Bunge lilishapitisha Sheria ya kutomshitaki Spika kwa alichokifanya akiwa madarakani.
Amefanya ujinga kadhaa kabla ya kuwa spika likiwemo la physical attacks(alivyomtwa mtwanga mgombea mwenzie magongo ya mbavu) hivyo wakiamua kumuwinda hawawezi kumkosa.
 
Siujui kwanini nilisita kulisema hili hapa JF kwani lilinijia kichwani tangu jana kuwa linaweza kutokea

Nilichotaka kusema ni uwezekano wa Ndugai kuitwa Ikulu kwa lengo la kupozwa na kupigwa picha ya pamoja kama hii ili kuonyesha umma kuwa Mama na Spika wako pamoja.

Nilipanga pia kumuonya Mama kuwa Ndugai ataitikio wito kwa heshima ya Raisi tu ila moyoni teyari ana kinyongo.

Ndugai hawezi kumuunga mkono huyu Mama ingawa kwenye public anaweza kuongea kuonyesha hana kinyongo nae.

Under certain circumstances, it is very easy to foresee or predict negative things that our politicians are likely do or say. But under the same or different circumstances, it is very difficult to predict or foresee positive things that our politicians are likely to do or say.

As a nation, we are very unlucky.
Bad luck ni kwamba wanasiasa wetu wengi hawana uwezo wa kukisimamia kile wanachokiamini ikiwa kinaweza kugusa maslahi yao,
 
Siyo wameenda kujadili mafao yake ili angalau aipunguzie serikali mzigo. Yaani kiinua mgongo, winding up, gari jipya, lita 70 za mafuta kila wiki, dereva, n.k lazima apunguze vipengele vingine siyo kwa mkwanja huu.
Wewe na Mimi tunaangalia mkwanja lakini yeye kinachomuumiza ni ule wadhifa alokuwanao kumponyoka, binadamu tupo hivyo !
 
Hasa kwenye kuikataa chanjo alikuwa sahihi sana. Naweza kukutumia link uangalie uone ukweli
Naomba mkuu niangalie.
Licha ya mapungufu yake mengine ila Jamaa aliona mbali kwenye baadhi ya mambo.
 
View attachment 2078302
Baada ya kutoka Zanzibar kuhudhuria sherehe ya Mapinduzi ya Zanzibar, Ras Samia amekutana na Spika aliyejiuzulu, Jacob Ndugai Ikulu Chamwino jijini Dodoma leo mchana
Ndugai ana wasi wasi sana. Nafikiri ameomba kumtembelea kumhakikishia support yake, na pia kusisitiza kuwa hakuwa na nia mbaya.
 
Kwa wale waliowahi kuwa karibu na Mama Samia mtakubaliana na mimi, huyu Mama ni Mrembo kwelikweli.

Hapo hajapiga make up ila anaonekana kama binti wa miaka 28, niwaase mabinti waache kutumika kingono maana zinawachosha na kuwafanya wapoteze nuru.
hata mi nilitaka kusema hivo, dah! asee mama ni mrembo, vijana ka sisi usipo muangalia kwa makini ujue ni mzee, unaweza pita naye.

Jakaya ataweza kumvumilia kweli huyu mrembo.
 
Back
Top Bottom