga kadhaa kabla ya kuwa spika likiwemo la physical attacks(alivyomtwa mtwanga mgombea mwenzie magongo ya mbavu) hivyo wakiamua kumuwinda hawawezi kumkosa.Bunge lilishapitisha Sheria ya kutomshitaki Spika kwa alichokifanya akiwa madarakani.